رمضان والحمل الثقيل
رمضان والحمل الثقيل

الخبر:    أعلنت موريتانيا والصومال ومالي وساحل العاج ودول أفريقية أخرى عن ثبوت هلال شوال مساء الجمعة وأعلنت أن السبت هو أول أيام عيد الفطر، بينما أعلنت باقي الدول القائمة في البلاد الإسلامية أن السبت هو المتمم لشهر رمضان وأن الأحد 24/5 هو أول أيام العيد.

0:00 0:00
Speed:
May 25, 2020

رمضان والحمل الثقيل

رمضان والحمل الثقيل

الخبر:

 أعلنت موريتانيا والصومال ومالي وساحل العاج ودول أفريقية أخرى عن ثبوت هلال شوال مساء الجمعة وأعلنت أن السبت هو أول أيام عيد الفطر، بينما أعلنت باقي الدول القائمة في البلاد الإسلامية أن السبت هو المتمم لشهر رمضان وأن الأحد 5/24 هو أول أيام العيد.

التعليق:

وهكذا انقضى شهر رمضان المبارك بأيامه ولياليه، وما به من أجر وثواب، وصيام وقيام، وما حمل من بشارات. انقضى ومساجد المسلمين في شتى أنحاء الأرض مغلقة، لا تقام فيها جمع ولا جماعات ولا تراويح، ولا ندوات، ولا مواعظ ولا دروس. انقضت أيام رمضان ولم تتوقف عن النزيف دماء إخواننا في سوريا واليمن وليبيا وأراكان وتركستان الشرقية...

وها هو العيد يحل على المسلمين، ولم تجف بعد دموع الثكالى، ونظرات الحزن في عيون اليتامى، وعضة الجوع في بطون المساكين. ولم يلتئم شمل المسلمين في يوم عيد واحد ولو على شبكات التواصل.

وبالرغم من استخدام غالبية العلماء والمشايخ والحركات وعامة الناس لحديث واحد عن رسول الله r «صُومُوا لِرُؤْيَتِهِ وَأَفْطِرُوا لِرُؤْيَتِهِ» فلم يتسع هذا الحديث ليوحد يوم صوم المسلمين أو يوم عيدهم. فمع تشتت المسلمين في دويلات وكيانات منفصلة، أصبح من المتعذر حتى التأكد من شهادة الشهود، وأمام أي هيئة قضائية تؤدى الشهادة. فما تكاد تنقشع ظلمة حتى تغشاها ظلمة أخرى فينام المسلمون وهم قلقون أغدا عيد أم مكمل لرمضان؟!

فأين هي معضلتنا؟ أهي في إغلاق المساجد؟ أم هي الاختلاف في تحديد يوم العيد ويوم البدء في الصيام؟ أم هي في استفحال الفقر، وتغول الجوع؟ أم هي في سفك دماء الملايين من إخوتنا في شتى أنحاء العالم؟ أم هي في الاعتداء على الحرائر من نسائنا؟ أم هي في يُتم الملايين من أطفالنا وتشردهم في بلاد الغرب والشرق سواء؟ أم هي في تالياً وتالياً وتالياً إلى ما لا نهاية من أصناف ضنك العيش؟

الحقيقة البالغة والتي لا يماري فيها إلا كاره لها، هي أن المسلمين اليوم قد أصبحوا يعيشون دون راع يرعى شؤونهم ويهتم بأمرهم ويوردهم موارد الخير والسعادة، بل وأسوأ من ذلك أن من تلبس بلباس الراعي ليس إلا عدوا للمسلمين لا يرقب فيهم إلا ولا ذمة. وصدق فينا قول الشاعر:

لا يلام الذئب في عدوانه       إن يك الراعي عدو الغنم

وتأكد فينا الحال الذي وصفه سيد الخلق محمد عليه الصلاة والسلام «وَشِرَارُ أَئِمَّتِكُمْ الَّذِينَ تُبْغِضُونَهُمْ وَيُبْغِضُونَكُمْ، وَتَلْعَنُونَهُمْ وَيَلْعَنُونَكُمْ».

فبدلا من أن يكون للمسلمين راع يرعى شؤونهم ويوفر لهم أسباب العيش الكريم، والأمن والاستقرار، أصبح للمسلمين أكثر من 55 ذئبا ينهشون لحومهم ويقدمونها قرابين لضباع غابة المستعمرين. وليس فيهم ولا منهم رجل رشيد!

فكيف يمكن أن يتوحد عيد المسلمين ويوم صومهم وعليهم أكثر من 50 ذئبا لا يرقبون فيهم إلا ولا ذمة؟ بل كيف يتوقف نزيف دماء المسلمين إذا كان هؤلاء هم ذاتهم من يوغل في الدماء ويسفكها ويأتي بمن يسفكها لهم من روسيا وأمريكا وغيرها؟!

الحقيقة البالغة المرة هي أن الأمة الإسلامية فرطت في أعز حق من حقوقها وأهم واجب من واجباتها، وعزفت عن المطالبة به والعمل للقيام بواجبها، واكتفت بفتح وبناء مساجد لها، وما لبث حكامها أن أغلقوها وحرموها عليها ليذيقوها الهوان والذل. ترك المسلمون وتخلوا عن أهم خاصية من خصائص عقيدتهم والتي تجعل الربوبية المطلقة بما فيها من حكم وأوامر وتعليمات لله وحده دون خلقه. اكتفت الأمة بمظهر واحد من مظاهر غريزة التدين المتعلق بالركوع والسجود والتلاوة والعلاقة بين العبد والله بما فيها من شعور جميل ولذيذ.

أما رعاية الشؤون والحكم، والقضاء، وإدارة الأمور المالية والسياسية وما يتبعها فقد تركها المسلمون لبغاة لهم قلوب الشياطين، وحراب السفاحين. ترك المسلمون وتخلوا عن أهم مظهر من مظاهر العبودية فلم يعد يهزهم الأقل شأنا منها. والله تعالى يقول: ﴿اتَّخَذُوا أَحْبَارَهُمْ وَرُهْبَانَهُمْ أَرْبَاباً مِّن دُونِ اللَّهِ وَالْمَسِيحَ ابْنَ مَرْيَمَ وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا إِلَٰهاً وَاحِداً لَّا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ سُبْحَانَهُ عَمَّا يُشْرِكُونَ﴾. وذلك حين قبل الناس أن يحل لهم سادتهم وكبراؤهم الحرام ويحرموا عليهم الحلال.

فلما وسد أمر المسلمين إلى سفهائهم، فحكموهم بغير شريعة الله ومنهاجه، وأدخلوا عليهم ظلام وطغيان رأسمالية جائرة، وفجار المستعمرين، حينها لم يبق لهم لا رمضان موحداً، ولا عيدا واحدا، ولا دما مصونا، ولا عرضا محفوظا، ولا مالا أو ثروة أمينة، ولا رفعة بين الأمم، ولا حتى مسجدا مفتوحا.

وبعد، لقد صدحت حناجر قرابة ملياري مسلم بالدعاء لله في ليالي رمضان، وكلها تعلن التوبة لله عز وجل وترجو رحمته وتوبته، ولكن الحقيقة المرة التي يتغاضى عنها المسلمون أنهم يتوبون عن صغائر الأمور ويصرون على كبائرها!

فكيف نتوب عن الربا المستفحل في بلاد المسلمين؟ والخمر المصنع والمنتشر في الحانات في أمهات مدن المسلمين؟ وكيف نتوب عن التشريع الذي يسن بقوانين بريطانيا وألمانيا وفرنسا؟ وكيف نتوب عن تسليم قضايانا وأهمها الأقصى وفلسطين لأمريكا ويهود؟ وكيف نتوب عن التفريط بنفط الأمة وغازها وجعلها أداة استعمارية بيد أمريكا؟

من الذي تاب عن ذلك، فأوقف كل هذه المفاسد والمظالم؟ من الذي أخذ على يد حكام الجبر الظالمين وقذف بهم إلى حيث يستحقون؟ من الذي أوقف البنوك عن المراباة في أموال المسلمين؟ من الذي أوقف تجارة الخمر التي تذهب بعقول المسلمين؟ من الذي أوقف دور الفجور وحاناتها؟ من الذي أوقف التبرج والاختلاط المحرم؟ من الذي رد أموال المسلمين لبيت مال واحد ينفق على فقيرهم، ويطعم مساكينهم، ويرعى أيتامهم؟

لم يحصل من ذلك شيء، ولن يحصل حتى يعيد المسلمون أمرهم وحكمهم ويستردوا سلطانهم المغتصب، ويوسدوا أمرهم إلى خليفة يبايعونه على الحكم بكتاب الله وسنة نبيه r. وصدق رسول الله: «فَالْإِمَامُ رَاعٍ وَهُوَ مَسْئُولٌ عَنْ رَعِيَّتِهِ».

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد جيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon