لا يمكن أن يكون انتعاش اقتصادي في ظل الديمقراطية لأنها لا تخدم إلا مصالح المؤسسات المالية الاستعمارية
لا يمكن أن يكون انتعاش اقتصادي في ظل الديمقراطية لأنها لا تخدم إلا مصالح المؤسسات المالية الاستعمارية

الخبر:   أصدر بنك الدولة الباكستاني تقريره الفصلي في 6 كانون الثاني/يناير 2020، بشأن حالة الاقتصاد الباكستاني. وفقا للتقرير، تحرك الاقتصاد الباكستاني تدريجيا على طريق التكيف. واكتسب استقرار الاقتصاد الكلي زخماً مع بدء برنامج التسهيلات الممولة من صندوق النقد الدولي. وقد واصل بنك الدولة الباكستاني الحفاظ على السياسة النقدية متسقة مع هدف التضخم على المدى المتوسط؛ بينما كانت جهود التوحيد واضحة على الجبهة المالية.

0:00 0:00
Speed:
January 21, 2020

لا يمكن أن يكون انتعاش اقتصادي في ظل الديمقراطية لأنها لا تخدم إلا مصالح المؤسسات المالية الاستعمارية

لا يمكن أن يكون انتعاش اقتصادي في ظل الديمقراطية

لأنها لا تخدم إلا مصالح المؤسسات المالية الاستعمارية

(مترجم)

الخبر:

أصدر بنك الدولة الباكستاني تقريره الفصلي في 6 كانون الثاني/يناير 2020، بشأن حالة الاقتصاد الباكستاني. وفقا للتقرير، تحرك الاقتصاد الباكستاني تدريجيا على طريق التكيف. واكتسب استقرار الاقتصاد الكلي زخماً مع بدء برنامج التسهيلات الممولة من صندوق النقد الدولي. وقد واصل بنك الدولة الباكستاني الحفاظ على السياسة النقدية متسقة مع هدف التضخم على المدى المتوسط؛ بينما كانت جهود التوحيد واضحة على الجبهة المالية.

التعليق:

يرسم التقرير ربع السنوي لبنك الدولة الباكستاني عن حالة الاقتصاد صورة متفائلة ومبهجة، تنعكس في خطابات محافظه رضا باقر. فهو يخبرنا أن الاستقرار يتحقق، وأن الاحتياطيات الأجنبية في ارتفاع وأن العجز المالي والخارجي آخذ في التقلص. ومع ذلك، فإن الشعب الباكستاني يواجه تراجعا في التضخم. البيانات الصادرة عن مكتب الإحصاء الباكستاني في 4 كانون الأول/ديسمبر 2019 تبين أن هناك ارتفاعا في التضخم بنسبة 12.7 في المئة، على أساس سنوي. وارتبط الجزء الأكبر من التضخم بارتفاع أسعار المواد الغذائية. وتصاعدت الضائقة إلى الحد الذي طلب فيه رئيس الوزراء، عمران خان، في 16 كانون الثاني/يناير 2020، من الوزارات المعنية التوصل إلى حل عملي لخفض أسعار السلع الأساسية. علاوة على ذلك، تتفشى البطالة، والأعمال التجارية في انهيار، وتكاليف الرعاية الصحية باهظة، ونفقات المدارس لا يمكن تحملها، وأسعار المرافق تتصاعد، والأمراض المرتبطة بالإجهاد في ازدياد، والشباب اليائس يلجأ إلى الجريمة ويقدم أرباب الأسر المحبطين على الانتحار.

إذا كانت هذه هي الحالة الحقيقية لاقتصاد باكستان، فكيف يمكن لبنك الدولة الباكستاني ومختلف الوزراء الفيدراليين أن يدَّعوا استقرار الاقتصاد؟ في الواقع، لا يقوم النظام بتقييم حالة الاقتصاد من وجهة نظر الناس. التقارير كلها تخرج من منظور صندوق النقد الدولي والدائنين الدوليين. وهكذا، أعلن الدكتور عبد الحفيظ شيخ، مستشار رئيس وزراء باكستان للشؤون المالية، بأن الحكومة نجحت في تأمين "توازن أساسي". ومع ذلك، فإن هذا المؤشر لا علاقة له بحالة الاقتصاد ككل. إنه يركز بشكل ضيق على وصف مدى قدرة أي بلد على مواصلة التزامات خدمة الديون.

كان لدى باكستان رصيد أولي سلبي حتى بداية الربع الأول من السنة المالية الحالية. ومع ذلك، فقد الآن التوازن الأساسي الإيجابي. الرصيد الأساسي هو الفرق بين الإيرادات والنفقات، ناقص خدمة الدين. ولتحقيق التوازن الأولي الإيجابي، يجب على الحكومة زيادة الإيرادات وخفض النفقات. يدعي نظام باجوا/ عمران أن ضرائب المجلس الفيدرالي للإيرادات نمت بنسبة 15.2 في المائة في الربع الأول من هذه السنة المالية، مقارنة بنمو 8.8 في المائة العام الماضي. وينسب جزء كبير من الزيادة إلى زيادة معدل ضريبة المبيعات، وإعادة الضرائب المفروضة على خدمات الاتصالات، ومراجعة تصاعدية لمعدلات الضرائب على الأشخاص الذين يتقاضون رواتب، وارتفاع نسبة الربا، حيث يتم فرض ضريبة على الدخل المكتسب من الربا على الديون، وزيادة تصاعدية في ضريبة المكوس الفيدرالية وإلغاء التصنيف الصفري لخمسة قطاعات "موجهة نحو التصدير". هذا يعني ببساطة أن عبء الضرائب قد زاد على من يدفعون الضرائب بالفعل.

وجاءت أكبر الزيادات في تحصيل الإيرادات من الضرائب غير المباشرة، التي تمثل أكثر من 63 في المائة من إجمالي ضرائب المجلس الفيدرالي للإيرادات. الضرائب غير المباشرة هي في جميع المجالات، وتراجعية في طبيعتها، وتضر الفقراء أكثر من الأغنياء. وجاء الجزء الأكبر من نمو الإيرادات من الزيادة في أسعار البنزين والديزل والكهرباء. لذلك ليس من المستغرب أن يعرب صندوق النقد الدولي ورجاله الاقتصاديون، من مثل الدكتور عبد الحفيظ شيخ ورضا باقر، عن رضاهم عن حالة الاقتصاد الباكستاني، حيث إنهم يستنزفون شعب باكستان لمواصلة خدمة الديون.

تطبق الديمقراطية دائما النظام الاقتصادي الرأسمالي ومطالب صندوق النقد الدولي، الذي يركز الثروة فقط في أيدي المؤسسات المالية الاستعمارية. يمكن للإسلام وحده أن يوفر الإغاثة الحقيقية لأن نظامه الاقتصادي لا يخدم مصالح الدائنين الاستعماريين، بل يركز عوضا عن ذلك على احتياجات الناس. ولا يطبق النظام الاقتصادي الإسلامي إلا في ظل نظام الحكم الإسلامي، الخلافة. لذلك، يجب على مسلمي باكستان التخلي عن الديمقراطية وأنصارها والنظام الاقتصادي الرأسمالي. وعليهم السعي جاهدين للعمل في مشروع إقامة الخلافة على منهاج النبوة، والتي ستنهي البؤس الاقتصادي، وتجلب الرخاء الذي يستحقونه حقاً.

قال الله سبحانه وتعالى: ﴿كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ مُبَارَكٌ لِّيَدَّبَّرُوا آيَاتِهِ وَلِيَتَذَكَّرَ أُوْلُوا الْأَلْبَابِ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

شاهزاد شيخ

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon