كيفية حظر السلطة الفلسطينية أنشطة مجموعة المثليين في فلسطين (مترجم)
كيفية حظر السلطة الفلسطينية أنشطة مجموعة المثليين في فلسطين (مترجم)

الخبر:   خلال هذا الشهر (آب/أغسطس)، منعت السلطة الفلسطينية أي نشاط لتجمع المثليين الجنسيين المسمى "قوس"، ودعت للتواصل مع الشرطة والإبلاغ عن أي شخص له علاقة بهذا التجمع مع ضمان سرية المعلومات التي سيقدمها. (رام الله الإخباري). ووفقا للمتحدث باسم الشرطة العقيد لؤي ارزيقات، فإن مثل هذه النشاطات تعتبر ضربا ومساسا في المثل والقيم العليا للمجتمع الفلسطيني. وجاء في إعلان للقوس عن مخيم ليلي في نهاية الشهر الجاري أنه سيتيح مساحة لمن تتراوح أعمارهم بين 18 و24 عاما لاستكشاف التعددية الجنسية والجنسانية، وهو متاح للناس "من جميع أنحاء فلسطين"، بما في ذلك (إسرائيل)، دون الإشارة إلى المكان الذي سيقام فيه. (نيويورك تايمز). ...

0:00 0:00
Speed:
September 01, 2019

كيفية حظر السلطة الفلسطينية أنشطة مجموعة المثليين في فلسطين (مترجم)

كيفية حظر السلطة الفلسطينية أنشطة مجموعة المثليين في فلسطين

(مترجم)

الخبر:

خلال هذا الشهر (آب/أغسطس)، منعت السلطة الفلسطينية أي نشاط لتجمع المثليين الجنسيين المسمى "قوس"، ودعت للتواصل مع الشرطة والإبلاغ عن أي شخص له علاقة بهذا التجمع مع ضمان سرية المعلومات التي سيقدمها. (رام الله الإخباري).

ووفقا للمتحدث باسم الشرطة العقيد لؤي ارزيقات، فإن مثل هذه النشاطات تعتبر ضربا ومساسا في المثل والقيم العليا للمجتمع الفلسطيني.

وجاء في إعلان للقوس عن مخيم ليلي في نهاية الشهر الجاري أنه سيتيح مساحة لمن تتراوح أعمارهم بين 18 و24 عاما لاستكشاف التعددية الجنسية والجنسانية، وهو متاح للناس "من جميع أنحاء فلسطين"، بما في ذلك (إسرائيل)، دون الإشارة إلى المكان الذي سيقام فيه. (نيويورك تايمز).

التعليق:

كما يقول المثل "الخبر السيئ هو ترويج جيد"، إن النقاش العنيف الذي يحيط بالسلطة الفلسطينية حول جماعة القوس في فلسطين والسرية في التبليغ عن هؤلاء الأفراد والمؤيدين من أجل حماية "الثقافة والقيم الفلسطينية" آخذة في التسارع بشكل خاص في هذا الشهر آب/أغسطس على الرغم من بعض الادعاءات على وجود (القوس) منذ عام 2001. وتتم تغطية دولية من الصحف الأجنبية لهذا الموضوع، وتقوم وكالات أنباء عربية عدة بمتابعة وتحديث هذا الإعلان ببعض الفترات في التغطية الإخبارية التلفزيونية.

غالبية هذه الوكالات غاضبة ولكن ليس من هذه المجموعة بل من البيان العام الذي أصدرته السلطة الفلسطينية بحظر أي أنشطة لمجموعة القوس، مشيرة إلى القيود والهجمات على المثليين في العيش وفقا لأساليبهم في تعزيز حقوق الإنسان الخاصة بهم، وانقاد النقاش في ذلك أنه في فلسطين الحديثة يجب أن يكون هذا النوع من نمط الحياة مقبولا ونجرؤ على أن نقول ستكون محمية.

لكي تقدم السلطة الفلسطينية بياناً عاماً مع علمها الكامل بأن هذا سيسلط الضوء على مجموعة المثليين وسيتسبب في معرفة المزيد من الناس في فلسطين بها، وفعلهم هذا سيكون بعكس إعلانهم.

إن إظهار وكالات الأنباء لجماعة القوس في ضوء متعاطف ومظلوم لكي تتمكن من العزف على أوتار الحريات الليبرالية والحماية وهو بالضبط ما يتم دفعه، ويرجع ذلك إلى أن السلطة الفلسطينية لا تستطيع أن تعترف فجأة وعلى الفور بهؤلاء الفاسقين وممارساتهم دون أن تعاني من ضجة عامة، لا سيما من جانب الوكالات الدولية، لذلك يجب أن تكون التصريحات والحملات القمعية مقدمة لتطبيع مجتمع الشعب الفلسطيني المحافظ إسلامياً ببطء لقبول ضغوط دعوات المجتمع الدولي للإصلاح في المجتمع الفلسطيني حيث يقوم علناً بقبول جميع أنواع القيم الليبرالية الغريبة عن الثقافة والمثل الإسلامية في أرض فلسطين المباركة، ويتعين على السلطة الفلسطينية أن تقوم بتدخل جريء من أجل "الامتثال للضغوط العامة" من جماعات حقوق الإنسان والمنظمات غير الحكومية، وقد يأتي ذلك في شكل ربط المعونة النقدية كنقطة ضغط، في حين إن القوانين ستقر على الشعب بشكل ملتو وتطبق عليهم، ويمكن استخلاص مثال من القانون السابق الذي يحظر بيع الأراضي لليهود والعقاب الشديد على بيع أي أرض من أراضي فلسطين لهم؛ وقد اعتُبر عملاً من أعمال الخيانة ويعاقب بقسوة ووصمة عار يواجهها المجتمع ليس فقط من جانب الفرد بل من جانب الأسرة ككل. لكن اليوم لم تعد السلطة الفلسطينية تعتبر يهود أعداء بل كجيران وبالتالي بيع أراضي فلسطين الثمينة لا يعاقب عليه قانوناً ولكن لا تزال وصمة العار باقية، وتحاول السلطة الفلسطينية ألا تتواجه مع هؤلاء الناس والحوادث لتجنب أن توصف بالخيانة والعمالة (مع أنها كذلك).

وهكذا بمثل هذه الضجة يأتي الفرض البطيء لـ"مجتمع المثليين" على أرض فلسطين المباركة مضيفاً المزيد من الرذيلة والحرام إلى الأراضي الإسلامية وخاصة في مركزها، ونرى التعتيم الإعلامي أو التغطية على أكثر الفعاليات المفيدة مثلا في فضح ممارسات وسياسات النظام وفي الأحداث في جميع أنحاء البلاد خاصة عندما يتعلق الأمر بتعتيم وسائل الإعلام على الاحتجاجات والمؤتمرات والمواقع لأنها ترفض الوضع الراهن، إن كل هذا مفهوم تماماً من الأنظمة التي تجعل وسائل الإعلام تُستخدم كقوة لينة للسيطرة على الجماهير واسترضاء الجماهير بشأن بعض القضايا التي تهدد وجود الأنظمة الحالية. أما فيما يتعلق بالفساد مثل المثلية الجنسية، فيتم دفعها إلى الجمهور للقراءة والاستفسار، ولا يتم إغلاق مواقعهم الإلكترونية كما هو الحال مع العديد من المواقع الإسلامية الأخرى وصفحات مواقع التواصل والمواقع الرسمية لحزب التحرير.

وقد يأتي مع الغضب العام الفضول، وتأتي المحرمات ببطء؛ يسلط الضوء، ويبدأ التسامح ومن ثم الاعتراف والقبول في نهاية المطاف، وليس مستبعدا أن تتضمن المناهج التعليمية مواضيع مثل هذه المواضيع كما نرى في البلدان الغربية التي تتضمن مثل هذه المواضيع الجنسية في مثل هذه السن المبكرة التي تجبر على الحضور ومعرفة مثل هذه المواضيع البذيئة، ويجري بالفعل تعميم الإعلانات من أجل التجمعات السرية والرحلات الليلية لمناقشة ونشر أعمالهم الفاسدة. حقا إننا في زمن القابض فيه على دينه كالقابض على الجمر.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

منال بدر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon