لا يستوي حكم الله مع حكم البشر يا فيصل قاسم
لا يستوي حكم الله مع حكم البشر يا فيصل قاسم

الخبر:   كتب الإعلامي ومقدم البرامج المعروف في قناة الجزيرة فيصل قاسم صباحاً التغريدتين التاليتين على موقع التواصل تويتر: "‏لا تفكروا مطلقاً باستبدال الديكتاتوريات العسكرية والمخابراتية القذرة بديكتاتوريات دينية لا تقل قذارة. حذار من السير وراء الأحزاب والشعارات الدينية. هؤلاء فاشيون كالجنرالات. الأول يستخدم ضدك سلاح التخوين والثاني سلاح التكفير. ابحثوا عن أحزاب مدنية علمانية وظيفية تكون في خدمة الجميع". وبعدها بساعات جاءت التغريدة الثانية: "‏عندما ترى ملتحياً يدعو إلى الجهاد في سبيل الله فاعلم أنه في أحيان كثيرة يدعو للجهاد في سبيل المخابرات. ومن الأفضل أن تسأله: إلى أي جهاز مخابرات تنتمي يا رعاك الله: وما هي رتبتك في الجهاز؟ عقيد، رائد، أم نقيب؟ زامط بن فرشوخ المنجعي الرابع عشر".

0:00 0:00
Speed:
September 23, 2019

لا يستوي حكم الله مع حكم البشر يا فيصل قاسم

لا يستوي حكم الله مع حكم البشر يا فيصل قاسم

الخبر:

كتب الإعلامي ومقدم البرامج المعروف في قناة الجزيرة فيصل قاسم صباحاً التغريدتين التاليتين على موقع التواصل تويتر: "‏لا تفكروا مطلقاً باستبدال الديكتاتوريات العسكرية والمخابراتية القذرة بديكتاتوريات دينية لا تقل قذارة. حذار من السير وراء الأحزاب والشعارات الدينية. هؤلاء فاشيون كالجنرالات. الأول يستخدم ضدك سلاح التخوين والثاني سلاح التكفير. ابحثوا عن أحزاب مدنية علمانية وظيفية تكون في خدمة الجميع".

وبعدها بساعات جاءت التغريدة الثانية: "‏عندما ترى ملتحياً يدعو إلى الجهاد في سبيل الله فاعلم أنه في أحيان كثيرة يدعو للجهاد في سبيل المخابرات. ومن الأفضل أن تسأله: إلى أي جهاز مخابرات تنتمي يا رعاك الله: وما هي رتبتك في الجهاز؟ عقيد، رائد، أم نقيب؟ زامط بن فرشوخ المنجعي الرابع عشر".

التعليق:

للوهلة الأولى قد يبدو حديثه لأصحاب النوايا الحسنة حديثَ الحريص على الأمة ومصالحها، خاصة وهو يلمح بشكل أقرب للتصريح منه للتلميح، إلى الجماعات "الإسلامية" التي صُنعت في أقبية المخابرات كما ذكر، وعانت الأمة منها طويلاً.

لكن المستنير بأحكام الإسلام فهمُه الواعي على الأحداث المدرك لطبيعة المرحلة، وأن ما يجري في المنطقة هي حرب بين الإسلام وأهله وبين الغرب وعملائه وأشياعه وأتباعه، الذين مكروا ويمكرون لهذه الأمة بكل وسيلة يستطيعونها لأجل تأخير عودتها للصدارة مرة أخرى، هؤلاء الواعون المخلصون يدركون أن ما يتحدث عنه قاسم ليس إلا مكراً خفياً وسمّاً زعافاً.

إن الحركات "الدينية" التي صنعتها المخابرات العالمية، هي جزء من النظام الغربي، ولا تمثل الإسلام ولا تمت للمسلمين بصلة بطبيعة الحال. ولا يخفى هذا إلا على الجهلة السُذّج.

هذه الحركات رفضتها الأمة ولفظتها لفظ النواة، بعد انكشاف سوأتها وبيان عريها الفكري أمام الأمة وشذوذها عن الفكر الإسلامي القويم الواضح الذي لا لبس فيه.

وتعميم هذه الحركات وجعلها نموذجاً يمثل الإسلام السياسي، وصبغ التوجه الإسلامي بصبغة الديكتاتورية هو أمر مرفوض جملة وتفصيلاً. وكلامك يا فيصل قاسم يؤكد أنك في فسطاط الغرب نفسه الذي صنع هذه الحركات وجعلها خنجراً يطعن به خاصرة الأمة. وكلامك لا يصب إلا في خدمة المصالح الغربية التي ترى في الإسلام السياسي وفي الحكم بالإسلام خطراً عليها.

الإسلام واضح وضوح الشمس في رابعة النهار، ومن العار بحق إعلامي معروف مثلك أن نضطر لنقول له: "ابحث جيداً في أحكام السياسة الشرعية في الإسلام، واقرأ كثيراً عن كيفية إقامة الدولة والنهضة بالأمم في دين الله، ثم تهجم على الإسلام بهذا الشكل".

تبرر الدعوة للعلمانية الجاهلية، بتخويف الناس من "بعبع" تنظيم الدولة وطالبان وغيرها من الحركات "الإسلامية"، بينما أنت تعلم في الصميم أن هذه الحركات لا تمثل الإسلام. هذا للعلم تكتيك أمريكي بات مملاً!

ألا ترفع أمريكا في وجه السنة "غول الشيعة" وتخوّف الشيعة بالسعودية؟ ألم تلعب اللعبة نفسها وأنت تدعو للعلمانية بعد أن خوَّفتهم "بالغول الإسلامي"؟

وإنه ليخطر لي أن أسألك: من أي جهاز مخابرات تأخذ راتبك مقابل الدعوة للعلمانية؟ وما هي رتبتك؟ لأنه كما يوجد "دعاة للجهاد في سبيل المخابرات" ملتحون، فلا يمنع هذا وجود إعلاميين يجاهدون في سبيل المخابرات ذاتها، ويمرون عبر مهاجمة الصنف الأول!

وكلمة أبرقها إليك ومن يسير في دربك: إننا أمة من دون الناس، صنَعَنا كتابٌ أوحي إلى محمد بن عبد الله، هزمنا به هرقل وكسرى حفاةً عراة، واليوم سنهزم به ترامب وبوتين... نؤمن بالكتاب كله، ومنه قول ربنا: ﴿فَلَا وَرَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ حَتَّىٰ يُحَكِّمُوكَ فِيمَا شَجَرَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ لَا يَجِدُوا فِي أَنفُسِهِمْ حَرَجاً مِّمَّا قَضَيْتَ وَيُسَلِّمُوا تَسْلِيماً﴾ [النساء: 65].

وفي النهاية: لن تنفعك لا روسيا ولا أمريكا، ولا الدولة المدنية العلمانية.

﴿وَقَدْ مَكَرُوا مَكْرَهُمْ وَعِندَ اللَّهِ مَكْرُهُمْ وَإِن كَانَ مَكْرُهُمْ لِتَزُولَ مِنْهُ الْجِبَالُ * فَلَا تَحْسَبَنَّ اللَّهَ مُخْلِفَ وَعْدِهِ رُسُلَهُ إِنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ ذُو انتِقَامٍ﴾ [إبراهيم: 46-47].

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

بيان جمال

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon