جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 466
October 24, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 466

Al Raya sahafa

2023-10-25

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 465

إن ثقتنا بالله عظيمة فهو وحده الذي سيجعل لنا من لدنه نصرة وعوناً، وإنا مطمئنون لنصر الله القوي العزيز، لأن النصر بيد الله وحده يجريه على يد عباده الذين اصطفاهم لهذه المكرمة، فمن شاء أن يكون منهم فقد فاز فوزاً عظيماً، ومن استحوذ عليه الجبن خاب وخسر في الدنيا والآخرة، فأعداؤنا مهما بلغت قوتهم فهي قوة محدودة، ولذلك لا نراهم إلا هباء لأننا نتوكل ونعتمد على قوة لا محدودة هي قوة الله القوي العزيز.

===

تسخين الحل السياسي الأمريكي في سوريا

بالتفجيرات والقصف

بقلم: الأستاذ محمد سعيد العبود

شهدت الأيام الماضية أحداثا دامية في سوريا؛ فقد كان تفجير أنقرة الذي قام به حزب العمال الكردستاني حسب ما ذكرت الداخلية التركية سبباً لتصعيد القصف التركي على مناطق سيطرة قوات سوريا الديمقراطية. كما اتخذ النظام تفجير الكلية الحربية في حمص ذريعة لتصعيد القصف على مناطق إدلب وأريافها وأرياف حلب الغربي.

هذه الأحداث الدامية تشعر في توقيتها المتزامن وتأثيرها المترابط أن وراءها يداً واحدة تحرك الأدوات لتسخين الصراع دمويا بين الفئات المسيطرة على المناطق في سوريا للضغط عليها وعلى حاضنتها الشعبية من أجل إنضاج طبخة الحل السياسي الأمريكي من خلال تطبيق مخرجات القرار رقم 2254.

 إن أمريكا هي من يقود جوقة القتلة والمتآمرين على ثورة الشام، وهي التي توزع الأدوار عليهم من أجل الحفاظ على نظام الإجرام العميل في دمشق، وذلك عبر ما سمته الحل السياسي. فهل تنجح أمريكا في حلها السياسي المسموم؟

لقد تشعبت المحاولات الأمريكية لفرض الحل السياسي على أهل الشام واستخدمت أساليب القتل والتجويع والتهجير والحصار والترغيب والترهيب والاستنزاف وشراء الذمم وصناعة العملاء وتشكيل سوريا إلى مناطق عدة يسيطر عليها أدوات أمريكا لتؤلف منهم توازناً طائفيا وعرقيا تبني عليه حلها السياسي، فهل تنجح في ذلك؟

إن حلول أمريكا السياسية في بلاد المسلمين كانت فاشلة، ونموذجا لبنان والعراق ليسا عنا ببعيدين؛ فلم تؤد تلك الحلول إلى الاستقرار بل إلى مزيد من التفكك وتفجّر الأوضاع بشكل دائم وتضخم الفساد والاستبداد؛ وذلك أن الحلول الأمريكية تنطلق من زاوية مصالح أمريكا وتكريس نفوذها وحفظ أمن ربيبتها كيان يهود دون أن تلحظ مصالح الشعب في تلك البلاد.

إن أي حل سياسي لا يقوم على العدل بين الناس والرحمة بهم فهو حل فاشل، بل لا يصح أن يسمى حلا، بل هو تغيير لشكل الفوضى والظلم الذي تقوده أمريكا وينفذه أدواتها العملاء.

إن الحل السياسي العادل هو ما أنزله الله سبحانه وتعالى من نظام الإسلام ومنهج الرحمن ليكون رحمة للعالمين، فهو الحل الشامل الكامل الذي يرعى شؤون البشر بمنهج الله وشريعته فتكون السيادة فيه لشرع الله والسلطان للأمة حيث تختار من يحكمها بشرع ربها عن رضا واختيار دون فرض أو إكراه من قوى داخلية أو خارجية.

لقد مارست أمريكا أساليب الضغط واتخذت وسائل كثيرة من مؤتمرات ومؤامرات لتفرض حلولها على أهل الشام، ولكنها باءت بالفشل، بل لقد شاب رأس أوباما من التفكير بالمكر بأهل الشام ولم يصل إلى حل يرضيها ويحقق مصالحها في أرض الشام.

وأمام هذه الممارسات والضغوط والمكر لا بد لأهل الشام أن يدركوا خبث عدوهم وأن يتجنبوا الوقوع في فخاخه السياسية وأن يثبتوا أمام ضغوطه الإجرامية، وأن يعتصموا بحبل الله وحده وينبذوا كل أدوات أمريكا ومن يلتقي بها أو ينسق معها، فهم تجار حروب وأدوات سياسة رخيصة، وأن يبحثوا عن الصادقين في هذه الأمة وهذه الثورة ليعملوا معهم على إسقاط مكر أمريكا وأدواتها ويتخذوا منهم قيادة سياسية تقود قواهم العسكرية والشعبية لإسقاط النظام وإقامة حكم الإسلام؛ خلافة راشدة على منهاج النبوة.

﴿فَمَنِ اتَّبَعَ هُدايَ فَلا يَضِلُّ وَلا يَشقى * وَمَن أَعرَضَ عَن ذِكري فَإِنَّ لَهُ مَعيشَةً ضَنكاً وَنَحشُرُهُ يَومَ القِيامَةِ أَعمى

===

المكتب المركزي: عاصفة تويترية

"طوفان الأقصى.. رسائل عاجلة إلى الأمة الإسلامية وجيوشها!"

في ظل البطولات التي سطرها المجاهدون الأبطال في الأرض المباركة (فلسطين) تحت شعار "طوفان الأقصى" ضد كيان يهود الغاصب الذي يتمادى في اعتدائه على المسجد الأقصى المبارك وحصاره وقصفه المستمر منذ 17 سنة على قطاع غزة العزة، والتي قوبلت بعدوان وحشي إجرامي لكيان يهود أدى إلى استشهاد وإصابة أكثر من 20 ألف مسلم ومسلمة في قطاع غزة العزة، نظم المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير عاصفة تويترية يومي السبت والأحد 21-2023/10/22م، تحت عنوان:

"طوفان الأقصى.. رسائل عاجلة إلى الأمة الإسلامية وجيوشها!"

نصرة للمسلمين في الأرض المباركة (فلسطين) واستنصاراً لجيوش المسلمين أن تكسر القيود التي كبلها بها الحكام الخونة الرويبضات في ثكناتها ولكي تتحرك من فورها لنصرة المجاهدين في فلسطين لتحرر المسجد الأقصى المبارك وكل فلسطين المحتلة من نهرها إلى بحرها من براثن يهود المحتلين.

===

تصريحات السيسي حول تهجير أهل غزة وقتل المقاومة

قمة الخيانة والتآمر

قال السيسي في مؤتمر صحفي مع المستشار الألماني، مخاطبا كيان يهود "إذا كان هناك فكرة للتهجير توجد صحراء النقب في (إسرائيل) ممكن أن يتم نقل الفلسطينيين حتى تنتهي (إسرائيل) من مهمتها المعلنة في تصفية الجماعات المسلحة مثل حماس والجهاد الإسلامي وغيره ثم ترجعهم إذا شاءت".

وتعقيبا على ذلك قال المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين في تعليق صحفي نشره على صفحاته:

"لم يكف السيسي والنظام المصري خذلانه لأهل غزة وهو يرى القتل والدمار يفتك بأهل غزة وهم يستغيثون بجيش مصر ليرفع عنهم عدوان المعتدين ويوقف شلال الدم، ليخرج علينا السيسي بهذا التصريح ليقطع بقوله قول كل خطيب وليقدم دليلا كسطوع الشمس على عمالته وخيانته وتآمره، فمثل هذه التصريحات التي تعطي رخصة للقتل والفتك وتقدم الحلول لكيان يهود المجرم لم تكن لتصدر من أشد الناس عداوة لأهل فلسطين ولكنها صدرت ممن يجثم على كرسي الحكم لمصر عمرو بن العاص، مصر أجناد صلاح الدين وكنانة الله في أرضه!

لقد آن لأهل مصر الأقوياء وجيشها القوي أن يطيحوا بهذا العميل وأن يقيموا الخلافة على أنقاض حكمه ويقتحموا حدود الكيان المسخ ويجتثوه من جذوره وينهوا شروره مرة واحدة وإلى الأبد، وإن ذلك حري بهم وهم عليه قادرون، فاعزموا أمركم وتوكلوا على ربكم يا أهل مصر والله معكم ولن يتركم أعمالكم.

===

يا جيوش المسلمين!

أرض الأقصى تناديكم لتحريرها! فمتى تستجيبون؟!

لا يزال مسلمو غزة يتعرضون للقصف على يد كيان يهود الهمجي، ويواجهون إبادة جماعية وكارثة إنسانية ذات أبعاد غير مسبوقة. وقد أدى القصف العشوائي للمباني السكنية والمستشفيات والمدارس والمساجد والأسواق وغيرها من الأماكن المدنية إلى مذابح وموت ودمار على نطاق واسع...

وإزاء ذلك توجهت الدكتورة نسرين نواز، مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير، بنداء إلى المخلصين في جيوش المسلمين باسم نساء هذه الأمة الكريمة! إن أرض الأقصى تنزف، وإخوانكم وأخواتكم وأبناء الأرض المباركة فلسطين ينزفون، فمتى تتحركون للدفاع عنهم وتحريرهم؟! إلى أي مدى يمكنكم أن تتحملوا المزيد من هذه المذابح والإرهاب الذي تتعرض له أمتكم، وأنتم تعلمون أن لديكم القوة المادية لوضع حد لهذا الكابوس الذي يعيشونه؟! ألا تمزق قلوبَكم صورُ الجثث المتفحمة للأطفال الذين تمّ انتشالهم من تحت الأنقاض والأمهات اللاتي يحتضن أطفالهن الملطخين بالدماء بين أذرعهم، الذين قتلوا على يد هذا الاحتلال الإرهابي؟! ألا تجعل مشاهد قوات يهود المجرمة التي تدنس الأقصى، ورقص المستوطنين على قبور المسلمين ومن بينهم الصحابة في مقبرة باب الرحمة، الدماء تغلي في عروقكم؟! ألا يشعل مشهد أخواتكم المسلمات وهن يتعرضن للضرب، والطرح على الأرض، والركل من قبل جنود يهود، والأطفال الفلسطينيين الذين تسيء إليهم قوات يهود، ويقتلون بالرصاص في الشوارع، الرغبة في داخلكم لتقديم المساعدة لهم؟! فكم من هذه الوحشية وجرائم هذا الاحتلال القاتل أنتم على استعداد لتحمله قبل أن تتحركوا لتحرير هذه الأرض المباركة؟!

وأضافت: هل تتوقعون من أبناء فلسطين العزل أن يقفوا في وجه جيش، يواجهون الرصاص والقنابل وحدهم، ويقوموا بالواجب الذي جعله الله في رقابكم وهو الدفاع عن أمتكم وتحريرها من ظالميها، وأنتم الذين تملكون الدبابات والطائرات والذخائر ما يكفي للقضاء على هذا الاحتلال السرطاني إلى الأبد؟ ألم يقل الله تعالى: ﴿وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ﴾؟ ماذا ستقولون عندما يسألكم سبحانه وتعالى: لماذا سكتم بينما كانت أمتكم تنزف، وتُهان أخواتكم وتُدنس أرض الأقصى؟!

وختمت نداءها بالقول: أيها الأبناء المخلصون في جيوش المسلمين! أنتم ورثة قادة المسلمين العظماء؛ خالد بن الوليد رضي الله عنه، وصلاح الدين الأيوبي، ومحمد بن القاسم، ومحمد الفاتح، رحمهم الله. ألا ترغبون في اتباع إرثهم في تحقيق الانتصارات المجيدة لهذه الأمة ودينها مرةً أخرى وإعادتها إلى مكانتها وهيبتها؟! ألا تريدون أن تنالوا الشرف العظيم في الدنيا، والأجر الجزيل في الآخرة، لتكونوا من حرّر الأقصى ورفع راية لا إله إلا الله مرةً أخرى فوق القدس وجعلها عاصمة للخلافة الراشدة الثانية؟! أنتم تحملون آمال هذه الأمة بين أيديكم، فكونوا أبطالها من خلال اجتثاث هذه الأنظمة الخائنة والجبانة وإعطاء النصرة لإقامة نظام الله سبحانه وتعالى، الخلافة على منهاج النبوة. أنتم وحدكم الذين سوف تحتشدون دون تأخير لتحرير فلسطين وجميع المسلمين المضطهدين في جميع أنحاء العالم.

===

حزب التحرير/ ولاية الأردن ينظم وقفة جماهيرية كبرى في عمان

استنهض فيها جيوش الأمة وطالب بتحريكها نصرة لغزة ونجدة لأهلها

قام حزب التحرير/ ولاية الأردن بتنظيم وقفة جماهيرية كبرى، كان قد دعا إليها عبر مكتبه الإعلامي، وذلك بعد صلاة الجمعة 2023/10/20 من أمام مسجد الجامعة الأردنية، خاطب فيها جيوش الأمة بعامة وجيش الأردن وجيش مصر بخاصة، واستنهض هممهم للتحرك لنصرة غزة ونجدة أهلها في مصابهم الجلل، في ظل تخاذل حكامهم ولجوئهم إلى ما يسمى بالمجتمع الدولي الذي سقطت كل معاييره الكاذبة، وفي ظل تحركات هؤلاء الحكام واتصالاتهم فيما بينهم وبين أعداء الأمة في أوروبا وأمريكا. وقد انضم إلى الوقفة عدد كبير من أبناء الأردن، إلى جانب شباب الحزب، وصدحت حناجرهم بالتكبيرات، والهتافات التي بينت الواجب الذي فرضه الله على الأمة الإسلامية وأبنائها وجيوشها الذين تغلي الدماء في عروقهم تحفزا للجهاد وقتال يهود، ونصرة أهل غزة، بل نصرة الأمة واسترداد سلطانها المغتصب من أجل إقامة دولة الخلافة، قضية الأمة المصيرية.

===

حزب التحرير في ولاية بنغلادش ينظم مسيرات لمطالبة الضباط بنصرة أهل فلسطين وتحرير المسجد الأقصى والأرض المباركة فلسطين

نظّم حزب التحرير/ ولاية بنغلادش، اليوم الجمعة 2023/10/20م، بعد صلاة الجمعة، مسيرات احتجاجية في مختلف المساجد في مدينة دكا احتجاجاً على التدنيس المستمر للمسجد الأقصى والمذابح الوحشية التي يتعرض لها المسلمون في فلسطين على يد المغضوب عليهم في كيان يهود، بدعم مباشر من الكفار الغربيين ووسط صمت حكام المسلمين العملاء، وقد شارك في المسيرات عدد كبير من المسلمين الغاضبين ورددوا شعارات ضد حكام المسلمين العملاء للكفار الغربيين، من الذين يرسلون جيشنا في "مهام حفظ السلام" التابعة للأمم المتحدة لحماية مصالح الغرب وإراقة دماء قواتنا المسلمة في تلك المهام في حروب الكفار، ولكن عندما تكون الحاجة واجبة لحفظ دماء وأعراض المسلمين فإنهم لا يقدّمون إلا الكلمات الفارغة وذرف دموع التماسيح لخداع المسلمين، ناهيك عن شن حملة عسكرية لتحرير الأرض المباركة فلسطين.

وذكّر المسلمون في المسيرات الاحتجاجية الضباط العسكريين بأن واجبهم الذي فرضه الله عليهم هو النفير لتحرير الأرض المباركة والمسجد الأقصى وإزالة كل من يعيق ذلك في الطريق ﴿وَمَا لَكُمْ لَا تُقَاتِلُونَ فِي سَبِيلِ اللهِ وَالْمُسْتَضْعَفِينَ مِنَ الرِّجَالِ وَالنِّسَاءِ وَالْوِلْدَانِ الَّذِينَ يَقُولُونَ رَبَّنَا أَخْرِجْنَا مِنْ هَذِهِ الْقَرْيَةِ الظَّالِمِ أَهْلُهَا وَاجْعَلْ لَنَا مِنْ لَدُنْكَ وَلِيّاً وَاجْعَلْ لَنَا مِنْ لَدُنْكَ نَصِيراً﴾.

===

يا جيش مصر: أين دفاعاتك الجوية؟!

طائرات يهود تدك غزة هاشم ليل نهار وأنتم تتفرجون!!

قال المهندس صلاح الدين عضاضة مدير المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير في بيان أصدره يوم الخميس 2023/10/19م، على إثر قيام قوات يهود بمجزرة مستشفى المعمداني في غزة هاشم، والتي كانت أشد فظاعة من سابقاتها، إمعانا في تحدي الأمة الإسلامية في محاولة كسر إرادتها وإرادة مجاهديها: لقد استطاعت طائرات يهود أن تفعل هذه الفظائع طوال الأيام الماضية لأن غزة هاشم ممنوع عنها امتلاك الدفاعات الجوية. لكن جيش مصر الكنانة الملاصق لغزة يمتلك من الدفاعات الجوية ما هو قادر على إخلاء سماء غزة من طائرات كيان يهود، كمنظومة إس 300 الشهيرة وهي مجهزة في أربع كتائب، وكذلك صواريخ باتريوت التي يمتلك منها 32 منظومة، وكذلك منظومة أيريس ومنظومة هوك ومنظومة تور، والعديد من أنظمة الدفاع الجوية (الصاروخية والمضادة) الأخرى القادرة على إخلاء سماء غزة من طائرات يهود الإجرامية.

لكن حاكم مصر قرر أن يرسل قافلة مساعدات إنسانية من الطعام والدواء بدلا من أن يرسل جيش الكنانة مع دفاعاته الجوية ليحصن غزة وأهلها من الموت المستمر منذ أيام!

فإلى متى ستسكت هذه الجيوش المدربة والمجهزة للقتال على خيانة حكامها وحبسها عن الجهاد في سبيل الله؟! بل إلى متى ستؤجل التحرك من أجل تحرير الأرض المباركة فلسطين من كيان يهود الغاصب؟!

وتوجه إلى جميع الإعلاميين المخلصين وأصحاب المنابر والمنصات والمؤثرين المغتاظين مما يحدث في غزة هاشم أن أعلنوها صراحة بأن وقف الحرب على غزة هو واجب جيوش المسلمين التي تدربت وتسلحت وتجهزت للحروب. فواجبكم هو أن تركزوا هذه الحقيقة لدى الرأي العام. ولا تشوشوا الرأي العام بشعارات أخرى تضيع الوقت وتشتت الجهود، بل ثبتوا هذه الحقيقة لدى الأمة الإسلامية فهي أقصر طريق لإيقاف العدوان الحاصل على الأرض المباركة، وابدأوا بهذا السؤال: أين مضادات الطائرات يا جيش مصر؟!

===

حزب التّحرير في كينيا ينظّم اعتصاماً

دعا فيه جيوش المسلمين لتحرير الأقصى من براثن كيان يهود

في أعقاب المجازر المستمرة التي يرتكبها كيان يهود البغيض بحقّ أهل غزة، نظّم حزب التحرير في كينيا اعتصاماً بعد صلاة الجمعة في مدينتي نيروبي ومومباسا، بالإضافة إلى المدن الساحلية الكبرى الأخرى يوم الجمعة 20 تشرين الأول/أكتوبر 2023، ودعا خلالها الجيوش في بلاد المسلمين وخاصةً مصر ولبنان والأردن إلى كسر الأغلال التي وضعها حكامهم في ثكناتهم حتى يتمكنوا من التحرّك فوراً لدعم عملية طوفان الأقصى، وتحرير المسجد الأقصى المبارك من براثن يهود المحتلين. وانتهى الاعتصام بعقد مؤتمر صحفي قصير حول الاعتداء المستمر على أهل الأرض المباركة.

وأكد الحزب أن جيوش المسلمين وأهل القوة في الأمة تقع على عاتقهم مسؤولية كبيرة تجاه نصرة أبناء الأرض المباركة. كما تمّ تذكير الأمة بمهمتها النبيلة المتمثلة في استئناف الحياة الإسلامية من خلال إعادة إقامة دولة الخلافة التي ستحشد جيش المسلمين بكل قوة ضدّ كيان يهود وداعميه، أمريكا وبريطانيا...

===

حزب التحرير في تنزانيا

يوجه نداء إلى جيوش المسلمين لإنقاذ غزة

"انطلقوا لتحرير غزة والأقصى"

نظّم حزب التحرير في تنزانيا اليوم الجمعة 20 تشرين الأول/أكتوبر 2023م الموافق 05 ربيع الآخر 1445هـ، بعد صلاة الجمعة، وقفات في مناطق متفرقة من البلاد، دعا فيها جيوش المسلمين إلى الانطلاق لتحرير غزة وفلسطين والمسجد الأقصى.
وقد تم توجيه النداء إلى جيوش المسلمين وخاصةً جيش مصر لسرعة التدخل العسكري لتحرير فلسطين ومسلمي غزة والمسجد الأقصى وأرض الإسراء والمعراج واقتلاع كيان يهود الوحشي المجرم.

وذكّر النداء جيوش المسلمين، بأنهم جزء من أمتنا وأحفاد كبار الصحابة أمثال خالد بن الوليد، وأبي عبيدة، وعلي بن أبي طالب وغيرهم، كما أنهم من سلالة الأبطال أمثال صلاح الدين الأيوبي، ومحمد الفاتح وغيرهم. لذا يجب عليهم أن يقفوا ويستيقظوا ويسيروا على خطا آبائهم لتحرير فلسطين وحشد القوات العسكرية للقضاء على كيان يهود دون تردد

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </