ميثاق خلاص أم محاولة احتواء؟!
ميثاق خلاص أم محاولة احتواء؟!

الخبر:   دعا زعيم حزبِ الأمةِ المعارض في السودان الصادق المهديّ الرئيس عمر البشير إلى الرحيلِ، مؤكداً العملَ السلميّ للانتقالِ السياسيّ، وذلكَ على وقعِ احتجاجاتٍ متواصلةٍ منذُ 19 كانون الأول/ديسمبر الماضي. وحثَّ المهدي في خطبةِ الجمعةِ البشير على الامتثالِ للاحتجاجاتِ والاستقالةِ، وقال "هذا النظام يجب أنْ يرحلَ وفترة انتقالية في القريبِ العاجل"، مشدداً على أنَّه سيحشدُ أنصارهُ في المظاهراتِ السلميةِ والاعتصاماتِ داخلَ وخارجَ السودان. وأبرزُ ما جاءَ في خطابِ المهديّ هو تقديمهُ مبادرةً أسماها "ميثاقَ الخلاص"، وتهدفُ في أساسها إلى رحيلِ النظام، وتكوينِ حكومةٍ انتقاليةٍ قوميةٍ تضمُ جميعَ الأحزابِ السياسيةِ والشبابِ ومنظماتِ المجتمع المدني. وأضافَ أنَّ هذهِ الوثيقة ستوقعُ عليها جميعُ الأحزابِ والتياراتِ قبل أن تقدم إلى البرلمان. (الجزيرة).

0:00 0:00
Speed:
January 27, 2019

ميثاق خلاص أم محاولة احتواء؟!

ميثاق خلاص أم محاولة احتواء؟!

الخبر:

دعا زعيم حزبِ الأمةِ المعارض في السودان الصادق المهديّ الرئيس عمر البشير إلى الرحيلِ، مؤكداً العملَ السلميّ للانتقالِ السياسيّ، وذلكَ على وقعِ احتجاجاتٍ متواصلةٍ منذُ 19 كانون الأول/ديسمبر الماضي. وحثَّ المهدي في خطبةِ الجمعةِ البشير على الامتثالِ للاحتجاجاتِ والاستقالةِ، وقال "هذا النظام يجب أنْ يرحلَ وفترة انتقالية في القريبِ العاجل"، مشدداً على أنَّه سيحشدُ أنصارهُ في المظاهراتِ السلميةِ والاعتصاماتِ داخلَ وخارجَ السودان. وأبرزُ ما جاءَ في خطابِ المهديّ هو تقديمهُ مبادرةً أسماها "ميثاقَ الخلاص"، وتهدفُ في أساسها إلى رحيلِ النظام، وتكوينِ حكومةٍ انتقاليةٍ قوميةٍ تضمُ جميعَ الأحزابِ السياسيةِ والشبابِ ومنظماتِ المجتمع المدني. وأضافَ أنَّ هذهِ الوثيقة ستوقعُ عليها جميعُ الأحزابِ والتياراتِ قبل أن تقدم إلى البرلمان. (الجزيرة).

التعليق:

بعد أن باتَ واضحاً عزم أهلِ السودانِ على قلعِ النظامِ العلمانيِّ الحاكمِ في بلادهم، وهو النظامُ الموالي لأمريكا والعميل لها، جاء دورُ من يحاول إسعافَ النظامِ وإنقاذه واحتواء هذه الثورة، فليسَ رحيل البشيرِ رأس النِظامِ هو مطلبَ الثورةِ فحسب، بل رحيل النظامِ دستوراً وقانونا ووسطاً سياسياً، موالياً ومعارضاً، هو معنى رحيلِ النظام، والدعوة إلى إيجادِ حكومةٍ قوميةٍ ليسَ إلا التفافاً على الثورةِ واحتواءً لمطالبها الحقيقيةِ التي من شأنها تحقيق التغييرِ الحقيقيّ في البلاد، تماما كما حصلَ مع الثورة المصرية.

إنّ الصادقَ المهديّ، الذي يقودُ أبرزَ أحزابِ المعارضةِ في السودان، كان رئيساً للجمهوريةِ السودانيةِ العلمانيةِ، وأطيحَ بهِ من خلالِ انقلاب حمل الرئيس الحاليّ عمرَ البشيرِ إلى السلطةِ في 1989، وبعدَ ذلكَ انتقل من الحكمِ إلى المعارضةِ، كما هو معمولٌ بهِ في النظامِ الديمقراطيّ، فهو ابن النظامِ وليس نقيضه، لذلكَ يجبُ الحرص والحذر من كلِ من يمد بسببٍ إلى هذا النظام، ويجب أن يحرص القائمون على الثورةِ والمخلصونَ الناصحونَ لهم والرائدُ الذي لا يكذبُ أهله، يجب أن يحرصوا جميعا على عدم اختراقِ الثورةِ من أيِّ جهةٍ لها تاريخ أو حاضر مرتبط بالنظامِ أو بأيِّ جهةٍ أجنبيةٍ، ويجب أن يعلموا جميعاً أن الغربَ وخصوصا أمريكا صاحبة النفوذِ في السودانِ من خلالِ النظامِ القائم، وبريطانيا التي ما زالت لها جذور خبيثة في البلادِ، يجب أن لا يأمنوا لأيِّ جهةٍ منهما، وإن تظاهرت جهة منهما باصطفافها إلى جانبِ الثورة المباركة، فهم أصحابُ أجنداتٍ تابعةٍ لأسيادهم، ولا يحملونَ مشروعَ الأمةِ الذي ينجيها.

إنَّ المقياسَ الذي يُحددُ من خلالهِ أهلُ السودانِ والثائرونَ منهم من الذي معهم ومن الذي يتآمر عليهم، هو مقياسُ الشرعِ، فمن كانَ يحمل مشروعَ إقامةِ دولةٍ تقومُ على تحكيمِ القرآن والسنةِ النبويةِ المطهرةِ فهوَ مع الأمةِ ومنحاز لها، ويجبُ على الثائرينَ الاصطفاف خلفهُ والإصغاء لنصائحهِ، فهم أصحابُ التغييرِ الحقيقيّ، الذي يرضي الله وينصف عباده وينهض بهم، أما من يريد إعادةَ تدويرِ النظامِ فهو من المنافقين الذين يجب الحذر منهم، ويجب أن ينظرَ الثائرون في الثوراتِ التي اندلعت في البلادِ الإسلاميةِ الأخرى وأخذ العبرِ منها والحذر من الوقوعِ في الأخطاءِ التي وقعت فيها تلك الثورات، والحكيم من اتعظ بغيره.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

بلال المهاجر – ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon