جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 463
October 03, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 463

Al Raya sahafa

2023-10-04

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 463

أيها الضباط والجنود في جيوش الأمة عامة وجيش مصر خاصة: إن واجبكم ليس حماية كيان يهود ولا هذه الأنظمة العميلة التي تحكمكم، بل إن واجبكم هو حماية الأمة ومقدساتها وتطبيق أحكام دينها في ظل دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، فقوموا بما أوجبه الله عليكم وأعيدوا للأمة سيادتها وسلطانها ليرضى الله عنكم ويكتبكم مع الصادقين وتعود لكم عزتكم المفقودة من جديد.

===

فلسطين بحاجة للمحررين

وليس لمطبعين خانعين!

تحت حراب الاحتلال، وصل وفد رسمي سعودي، يترأسه السفير نايف بن بندر السديري، المفوض فوق العادة، إلى رام الله، ظهر يوم الثلاثاء 11 ربيع الأول 1445هـ، 2023/9/26م؛ وذلك لتقديم أوراق اعتماده رسميا لرئيس السلطة الفلسطينية محمود عباس. ودخل السفير عبر جسر الملك حسين إلى أريحا، واتجه مع الوفد المرافق له إلى مقر المقاطعة في رام الله للقاء عباس.

وفور دخول الوفد الأراضي الفلسطينية، غرد السفير عبر حسابه بموقع إكس قائلا: "من دولة فلسطين الحبيبة أرض كنعان أجمل التحيات، مقرونة بمحبة مولاي خادم الحرمين الشريفين وسمو سيدي ولي العهد".

وعلى إثر هذه الزيارة الخيانية قال بيان صحفي أصدره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين: تأتي زيارة السديري هذه في ظل تقدم المفاوضات التي يجريها ابن سلمان مع كيان يهود بإشراف أمريكي لتطبيع العلاقات، والتي أعلن عنها ابن سلمان في مقابلة له مع قناة فوكس نيوز، لتؤكد هذه الزيارة مدى الوادي السحيق الذي انحدر إليه هؤلاء الحكام الأقزام الذين لم يعودوا يرون بأساً في التطبيع العلني مع من احتل مسرى النبي محمد ﷺ، ومن يقتل أهل فلسطين صباح مساء ومن يقوم مستوطنوه الآن باقتحام الأقصى ويعيثون فيه الفساد كل يوم! فهل هكذا يكون الدفاع والانتصار لصنو المسجد الحرام ومسرى الرسول الأكرم ﷺ؟! أعجزت قواتكم أن تدك كيان يهود المسخ بربع أو خمس أو عُشر القنابل التي أحرقتم بها اليمن، فتقضي عليه وتطهر الأرض المباركة من رجسه؟! أم أنكم مجرد دمى يحركها سادتكم في البيت الأبيض كما يشاؤون ووقتما يشاؤون؟!

وتابع البيان موضحا حقيقة نظرة حكام آل سعود للأرض المباركة: إن نظام آل سعود لا يخطر بباله قتال يهود، ولا تحرير الأرض المباركة (مسرى الرسول محمد ﷺ، والتي جبل ترابها بدماء الصحابة، لا أرض كنعان كما وصفها السديري)، بل "إن حكومة السعودية تقيم ومنذ زمن بعض الاتصالات مع كيان يهود ولكن في السر، لذلك فإن السعودية لا تمانع من حيث المبدأ بإقامة علاقات مع كيان يهود، بل إن ملكها السابق عبد الله بن عبد العزيز هو من أطلق مبادرة الخيانة العربية سنة 2002 وتعلن السعودية باستمرار تمسكها بها".

أما عن حال حكام المسلمين تجاه قضية الأرض المباركة فلسطين فقال البيان الصحفي: "لقد نسي الحكام في بلاد المسلمين أن فلسطين أرض مباركة، هي وما حولها، ﴿سُبْحَانَ الَّذِي أَسْرَى بِعَبْدِهِ لَيْلاً مِنَ الْمَسْجِدِ الْحَرَامِ إِلَى الْمَسْجِدِ الْأَقْصَى الَّذِي بَارَكْنَا حَوْلَهُ﴾، فالواجب أن تتحرك جيوش المسلمين لتحريرها وتطهيرها من رجس يهود لا أن تُقدَّم فلسطين ليهود على طبقِ ذهبٍ من تطبيع وخضوع وخنوع!... إن فلسطين ستعود طاهرة مباركة كما كانت بسيوف جيوش المسلمين الصادقين بقيادة الخلافة الراشدة، وسيهزم جمع يهود وأعوانهم ويولون الدُّبر، وسيملأ الرعب قلوبهم حتى يختبئ أحدهم خلف حجرٍ يكشفه أكثر مما يخفيه!! وصدق رسول الله ﷺ: «لَتُقَاتِلُنَّ الْيَهُودَ فَلَتَقْتُلُنَّهُمْ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ فَتَعَالَ فَاقْتُلْهُ» وفي رواية أخرى «هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي»... ولعله كائن قريبا بإذن الله ﴿وَيَقُولُونَ مَتَى هُوَ قُلْ عَسَى أَنْ يَكُونَ قَرِيباً﴾ وعندها لن ينال الذين أجرموا بتطبيعهم مع يهود إلا الخزي والعقاب الأليم".

===

هاجس الرعب من حزب التحرير والخلافة

يطارد الغرب المستعمر أينما كانوا!

هناك كتاب بعنوان: "البوتينية: روسيا ومستقبلها مع الغرب"، لكاتب يهودي اسمه وولتر لاكوير، ترجمة الدكتور فواز زعرور، صادر عن دار الكتاب العربي، بيروت، 2016. ذكر فيه حزب التحرير والخلافة ثلاث مرات، واضعاً إياه في سلة الجماعات الراديكالية، واصفاً إياه بالتطرف، في الصفحات: 124-125، 129، 197. قال في الموضع الأخير منها: "كانت الحركة المتشددة الأكثر نشاطا في آسیا الوسطى تتمثل بحزب التحریر، وھو منظمة سیاسیة إسلامیة تأسست في القدس في الخمسینات، وتعتزم إنشاء دولة إسلامیة شاملة (خلافة). وحالیاً تعتبر ھذه الحركة محظورة في كافة البلدان تقریباً، ومن ضمنھا بلدان العالم العربي. ولكن لا ینبغي الاستخفاف باحتمالات وجود ھذه الحركة في بعض بلدان آسیا الوسطى، مثل قرغیزيا".

الراية: منذ نشأة حزب التحرير في خمسينات القرن الماضي على يد الشيخ تقي الدين النبهاني رحمه الله، متبنّياً فكرة الخلافة والعمل في الأمة الإسلامية لإعادتها؛ أدركت الدول الاستعمارية خطورة هذا الحزب، وخطورة الدعوة التي يدعو إليها؛ لأن الخلافة ستهدم ما عملوا له عقوداً من الزمن، وستطهر بلاد المسلمين من نفوذهم، وستخرجهم منها صاغرين أذلاء، ولما ارتبطت فكرة الخلافة بحزب التحرير أصبح لديهم حساسية عالية من اسمه لأنه تبنّى فكرة الخلافة والعمل لها.

ومهما كان مكرهم وكيدهم، فإن ما يخافون منه ويتحسسون من ذكره سيصبح أمراً واقعاً وقريباً بإذن الله تعالى، فالخلافة هي وعد الله سبحانه وتعالى، وبشرى رسوله ﷺ، وهي العمل الدؤوب لحزب التحرير، وإنّ الله لناصر عباده المؤمنين، ولو بعد حين، وسيعلم الغرب الكافر المستعمر وعملاؤهم أيّ منقلب ينقلبون.

===

تواصل مظاهرات الشام المطالبة باستعادة قرار الثورة

ووقف الاقتتال الفصائلي الذي يرعاه النظام التركي

وَفْقَاً لنشرة أخبار يوم السبت 15 ربيع الأول 1445هـ، 2023/9/30م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا فقد تواصلت يوم الجمعة، الفعاليات الشعبية المستمرة للشهر الخامس على التوالي، ضمن الحراك الثوري اليومي في ريفي حلب وإدلب، وذلك في جمعة جديدة حملت عنوان "النظام التركي خنجر في ظهر القاتل والمقتول". فقد خرجت مظاهرات للحرائر في بلدات أطمة بريف إدلب والسحارة بريف حلب. كما خرجت مظاهرات بعد صلاة الجمعة وأخرى ليلية في 13 مدينة وبلدة ومخيماً بريفي حلب وإدلب، كما خرجت مظاهرات مساء الخميس. وقد طالب المتظاهرون بإطلاق سراح المعتقلين، واستعادة قرار الثورة، والتنديد بالاقتتال بين الفصائل الذي يتم برعاية النظام التركي، وإسقاط قادات المعابر، ورفض قرار مجلس الأمن 2254، وشددوا على الثبات على الحراك وسلميته، حتى تحقيق كافة المطالب.

===

الدعوة للقرار 2254 بخصوص سوريا

هي دعوة للمصالحة مع نظام بشار المجرم

إن الناظر المدقق في مضمون قرار مجلس الأمن التابع للأمم المتحدة رقم 2254، المتخذ بالإجماع في 18 كانون الأول/ديسمبر 2015، والمتعلق بوقف إطلاق النار والتوصل إلى تسوية سياسية للوضع في سوريا، ويطالب جميع الأطراف التوقف فوراً عن شن أي هجمات ضد أهداف مدنية، ويحث جميع الدول الأعضاء إلى دعم الجهود المبذولة لتحقيق وقف إطلاق النار ويطلب من الأمم المتحدة أن تجمع بين الطرفين للدخول في مفاوضات رسمية في أوائل كانون الثاني/يناير عام 2016، وبمعنى أدق إن الناظر في الحل السياسي الذي تدعو له أمريكا يجد أنه دعوة صريحة للمصالحة مع بشار أسد المجرم والحفاظ على نظامه العلماني العميل لأمريكا بدلاً من إسقاطه بكافة أركانه ورموزه، وكذلك حماية مؤسساته الأمنية والعسكرية التي سامت أهل الشام سوء العذاب، كما يجد أنه محاولة للقضاء على ما تبقى من ثورة الشام المباركة تحت بندٍ عريضٍ سمي بمحاربة الإرهاب، والذي يعني عند النظام المجرم كل الذين خرجوا في هذه الثورة العظيمة، يسانده في ذلك التحالف الدولي الصليبي ومجلس الأمن عن طريق قصف الحاضنة الشعبية التي يوجد بها هؤلاء الثوار والمجاهدون، ما يعني في النهاية القضاء على البقية الباقية من ثورة الشام، ليخرج بعد ذلك النظام السوري العميل معلنا انتصاره على أهل الشام ومن ثم ينتقم منهم؛ هذا ما ينادي به كل الداعين للقرار 2254 والمروجين له، سواء علموا بذلك أم لم يعلموا.

===

إلى متى نبقى وقودا لفتن ومكائد أعدائنا؟!

أيها المسلمون: إلى متى تبقون وقوداً للفتن ومخططات عدوكم؟ فبالأمس مزق الكافر المستعمر خلافتكم إلى نيف وخمسين دولة، وجعل هذه الدول تتصارع على حدود وهمية وضعها بينها، واليوم يفرض عليكم مخططاً أخبث من سابقه بتمزيق البلاد على الأساس الطائفي والقومي والعرقي، ويهيئ الشعوب لهذا المخطط الإجرامي ليكون تقسيمه دائمياً. أما آن لكم أن تفيقوا من غفلتكم وتضعوا الذل عن رقابكم؟ أما آن لكم أن تنادوا بهويتكم الإسلامية وتنبذوا الطائفية والقومية والعرقية؟ أما آن لكم أن تقدموا التضحيات الكريمة لنصرة دينكم، بدل التضحيات الكبيرة والرخيصة لخدمة مشاريع عدوكم؟!

فإلى العمل الجاد لعودة الإسلام إلى معترك الحياة، وتحكيم شرع الله، وعز الدنيا والآخرة ندعوكم أيها المسلمون، واعلموا أنَّ الله سبحانه وتعالى لم يخلقنا عبثاً، وقد فرض علينا هذا الأمر الذي فيه ذكرنا ورفعتنا، قال تعالى: ﴿لَقَدْ أَنزَلْنَا إِلَيْكُمْ كِتَاباً فِيهِ ذِكْرُكُمْ أَفَلَا تَعْقِلُونَ﴾، ولا يتحقق هذا الذكر، ولا هذا الشرف إلا بالإيمان بالله وتحكيم كتابه، والكفر بالطاغوت ونبذ دستوره، مصداقاً لقوله تعالى: ﴿أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ يَزْعُمُونَ أَنَّهُمْ آمَنُوا بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنزِلَ مِن قَبْلِكَ يُرِيدُونَ أَن يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَن يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُضِلَّهُمْ ضَلَالاً بَعِيداً﴾.

===

كتلة الوعي في جامعات فلسطين

تحيي ذكرى المولد النبوي الشريف

أحيت كتلة الوعي، الإطار الطلابي لحزب التحرير، في كل من جامعة بوليتكنك والخليل والقدس وجامعة النجاح وبيرزيت وجامعة الأقصى في غزة، ذكرى المولد النبوي، وذلك من خلال نشاطات عدة من مثل:

إلقاء دروس في المسجد التابع للجامعة أو المصليات، وتوزيع بطاقة بعنوان "مولد رسول الله ﷺ وبعثته حكم بما أنزل الله وجهاد في سبيله"، تم توزيعها على الطلاب والتفاعل معهم حيث أكد شباب الكتلة من خلال هذه الأعمال على أن ميلاد المصطفى ﷺ يجب أن يرتبط بميلاد خير أمة أُخرجت للناس، وذلك من خلال بنائه ﷺ لدولة الإسلام، التي طبَّقت الإسلام ونشرت رسالة العدل والهدى، فعزَّ المسلمون وصاروا سادة الدنيا.

كما علقت كتلة الوعي في ساحات الجامعة بوسترات وقصاصات توضح للطلاب كيف يكون إحياء سنة المصطفى ﷺ، كُتب عليها عبارات مثل:

إن من هَدي رسولنا ﷺ قوله «إِنَّمَا الْإِمَامُ جُنَّةٌ يُقَاتَلُ مِنْ وَرَائِهِ وَيُتَّقَى بِهِ» فحبه ﷺ يقتضي وجوب العمل لإيجاد ذلك الإمام الذي يُسَيِّرُ الجيوشَ فينتصر لأَخَواتنا المرابطات في ساحات المسجد الأقصى، وليس من حبه ﷺ عقد الموالد النبوية احتفالا بمولده، ثم ترك الحرائر لأيدي يهود والتسول في أروقة الأمم المتحدة ومجلس الأمن!

ثم إن من هدي حبيبنا قوله ﷺ: «لَا ضَرَرَ وَلَا ضِرَارَ» وإن حبه ﷺ يقتضي العمل لإيجاد الإمام الذي يسعى للحد من أضرار الفيضانات بتفحص السدود وإنشاء إدارة مكافحة الطوارئ، ثم المعاجلة بإغاثة الملهوفين المتضررين، فتلك هي الرعاية الحقيقية للناس.

وليس من حبه ﷺ فتح البلاد للبعثات الدولية التي تتصيد الفرص للكيد لشعوب الأرض واستعمارها فوق ما حل بها من بلاء!

ثم إن من هدي حبيبنا ﷺ قوله: «وَمَنْ مَاتَ وَلَيْسَ فِي عُنُقِهِ بَيْعَةٌ مَاتَ مِيتَةً جَاهِلِيَّةً»، فحبه ﷺ يقتضي مبايعة خليفة يطبق شرع الله وينشر الإسلام في ربوع العالم، فليس من حبه ﷺ إقامة دويلات على أساس الشرعة الدولية ترهن مصيرنا وثرواتنا وحتى أبناءنا للكفار من خلال اتفاقيات دولية خبيثة كاتفاقية سيداو وحقوق الطفل وغيرها!

===

اتصالات سرية مع إندونيسيا

لتطبيع العلاقات مع كيان يهود

ذكرت مجلة الوعي في عددها 446 أن صحيفة يديعوت أحرنوت زعمت بأن سلطات الاحتلال تجري اتصالات سرية مع جهات في إندونيسيا بهدف التوصل إلى تطبيع للعلاقات بين الجانبين، بدعم أمريكي. وأضافت الصحيفة في تقريرها، أن الأوساط في كيان يهود تشير إلى أن إندونيسيا لن تتوصل إلى اتفاق تطبيع مع تل أبيب، قبل السعودية، لافتة إلى أن المسؤولين الأمريكيين يعملون من خلف الكواليس على إقناع جاكرتا. وفي شباط/فبراير المقبل، ستجرى انتخابات لرئيس الدولة ونائبه وللبرلمان، واعتبرت الصحيفة أنها ستكون حاسمة بشأن تطبيع العلاقات مع تل أبيب. ولا تقيم دولة الاحتلال علاقات دبلوماسية رسمية حالياً مع إندونيسيا، لكن الصحيفة أشارت إلى وجود قنوات اتصال مباشرة مع أطراف في إندونيسيا معنية بتوطيد العلاقات. كما أنه يوجد بين الجانبين علاقات تجارية وسياحة وتعاون أمني. وذكرت الصحيفة أنه يوجد خلاف في كيان يهود حول ما إذا كانت إندونيسيا ستطبع علاقاتها مع تل أبيب قبل السعودية، أو ما إذا كانت تفضل أن تحذو حذوها، وهناك من يأمل في تحركات أولية لتسخين العلاقات من جانب إندونيسيا. ويعرب مسؤولون يهود كبار أيضاً، عن شكوكهم بشأن هذه القضية، ويعتقدون أن الإندونيسيين ليسوا مستعدين حقاً لذلك. وأشار المسؤولون ذاتهم إلى أنه في الأشهر الأخيرة لم تسمح إندونيسيا بدخول رياضيين يهود إلى أراضيها، الأمر الذي تسبب في عدم استضافتها العديد من البطولات الدولية. ونقلت الصحيفة عن مسؤول يهودي رفيع قوله إن إندونيسيا تخشى من مظاهرات واحتجاجات، ولذلك فإن المنطق أن تنتظر السعودية. وأكد أنه في ظل حكومة يهود الحالية، سيكون من الصعب للغاية دفع إندونيسيا إلى اتخاذ خطوة التطبيع مع تل أبيب.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </