جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 461
September 19, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 461

Al Raya sahafa

2023-09-20

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 461

إن التمكين الحقيقي للمرأة لا يمكن أن يكون إلا في ظل دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة التي تلبي جميع احتياجات رعاياها بطريقة عادلة بدون أي تحيز سياسي. وقد أنزل الله تعالى القرآن والسنة للبشرية لإيجاد التوازن والمعالجات التي تصب في مصلحتها بغض النظر عن القوم أو الجنس، أو العرق، أو اللون، أو الدين، قال سبحانه وتعالى: ﴿أَلا يَعْلَمُ مَنْ خَلَقَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ﴾.

===

مخيم عين الحلوة

المعركة المؤامرة!

قال بيان إعلامي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية لبنان: مِنْ باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر، لكل المتحاربين في مخيم عين الحلوة، دعا حزب التحرير في ولاية لبنان إلى وقفة في ساحة النجمة في مدينة صيدا يوم الأحد 2023/9/10م، مدينة صيدا التي نالها ما نالها كذلك من أثر أحداث عين الحلوة من إصابات وقتل وأذى، وتعطل لمظاهر الحياة العامة، وشلل في حركة الناس.

وأكد البيان أن الوقفة كانت: بهدف توجيه صرخة لحقن دماء أهل المخيم، وأهل مدينة صيدا، فما كان من الخائفين من صوت الحق، الفزعين من الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر، إلا أن بدأوا يروجون لعمل مضاد في المكان نفسه على لسان أحد ناطقي سلطة دايتون في حركة فتح، وبعض مجموعاتهم المتلطية تحت اسم "شباب صيدا الأحرار"! وذلك لخشيتهم وعلمهم أن موقفنا هو موقف عموم أهل مخيم عين الحلوة وصيدا الرافض للتدمير المنهجي للمخيم، ما حدا بالحزب لإلغاء العمل، لأن حزب التحرير الذي ينهى عن اقتتال الإخوة، لا يمكن أن يسمح بحال أن تنتقل الفوضى والعبث بشكل مباشر إلى ساحات مدينة صيدا وأهلها وجوارها، التي كانت حاضنةً دوماً لأهل فلسطين ومخيماتهم.

وخاطب البيان أهل مخيم عين الحلوة بقوله:

أولاً: إنّ ما يصيبكم اليوم هو ما أصاب إخوانكم في مخيم اليرموك في دمشق من تدمير ممنهج، بهدف عريض، وهو إنهاء أية حالة عسكرية تمثل خطراً ولو بسيطاً على كيان يهود، وعلى الأنظمة التي تحميه من جوانبه! ثم استمرار السير في حالات التطبيع المعلنة معه، لا سيما بعد أن تم وضع لبنان على سكة التطبيع منذ إنجاز ترسيم الحدود البحرية ثم الآن الحدود البرية!

ثانياً: ننصحكم بصدقٍ وإخلاص، لقد أدركتم مع مرور الأحداث وتكررها، لا سيما في المعركتين الأخيرتين، أن ما يحدث هو مؤامرة محاكةٌ بإتقان، فلا تكونوا أدوات لأحد في تمرير خططه ومشاريعه الآثمة، بل كونوا تلك الصّخرة التي تتحطّم عليها مؤامراتهم الخبيثة.

ثالثاً: خذوا على يد أدوات الاقتتال، من كل الأطراف، لوقف هذا العبث، وامنعوا أبناءكم في عين الحلوة وغيره من المخيمات من الاستجابة لدعاة التأجيج والقتل، من كل الأطراف، واصرخوا في وجه كل من حمل السلاح في هذه المعركة المؤامرة، من كل الأطراف، بحديث رسول الله ﷺ «مَنْ حَمَلَ عَلَيْنَا السِّلَاحَ فَلَيْسَ مِنَّا».

رابعاً: اعلموا أنّ دماءكم زكيّة عند ربكم، وعند عباده المخلصين، لكنها رخيصةٌ عند العابثين والمنافقين، فلا يجوز إراقتها بهذا الشكل وفي هذا السبيل، ففي الحديث أنّ ابن عمر قال: رأيت رسول الله ﷺ يطوف بالكعبة، ويقول: «مَا أَطْيَبَكِ وَأَطْيَبَ رِيحَكِ، مَا أَعْظَمَكِ وَأَعْظَمَ حُرْمَتَكِ، وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ، لَحُرْمَةُ الْمُؤْمِنِ أَعْظَمُ عِنْدَ اللهِ حُرْمَةً مِنْكِ، مَالِهِ، وَدَمِهِ، وَأَنْ نَظُنَّ بِهِ إِلَّا خَيْراً».

وختم البيان: وحزب التحرير في ولاية لبنان، كما في كل مكان، مستمرٌ بإذن الله عز وجل في عمله، آمراً بالمعروف ناهياً عن المنكر، مصداقاً لقوله تعالى: ﴿وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ﴾، لا يلتفت لمن رضي أو سخط من الذين حالهم ﴿الْمُنَافِقُونَ وَالْمُنَافِقَاتُ بَعْضُهُم مِّن بَعْضٍ يَأْمُرُونَ بِالْمُنكَرِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمَعْرُوفِ﴾، حتى يأذن الله عز وجل بالفرج والنصر في دولة خلافة راشدة على منهاج النبوة ﴿فَعَسَى اللهُ أَن يَأْتِيَ بِالْفَتْحِ أَوْ أَمْرٍ مِّنْ عِندِهِ فَيُصْبِحُوا عَلَى مَا أَسَرُّوا فِي أَنفُسِهِمْ نَادِمِينَ﴾.

===

الأونروا مؤسسة لتشغيل اللاجئين

أم لإفسادهم وتدمير مجتمعاتهم؟!

نشرت وكالة غوث وتشغيل اللاجئين الفلسطينيين (الأونروا) ما يسمى بمدونة قواعد السلوك، والتي تقع في 69 صفحة، وعملت على توزيعها بين العاملين فيها، وجاء فيها الدعوة لمخالفات عميقة للأخلاق والقيم الإسلامية التي يقوم عليها المجتمع في فلسطين، حيث جاءت الدعوة صريحة لاحترام وتقبل الشواذ وحقهم في الوجود استنادا إلى آراء وأنظمة وقواعد الأمم المتحدة كمرجعية ورفض أي مرجعية أخرى، في ضرب واضح ورفض للأحكام الشرعية الإسلامية، حيث جاء في مدونة السلوك التي نشرتها الأونروا النص التالي:

"تنظر الأونروا إلى المساواة بين الجنسين وفقاً لآراء الأمم المتحدة، ونتيجة لذلك تتصف المساواة بين الجنسين بشمول الزملاء والمستفيدين من المثليات والمثليين ومزدوجي الميل الجنسي ومغايري الهوية الجنسانية وأحرار الهوية الجنسانية وحاملي صفات الجنسين وأفراد الفئات الجنسانية الأخرى 1-LGBT، وفي حال تعارض ذلك مع الأعراف الثقافية المحلية يجب أن تسترشد سلوكياتنا معايير السلوك للخدمة المدنية الدولية وغيرها من الأنظمة والقواعد التابعة للأمم المتحدة".

من جانبه قال المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين في تعليق صحفي: بهذه الخطوة تتجاوز الأونروا دورها المعلن في إطار إغاثة وتشغيل اللاجئين الفلسطينيين لتكشف عن وجهها الحقيقي كأداة استعمارية لتنفيذ مخططات معادية للمنطقة وخاصة فلسطين كقضية وشعب، ولا غرابة أن يأتي هذا الاعتداء على الفطرة السليمة ومنظومة قيمنا وأخلاقنا الإسلامية، والاستهداف لأحكام شرعنا الحنيف، في ظل سعار التطبيع الذي يجتاح الأنظمة الخائنة العميلة في بلاد المسلمين، والتي تعتبر الممول الأكبر لبرامج ومشاريع الأونروا، في محاولة لطمس كل قيمة وكل مفهوم يوثق الارتباط بالأرض المباركة فلسطين سعيا لتصفيتها والقضاء عليها، فهل يُنتظر من الشاذين والشاذات جنسيا تحرير الأرض والدفاع عن الأقصى؟!

إن الواجب على أهل فلسطين كافة الوقوف وقفة جادة وقوية ضد هذه الأجندات الخبيثة المدعومة غربيا، ورفض كل المشاريع الهادفة إلى تدمير مجتمعنا واستهداف أسرنا وأبنائنا مثل قانون حماية الأسرة وقانون حماية الطفل، وتعديل قانون الأحوال الشخصية، ومنع نشاطات كافة المؤسسات والجمعيات النسوية التي باتت الذراع التنفيذي لمخططات الغرب الكافر في إفساد مجتمعنا وتدمير بنيانه.

===

لا بد لثورة الشام

من قيادة سياسية واعية مخلصة

بعد انطلاق ثورة الشام عام 2011 توجهت مطالب أهل الشام للإسلام وأصبحت جلّ مطالبهم هي الإسلام، فاستنفر الغرب الكافر وعلى رأسه أمريكا وخشي من تحقق هذه المطالب، خصوصا بعد أن حرر الثوار مساحات كبيرة من البلاد.

تدخلت أمريكا بشكل مباشر وغير مباشر عسكريا وسياسيا، واستصدرت القرار 2254 وطرحت حلها السياسي، الذي سيقضي على ثورة الشام.

ولتحقيق ذلك فهي قد قسمت الأدوار على أدواتها، وفرقت صفوف المجاهدين بجعلهم فصائل متفرقة، لكل فصيل قائد مرتبط بالمال السياسي القذر.

ارتبطت هذه القيادات بتوجيهات الداعمين. وسقطت في فخ الاقتتال المحرم وانحرفت عن هدفها في إسقاط نظام الإجرام، وسلمت قيادتها السياسية للدول المتآمرة على الثورة وخاصة تركيا أردوغان.

كما جعلت أمريكا من الفصائل وعلى رأسها هيئة الجولاني أدوات على الأرض لتنفيذ مخططاتها في القضاء على الثورة.

وبالجملة كانت هذه القيادات والحكومات (إنقاذ ومؤقتة) وبالاً على الثورة تسلطت على الناس وفرضت عليهم المكوس وعملت على إغراق مركب الثورة، فمنعت المجاهدين من فتح الجبهات مع النظام لإسقاطه.

فيا أهل الشام: اعلموا أنكم خرجتم لله وفي سبيل الله، وإن هذا لشيء عظيم عند الله سبحانه وتعالى، وأنكم أهل لهذه الثورة أمناء عليها. فلا تسلموا قيادتكم السياسية لمن تاجر فيكم وتآمر عليكم، فالقيادة يجب أن تكون صادقة واعية وصاحبة مشروع؛ كي تصححوا معها المسار وتستعيدوا القرار، وكي تتوجهوا من جديد لتسقطوا هذا النظام المجرم بدستوره وبكافة أركانه ورموزه، لتقيموا على أنقاضه حكم الإسلام الذي خرجتم تطالبون به منذ بداية الثورة.

===

ثبات المخلصين يفشل مخططات المتآمرين

مضت خمسة شهور من الثبات على أعظم حراك واعٍ في ثورة الشام المباركة، وقد كانت معية الله له ظاهرة؛ فقد كشف حقيقة من اعتقل حملة الدعوة وكشف ستر الحرائر، ليظهر أن صفوف قيادة هيئة تحرير الشام وأمنييها وكر للعملاء والمتعاملين مع مخابرات الدول الحاقدة، وأن بعضهم خان الثورة حتى مع مخابرات النظام السوري المجرم نفسه.

وبعد أن انكشفت عمالة معظم قادة الهيئة وبدأ التصدع يهوي بهم للدرك الأسفل، جاء دور المكر بمحاولة تسليط الضوء على الحراك في السويداء فانطلقت الأقلام والأصوات التي كانت خرساء وكأنها كانت في غيبوبة ثم استفاقت فجأة، وذلك للتغطية على الحراك الواعي في الشمال المحرر.

ويأتي هذا المكر لأن مجرد نظرة للحراك تظهر أنه يمتلك قيادة صادقة واعية تتمسك بثوابت ثورة الشام وتدرك مكر الدول وتحمل مشروع دولة الخلافة على منهاج النبوة، وهذا ما يشكل خطراً كبيراً يهدد كل المتآمرين وعلى رأسهم أمريكا.

لذلك نراهم يحاولون جاهدين التعمية على الحراك لإخماده والقضاء عليه، والمطالبة المتجددة بتطبيق القرار 2254 الذي هو في حقيقته وأدٌ للثورة وإعادة أهلها لنظام الإجرام.

وكل ذلك تحريك للحل السياسي الأمريكي القاتل ودفع الأدوات لإعادة هيكلة نفسها لتتناسب مع دورها في المرحلة التآمرية الجديدة.

هذا هو مكرهم ﴿وَقَدْ مَكَرُوا مَكْرَهُمْ وَعِنْدَ اللهِ مَكْرُهُمْ وَإِنْ كانَ مَكْرُهُمْ لِتَزُولَ مِنْهُ الْجِبالُ * فَلَا تَحْسَبَنَّ اللهَ مُخْلِفَ وَعْدِهِ رُسُلَهُ إِنَّ اللهَ عَزِيزٌ ذُو انتِقَامٍ﴾.

===

كتلة الوعي في جامعة بيرزيت تشارك في وقفة غضب

عقب الاعتداء على حرائر فلسطين

ألقت كتلة الوعي في جامعة بيرزيت كلمة في وقفة دعا إليها مجلس الطلبة والحركة الطلابية عقب اعتداء مجموعة من جنود الاحتلال على نساء مسلمات طاهرات في مدينة الخليل.

وأكدت كتلة الوعي على عدة نقاط:

- إن هذه الجريمة التي حصلت بحق نساء مسلمات طاهرات في الأرض المباركة لتظهر مدى الاستضعاف الذي يعاني منه أهل فلسطين ومدى تجبر كيان يهـود وجنوده عليهم.

- إن هذا الاستقواء من يهود على أهل فلسطين مرده الأنظمة الخائنة وسلطة التنسيق الأمني، الذين لا ينفكون عن التطبيع مع يهود والتنسيق معهم.

- لا يرجى من المنظمات الدولية خير، فهي من وطنت يهود في فلسطين عام 1945 وهي التي مكنتهم من أهل فلسطين.

- الرد يكون بتحرك كل من يمتلك أدوات القوة ووسائلها من جيوش وصواريخ وراجمات وطائرات ودبابات ترهب عدو الله وتقضي عليه وتنتصر للأعراض التي هي أغلى من الدماء ومن الأرض ومن عليها.

===

تواصل المظاهرات المطالبة باستعادة قرار ثورة الشام

في ريفي حلب وإدلب

بحسب نشرة أخبار يوم السبت 2023/9/16م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا فقد تواصلت يوم الجمعة، الفعاليات الشعبية المستمرة للشهر الخامس على التوالي، ضمن الحراك الثوري اليومي في ريفي حلب وإدلب، وذلك عقب حملة اعتقالات قمعية شنتها مخابرات ما يسمى هيئة تحرير الشام طالت مدنيين وعسكريين ونشطاء في حزب التحرير، تخللها اقتحام للبيوت وكشف للعورات. وفي جمعة حملت عنوان "لا نصر للثورة إلا بقيادة صادقة"، خرجت مظاهرات بعد صلاة الجمعة في مدن وبلدات السحارة والباب وإعزاز وصوران وكفرة ومخيم الإيمان ومخيم ريف حلب الجنوبي بريفي حلب وإدلب. كما خرجت مظاهرات للحرائر في بلدتي دير حسان بريف إدلب والسحارة بريف حلب. وخرجت أيضا مظاهرات ليلية في مدن وبلدات إدلب وأطمة وتجمع الكرامة ومخيم ريف حلب الجنوبي بريف إدلب، والأتارب والسحارة وبابكة ومخيم حريتان بريف حلب. وطالب المتظاهرون بإطلاق المعتقلين، واستعادة قرار الثورة، وفتح الجبهات لإسقاط النظام، ورفض قرار مجلس الأمن 2254، وشددوا على الثبات على الحراك وسلميته، حتى تحقيق كافة المطالب.

===

الإسلام وحده هو القادر على تخليص البشرية

من النظام الرأسمالي

إن الإسلام هو وحده القادر على تخليص البشرية من النظام الرأسمالي وبلاياه التي تعاني منها. وإن عودة الإسلام ممثَّلاً في دولته؛ الخلافة على منهاج النبوة بات قريباً بإذن الله، ﴿وَيَوْمَئِذٍ يَفْرَحُ الْمُؤْمِنُونَ * بِنَصْرِ اللهِ﴾.

نسأل الله القوي العزيز أن تعود بلاد المسلمين في دولة واحدة،؛ الخلافة الراشدة، فيعز الإسلام والمسلمون ويذل الكفر والكافرون، وينتشر الإسلام في بقاع الأرض بعز عزيز أو بذل ذليل، وإن هذا لكائن بإذن الله؛ أخرج أحمد في مسنده... عَنْ تَمِيمٍ الدَّارِيِّ قَالَ: سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ ﷺ يقُولُ: «لَيبلُغَنَّ هَذَا الْأَمْرُ مَا بلَغَ اللَّيْلُ وَالنهَارُ وَلَا يَتْرُكُ اللهُ بيْتَ مَدَرٍ وَلَا وَبَرٍ إِلَّا أَدْخَلَهُ اللهُ هَذَا الدِّينَ بِعِزِّ عَزِيزٍ أَوْ بِذُلِّ ذَلِيلٍ عِزّاً يُعِزُّ اللهُ بِهِ الْإِسْلَامَ وَذُلّاً يُذِلُّ اللهُ بِهِ الْكُفْرَ».

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </