جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 423
December 27, 2022

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 423

Al Raya sahafa

2022-12-28

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 423

أصبح الواجب على أهل الشام بعد إدراكهم حقيقة نظام تركيا أردوغان، وحقيقة مساعيه الرامية لإجهاض ثورتهم المباركة، أن يعملوا جاهدين لتوحيد جهودهم وتركيزها للتخلص من تبعيته وسيطرته على القرار السياسي والعسكري للثورة؛ لأنه قطعا يقودها نحو الهاوية، كما يجب عليهم أن لا يسمحوا لأحد بالمتاجرة بتضحياتهم فثورة الشام ليست ثورة فصائلية وتضحيات أهلها ليست للبيع، وأهل الشام هم الوحيدون الذين سيدفعون ثمن سكوتهم وصمتهم عن عملية إجهاض الثورة.

===

المنظمات غير الحكومية

وتآمرها على المسلمين

كشف وزير الداخلية اللبنانية السابق محمد فهمي في مقابلة على قناة الجديد ضمن برنامج "الرئاسة"، وفي خبر منقول على الموقع الإلكتروني للقناة في 2022/11/13 ونقلته مواقع إخبارية عدة "أنَّ الساحة اللبنانية مخترقةٌ من أجهزة مخابرات دولية من خلال بعض المنظمات غير الحكومية التي يربو عددها في لبنان حولي 11500 جمعية! نصفهم يعمل تحت أجنحة أجهزة مخابرات دولية، ضد لبنان... هذه معلومات مؤكدة".

وعليه قال بيان صحفي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية لبنان: لبنان منذ أسسته فرنسا وفصلته عن الأمة لم يعرف الاستقلال ولا السيادة ولا الحرية بل الاحتلال والاستعباد والحروب؛ فها هو أضحى من البلاد الغنية بالنفط والغاز لكن ينتظر أمريكا للسماح له باستخراجه! وفي الوقت ذاته ينهار اقتصادياً وينتظر الحلول الغربية عبر ثعبان صندوق النقد والبنك الدوليين، وفيه شغورٌ رئاسيٌّ وينتظر التعيين من الخارج، بل من أمريكا وسفارتها في لبنان!

وأضاف البيان: مفهوم الدولة في لبنان معدومٌ في كل شيء إلا في إنجاز ترسيم الحدود مع كيان يهود، والتنازل له عن ربع ثروة لبنان المائية 2500كم2، وعن مليارات الأمتار المكعبة من الغاز، وعِلاوةً على ذلك حماية أدعياء المقاومة لحدوده، ليس من اليوم بل منذ حرب تموز 2006 وتوقيع اتفاق 1701؛ ومفهوم الدولة معدومٌ في كل شيء إلا في حربها ضد المسلمين والزج بهم في السجون بدون محاكمات وبتهم باطلة لسنوات وسنوات، وفي فرض الضرائب على الناس ورفع رسوم المعاملات، وفي ترك حاكم المصرف يرفع ويخفض العملة ليس بقوانين ومراسيم بل بمجرد تعميمات، وفي ملاحقة المسلمين من أهل سوريا، والسكوت عن التعدي على أطفالهم وعائلاتهم الذين لجؤوا إلى أشقائهم في لبنان فراراً من نظام أسد المجرم.

وتابع البيان مخاطبا المسلمين في لبنان: إنَّ هذه الجمعيات المشبوهة والخبيثة هي جزءٌ من الحرب على الإسلام وأحكامه، والهجمة الآن شرسةٌ على دينكم وأعراضكم وأُسركم، فكونوا حيث أمركم الله عز وجل وقفوا بوجه الباطل وأزهقوه، بقيادة حملات الفضح والتوعية والتحدي السافر لهذه الجمعيات وتوجهاتها. إنَّ هذه الجمعيات تدعو للرذيلة والفواحش كفاحشة قوم لوط، والشذوذ المسمى مثليةً جنسيةً، والزواج المدني، وتستغل ضائقتكم الاقتصادية لتشتري ذممكم بالعملة الصعبة، خاصةً بين الشباب والشابات والفعاليات المؤثرة، فلا تغرنكم أموالهم ولا شعاراتهم الكاذبة الزائفة كحقوق المرأة والطفل، والمساواة بين الرجل والمرأة، والحرية والديمقراطية وغيرها التي أورثت بلادهم ما ترون. وتنبهوا لمصطلحاتهم الخبيثة مثل الجندرة والنوع (الاجتماعي) والتنميط والأنماط الأسرية، التي تريد أن توجد أنواعاً غير التي جعلها الله تعالى، ﴿وَأَنَّهُ خَلَقَ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَى﴾، فهم يعملون على فرض طريقة عيشهم عليكم، وجلب مصائبهم إلى بيوتكم، ثم انتهاك أعز ما عندكم من أعراض وحرمات؛ فلا تنخدعوا بهم وقفوا بوجههم معنا وافضحوهم للرأي العام حتى يندحروا من بيننا.

وختم البيان الصحفي: ونبشركم أنَّ دولتكم القائمة قريبا بإذن الله؛ الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، ستريكم الاستقلال الحقيقي والسيادة العليا والانعتاق من أية تبعية إلا لله تعالى ورسوله ﷺ، وتريكم معنى الدولة الحقيقية بمعالجة مشاكلكم ورعاية شؤونكم بغض النظر عن الدين والعرق والمذهب، وستجعل تلك الجمعيات المخابراتية الدخيلة السرطانية أثراً بعد عين وعبرةً لأولي الأبصار؛ فكونوا مع الحريصين عليكم وعلى دينكم وأعراضكم ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَكُونُوا مَعَ الصَّادِقِينَ﴾.

===

الخلافة الراشدة على منهاج النبوة قائمة قريبا بإذن الله

وسيخسر هنالك المبطلون

إن أمر الخلافة أمر كبير، وشأنها شأن عظيم، ومقامها مقام سامٍ؛ لذا حاولت أمريكا والغرب معها تشويه صورتها من خلال استغلال ممارسات بعض الجماعات التي لا علاقة لها بالإسلام، حتى ينفض المسلمون عن العاملين المخلصين لإقامة الخلافة، ولكن هيهات هيهات، فالخلافة وعد الله تبارك وتعالى، وبشرى رسوله ﷺ. حيث قال الله تعالى: ﴿وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الْأَرْ‌ضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَلَيُمَكِّنَنَّ لَهُمْ دِينَهُمُ الَّذِي ارْ‌تَضَىٰ لَهُمْ وَلَيُبَدِّلَنَّهُم مِّن بَعْدِ خَوْفِهِمْ أَمْناً يَعْبُدُونَنِي لَا يُشْرِ‌كُونَ بِي شَيْئاً وَمَن كَفَرَ‌ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾. وروى الإمام أحمد عن النعمان بن البشير رضي الله عنه أن رسول الله ﷺ قال: «تَكُونُ النُّبُوَّةُ فِيكُمْ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ تَكُونَ، ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا، ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةٌ عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ، فَتَكُونُ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ تَكُونَ، ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا، ثُمَّ تَكُونُ مُلْكاً عَاضاً، فَيَكُونُ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ يَكُونَ، ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ الله أَنْ يَرْفَعَهَا، ثُمَّ تَكُونُ مُلْكاً جَبْرِيّاً، فَتَكُونُ مَا شَاءَ اللَّهُ أَنْ تَكُونَ، ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا، ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةٌ عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ، ثمَّ سَكَتَ».

===

كتلة الوعي في جامعة أبو ديس

تنظم نقطة حوار

قامت كتلة الوعي في جامعة القدس - أبو ديس - يوم الثلاثاء 2022/12/13م، بعقد نقطة حوار بعنوان "العلمانية والليبرالية هي التي تحط من شأن المرأة وقدرها"، تخلل ذلك تعليق راية النبي ﷺ في أرجاء الجامعة وكذلك توزيع مجموعة من الكتب على الطلاب مثل كتاب النظام الاجتماعي في الإسلام، الديمقراطية نظام كفر، نقض الفكر الغربي الرأسمالي.

وقد ناقشت الكتلة مع الطلاب أفكاراً كثيرة منها:

١- أن المرأة هي الأم والأخت والابنة التي يجب أن نحافظ عليها.

٢- لماذا يتم استغلال المرأة في الترويج للمنتجات التجارية؟!

٣- سبب شقاء الإنسان والمرأة هو العلمانية والديمقراطية.

٤- لماذا يصرون على قوانين مشبوهة ومدعومة من المستعمرين، مثل قانون حماية المرأة واتفاقية سيداو؟

٦- الإسلام بتطبيق أحكامه في دولة الخلافة هو الحل لكافة المشاكل التي تواجه المرأة بل والبشرية جمعاء.

===

بعثات الاتحاد الأوروبي في السودان

تعمل على صناعة عملاء يحملون فكر الغرب ومفاهيمه

أعلنت بعثة الاتحاد الأوروبي في الخرطوم عن تقديم حزمة بقيمة 15 مليون يورو يخصص منها 5 ملايين يورو لدعم الشباب العاملين في التحول الديمقراطي والسلام، مطالباً السودان بإظهار التزامه بحقوق المرأة من خلال التوقيع على اتفاقية (سيداو)، وفي هذا الصدد، قال بيان صحفي للناطق الرسمي لحزب التحرير في ولاية السودان الأستاذ إبراهيم عثمان (أبو خليل): إن بعثات الاتحاد الأوروبي هي إحدى المؤسسات الاستعمارية التي تعمل في السودان وغيرها من بلاد المسلمين، من أجل صناعة عملاء يحملون فكر الغرب ومفاهيمه، لذلك يركزون على الشباب وبخاصة النساء؛ لأن الشباب دائماً هم القوة الدافعة للتغيير. وحتى يحكموا قبضتهم على بلادنا، ويحولوا بين الشباب وبين التغيير الحقيقي فهم يعملون بجد ويدفعون الأموال من أجل صرفهم عن جادة الطريق، ليسيروا على طريق الضلال الغربي، ويساعدهم في ذلك حكام رويبضات، باعوا دينهم مقابل دولارات ويوروهات، وفتحوا البلاد على مصراعيها لمثل هذه البعثات لتعبث بشباب ونساء هذه الأمة. وأكد البيان: إن هذه البعثة الخبيثة تطالب الحكومة بالالتزام والتوقيع على سيداو، اتفاقية العهر والشذوذ، الاتفاقية التي تريد للأسر المسلمة أن تتفكك كما تفككت أسرهم في الغرب. وهي كذلك تدفع المال للشباب لتجعلهم أسرى لمنظومة الغرب التي تجعل فصل الدين عن الحياة عقيدة لهم، فتسلخهم عن إسلامهم ليكونوا هم حكام المستقبل لهذا البلد. ولكن هيهات هيهات، فكما قال تعالى: ﴿إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا يُنْفِقُونَ أَمْوَالَهُمْ لِيَصُدُّوا عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ فَسَيُنْفِقُونَهَا ثُمَّ تَكُونُ عَلَيْهِمْ حَسْرَةً ثُمَّ يُغْلَبُونَ وَالَّذِينَ كَفَرُوا إِلَى جَهَنَّمَ يُحْشَرُونَ﴾.

===

درعا تنتفض رفضاً للمصالحات

والفصائل في المحرر مشغولة بتدشين الملاعب والساحات!

وفقا لنشرة الأخبار ليوم السبت من إذاعة حزب التحرير/ ولاية سوريا 2022/12/24م خرج الأهالي في مدينتي جاسم وداعل بريف درعا، يوم الجمعة، بمظاهرات طالبت بإسقاط النظام والإفراج عن المعتقلين. وقالت مصادر محلية، إن العشرات من أبناء مدينة جاسم شمالي درعا خرجوا بمظاهرة عقب صلاة الجمعة، هتفوا بإسقاط نظام أسد وطالبوا بالإفراج عن المعتقلين من سجون النظام، وطرد المليشيات الإيرانية. وأضافت المصادر أن عناصر الأمن العسكري في المركز الثقافي، أطلقوا النار في محاولة لتفريق المظاهرة. وأكدت المصادر خروج العشرات في مدينة داعل بريف درعا الأوسط، بمظاهرة نادت بإسقاط النظام وطالبت بالإفراج عن المعتقلين، كما نددت بانتهاكات جهاز المخابرات الجوية في المنطقة. وفي الوقت الذي تنتفض فيه درعا رفضاً للمصالحات وتطالب بإسقاط النظام وتحرير المعتقلين والمعتقلات؛ فإن المنظومة الفصائلية في إدلب والمحرر تتجهز للمصالحة مع النظام من خلال مهادنته وفتح المعابر معه ومنع أي معركة عليه وسجن كل ثائر وناشط ومجاهد ومهاجر يريد إسقاطه، وإلهاء الناس بالتدشينات اليومية من دوارات وساحات وملاعب؛ في الوقت الذي لا يجد أهل المحرر قوت يومهم بسبب غلاء الأسعار والاحتكار والضرائب والمكوس المفروضة عليهم من قبل حكومات الأمر الواقع.

===

حكام المغرب يكافئون يهود على جرائمهم

بمزيد من اتفاقيات التطبيع!

وافق مجلس المستشارين المغربي بالأغلبية على اتفاقيتين مع كيان يهود حظيتا بتأييد 167 عضوا، فيما عارضهما 15. وتهدف الاتفاقية الأولى إلى زيادة حجم التبادل التجاري بين المغرب وكيان يهود، واتخاذ جميع الخطوات اللازمة من أجل ذلك، كما نصت على إزالة جميع الحواجز أمام العلاقات الاقتصادية الطبيعية بين الطرفين، بما يشمل القوانين أو الأنظمة أو الإجراءات التمييزية. وتهدف اتفاقية الخدمات الجوية بين المغرب وكيان يهود إلى تنظيم عمليات الرحلات الجوية بين الطرفين.

عقب على ذلك تعليق صحفي نشره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين على مواقعه بقوله: من الواضح أن حكام المغرب والوسط السياسي العفن، عملاء الإنجليز، مصرون على تقديم قرابين الولاء والمحبة لأعداء الأمة دونما اكتراث بحرمة ذلك ورفض الأمة لذلك وهو ما بدا جليا واضحا رصده مراسلو القنوات العبرية في قطر إبان فترة المونديال.

وتابع التعليق: فحكام المسلمين في المغرب وتركيا وقطر والإمارات والأردن والسودان والبحرين ومصر وغيرها يواصلون تقديم الخدمات ونسج العلاقات مع كيان يهود رغم حالة الاستنكار الظاهرة والعارمة من الأمة، ورغم مشاهدة الحكام لطغيان يهود وتماديهم في المزيد من الجرائم اليومية بحق أهل فلسطين، نساء وأطفالا وشيوخا، وبحق الأقصى ومقدسات فلسطين. وكأن هؤلاء الحكام يكافئون يهود وقادتهم على ما يقترفونه من جرائم يومية وعلى نواياهم وبرامجهم التي يعلنون عزمهم تنفيذها في قابل الأيام.

وختم التعليق: حقا إن الحكام هم سند يهود وهم حماة كيانهم الخبيث وما من سبيل لتحرير فلسطين إلا ويمر عبر خلع الحكام من عروشهم أولا.

===

المسلمون دمهم واحد وعرضهم واحد

قال رسول الله ﷺ: «مَثَلُ الْمُؤْمِنِينَ فِي تَوَادِّهِمْ وَتَرَاحُمِهِمْ كَمَثَلِ الْجَسَدِ الْوَاحِدِ، إِذَا اشْتَكَى مِنْهُ عُضْوٌ تَدَاعَى لَهُ سَائِرُ الْجَسَدِ بِالْحُمَّى وَالسَّهَرِ»، وقال ﷺ: «الْمُؤْمِنُ لِلْمُؤْمِنِ كَالْبُنْيَانِ يَشُدُّ بَعْضُهُ بَعْضًا».. تكلم هنا عن كل المؤمنين باختلاف جنسياتهم وأعراقهم وألوانهم ومكان سكناهم ولم يخصص منطقة أو بلداً أو لوناً، فالمسلمون في سوريا وفلسطين وبورما وأفريقيا الوسطى وأوزبيكستان وكشمير والصين والهند دمهم واحد وعرضهم واحد، وكما انتصر المسلمون يوما لصرخة امرأة أو بكاء عجوز أو استغاثة رجل في بقاع العالم المختلفة بغض النظر عن جنسيته أو لونه أو عرقه لما كانت دولتهم واحدة وخليفتهم واحداً يرعاهم ويدافع عنهم، فسينتصرون لهؤلاء المستضعفين ويدافعون عنهم وينتقمون ممن ظلمهم، عندما تعود هذا الدولة؛ الخلافة الراشدة على منهاج النبوة قريبا بإذن الله، والتي ستطبق حديث رسول الله ﷺ: «الْمُؤْمِنُونَ تتَكَافَأُ دِمَاؤُهُمْ، وَهُمْ يَدٌ عَلَى مَنْ سِوَاهُمْ، وَيَسْعَى بِذِمَّتِهِمْ أَدْنَاهُمْ».

===

المصدر:جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </