رئيس منظمة الأعراف يحذر من تداعيات الانتخابات على الانتعاشة الاقتصادية
رئيس منظمة الأعراف يحذر من تداعيات الانتخابات على الانتعاشة الاقتصادية

حذّر رئيس الاتحاد التونسي للصناعة والتجارة سمير ماجول على هامش إحياء الذكرى 19 لوفاة الحبيب بورقيبة بالمنستير من تداعيات الانتخابات المقبلة على الانتعاشة الاقتصادية التي تشهدها تونس.

0:00 0:00
Speed:
April 08, 2019

رئيس منظمة الأعراف يحذر من تداعيات الانتخابات على الانتعاشة الاقتصادية

رئيس منظمة الأعراف يحذر من تداعيات الانتخابات على الانتعاشة الاقتصادية

الخبر:

حذّر رئيس الاتحاد التونسي للصناعة والتجارة سمير ماجول على هامش إحياء الذكرى 19 لوفاة الحبيب بورقيبة بالمنستير من تداعيات الانتخابات المقبلة على الانتعاشة الاقتصادية التي تشهدها تونس.

واعتبر ماجول، في تصريح لمراسلة (وات) بالمنستير، أن تونس تشهد انتعاشة اقتصادية، حيث من المتوقع تسجيل مؤشرات أفضل خلال شهر حزيران/يونيو المقبل مقارنة بنفس الفترة من السنة الفارطة، منبّها من إمكانية تعطيل هذه الانتعاشة للصعوبة التي تكتسي سنة 2019 باعتبارها سنة انتخابية. (وكالة تونس أفريقيا للأنباء).

التعليق:

في الوقت الذي تحدث فيه رئيس الدولة الباجي قايد السبسي مؤخرا ضمن خطاب ألقاه من قصر قرطاج بمناسبة عيد (الاستقلال) عن مؤشرات اقتصادية سيئة ووضع مالي خطير ومتدهور لم يجد له حلولا إلى حد الآن أمام تفاقم الديون الخارجية وتواصل العجز عن الإنتاج، وفي الوقت الذي تشهد فيه البلاد أزمات اقتصادية عميقة وحادّة لم تعد في حاجة إلى شهادة الخبراء والمحللين، يطلّ علينا رئيس منظمة الأعراف في تونس متمسحا برفات بورقيبة، ليحاول النفخ مجددا في جثة هامدة، هي جثة هذا النظام الديمقراطي الجاثم فوق صدور أهل تونس، ليسومهم سوء العذاب ويفرض عليهم إملاءات مؤسسات النهب الدولي.

الغريب في هذا التصريح أنه لا يناقض مواقف وآراء رئيس الدولة فحسب، ليس آخرها ما جاء ضمن حوار له مع جريدة القدس العربي بتاريخ 3 نيسان/أبريل 2019، حيث اعترف السبسي بأن التجربة التونسية لم تحقق تقدما في المجال الاقتصادي وهو ما يبقيها تجربة هشة، وإنما هو تصريح يناقض نفسه...

فمن جهة يتحدث ماجول عن انتعاشة اقتصادية في أشد الفترات سوءا وأكثرها انحدارا في تاريخ تونس، ومن جهة نجده يحذر من تداعيات الانتخابات القادمة على هذه الانتعاشة، فأي انتعاشة هذه التي يربكها ويعطلها تنظيم الانتخابات؟! اللهم إذا كان المقصود الوضع المالي للأعراف ورؤوس الأموال، لا وضع تونس الاقتصادي.

الأشد غرابة الآن، هو حديث بعضهم - ومنهم السيد ماجول - عن انتخابات 2019 من كونها معركة يمكن أن تُحسم لصالح تونس وأهلها، ودفعهم بكل السبل لإحياء جثة الديمقراطية التي شهد السبسي نفسه بأنها تعيش أزمة عالمية. ولذلك، فإن غربة الزمان والمكان التي يعيشها أولياء الانتخابات الديمقراطية، واستعدادهم المتجدد لخوض المعركة ذاتها داخل الجحر نفسه الذي لا يليق بمقام خير أمة أخرجت للناس، يجعلهم يغمضون أعينهم عن كل التحولات الإقليمية التي تعيشها المنطقة على سرعتها وأهميتها، فلا يشعرون من حولهم بانتفاضة الأمة ضد حكامها ولا بانهزام الديمقراطية في عقر دارها.

إن هذا الغباء السياسي قد أوصل حكامنا إلى حالة من العمى السياسي، يستحيل معها رؤية واقع سياسي ليس لهم فيه وجود ولو على ظهر دبابة الكافر المستعمر، ولذلك لا غرابة أن يستميت الوسط السياسي في الدفع بأبناء هذا الشعب المقهور نحو انتخابات 2019، في الوقت الذي يدرس فيه الاستعمار الخيارات العسكرية ويسارع في تكبيل البلدان بمزيد من الاتفاقيات المذلة، بل يدفع بعملائه لخوض حروب بالوكالة من أجل الحيلولة دون وحدة الأمة على أساس دينها وتمكينها من ممارسة حقها في اختيار حكّامها، وما ليبيا إلا شاهد عيان. فهل سننتظر حتى تذبح الأمة من الوريد إلى الوريد، حتى ندرك أن المعركة الحقيقية أكبر من مهزلة انتخابات 2019، وكل من يروّجون لها من شهود الزّور؟

إن حالة الطوارئ التي تعيشها الأنظمة اليوم، في الوقت الذي يُساق فيه الناس سَوقاً نحو صندوقٍ تحت حراسة الكافر المستعمر، مع ما يكلفها ذلك من أموال طائلة أرهقت كاهل الجميع، كاف ليُلخّص حالة الموت السريري التي وصلت إليها الديمقراطية في بلاد الإسلام. ولذلك فإن كل من يدفع باتجاه إنعاش الملك الجبري بإحياء مهزلة الانتخابات الديمقراطية التي قاطعتها الشعوب عن وعي بحقيقتها، لهو شريك للاستعمار في جريمة اغتصاب سلطان الأمة، وفي منع وحدتها على أساس الإسلام، وفي تكريس حالة التبعية السياسية والاقتصادية، وإن صلى وصام وتعلق بأستار الكعبة.

في المقابل، فإن الإسلام هو النظام الوحيد الكفيل بإيجاد المعالجات الاقتصادية التي تحقق للإنسان الرعاية والكفاية والرفاه، وهو البديل عن واقع الأزمات التي خلفها النظام الرأسمالي فضلا عن كونه النظام الوحيد الذي يمكّن الأمة من اختيار حاكمها ويفرض عليها محاسبته على أساس أحكامه، في دولة مبدئية وقويّة، ترعى أتباعها وتردع أعداءها، هي دولة الخلافة التي تكون فيها السيادة للشرع لا لشخصيات "ضبّية" تتجاوز الفرض والوعد والبشرى، انجذابا للواقع وانخداعا به.

عن أبي سعيد الخدري أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: «لَتَتْبَعُنَّ سَنَنَ مَنْ كَانَ قَبْلَكُمْ، شِبْرًا شِبْرًا وَذِرَاعًا بِذِرَاعٍ، حَتَّى لَوْ دَخَلُوا جُحْرَ ضَبٍّ تَبِعْتُمُوهُمْ» قُلْنَا: يَا رَسُولَ اللَّهِ، الْيَهُودُ وَالنَّصَارَى؟ قَالَ: «فمَنْ؟». (رواه البخاري).

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

المهندس وسام الأطرش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon