جريدة الراية: متفرقات الراية 22-11-2023
November 21, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية 22-11-2023

 Al Raya sahafa

2023-11-22

جريدة الراية: متفرقات الراية 

أيها الناس.. أيها المسلمون.. أيها الجند في جيوش المسلمين:

ألستم تؤمنون بالله ورسوله؟ ألستم أبناء خير أمة أخرجت للناس؟ ألستم أبناء المجاهدين الفاتحين الذين نشروا الخير في ربوع العالم؟ أليس الجند هم أبناءكم؟ ألا تستطيعون دفعهم للقتال وهم قادرون بإذن الله على إحقاق الحق ونصرة إخوانهم في الأرض المباركة ﴿وَإِنِ اسْتَنْصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ﴾، فهلم أيها الجند إلى نصرة إخوانكم في غزة الذين يقاتلون كيان يهود المغتصب للأرض المباركة.

===

هيروين "حل الدولتين"!!

بقلم: د. مصعب أبو عرقوب*

قال بايدن، في مقال نشرته صحيفة واشنطن بوست الأمريكية، السبت، إن "حل الدولتين هو الحل الوحيد للصراع الدائم في المنطقة، وفي هذه الأثناء، يجب أن يكون هناك حكم تحت قيادة السلطة الفلسطينية". وذكر أنه "بينما نسعى جاهدين من أجل السلام، ينبغي إعادة توحيد غزة والضفة الغربية في ظل هيكل حكم واحد، في نهاية المطاف في ظل سلطة فلسطينية متجددة، بينما نعمل جميعا نحو حل الدولتين".

بينما يستمر بايدن والإدارة الأمريكية الاستعمارية في بيع المخدر المسمى "حل الدولتين" للعالم والأنظمة العميلة له تواصل آلة الحرب لكيان يهود قتلها للأطفال والنساء والشيوخ وتدميرها للحجر والشجر في غزة!

فالإدارة الأمريكية وبعد احتلال كيان يهود الضفة الغربية والقدس عام 1967، وسيطرتها بالتوازي على معظم بلادنا الإسلامية سياسيا وفي بعض الأحيان عسكريا، أصبح من الضروري لها إيجاد حل لما نتج عن احتلال كيان يهود من تهجير ولجوء وغضب معتمر في نفوس المسلمين تجاه هذا الكيان الغاصب للأرض والمقدسات، فكان "حل الدولتين" المخدر المطلوب في تلك المرحلة!

وعلى الجانب الآخر ضَمِنَ حلُّ الدولتين لكيان يهود الوقتَ الحقيقي خارج إطار الهلوسة السياسية لاستكمال مشروعه في احتلال الأرض كاملة ومحاولة تهجير أهلها، وقدمت السلطة الفلسطينية والأنظمة العميلة للغرب الوقت على طبق من ذهب لكيان يهود ومهدت له الأرضية بقمعها لأهل فلسطين والتنسيق الأمني معه ليوسع مستوطناته على الأرض حتى لم يبق أي واقع حقيقي لما يسمى "حل الدولتين" الذي كان يصور دويلة على 23% من أرض فلسطين!

وقد أدرك الجميع أن هذا الحل لم يعد قائما على أرض الواقع، وأن كيان يهود يحلم باستكمال مشروعه لاقتناص الفرص لتهجير أهل فلسطين بعد ضمه لمعظم الأراضي التي كانت محجوزة في الخيال وعلى الورق لحل الدولتين.

وهكذا بقي "حل الدولتين" وعلى ضوء الحرب الصليبية التي تشن على أهل الأرض المباركة في غزة والضفة الغربية مخدراً كالهيروين تروج له أمريكا للانفصال عن الواقع وبيع الأوهام للعالم ولكل المدمنين على العبودية والعمالة لأمريكا في ظل واقع لا وجود فيه لحل يقسم الأرض بين أهلها ومغتصبيها.

فكيان يهود قضم الأرض وتوسع في مستوطناته وتراوده أحلام تهجير أهل فلسطين من ديارهم، وهو يدرك صعوبة ذلك، ويسعى الآن أمام رعبه من تكرار ما حدث في طوفان الأقصى من اقتحام لكل الجدر والتحصينات، يسعى لأن يتحصن وراء جدر ومساحات عازلة لمستوطناته تقضم مزيدا من الأرض وتنهي هلوسات "حل الدولتين"، وهو بذلك يُمني نفسه أنه بمزيد من التوسع والتحصن قد يحمي كيانه من الطوفان الحتمي القادم، لكن مفكري كيان يهود وعتاته يدركون أنه يشتري وقتا إضافيا فقط لوجوده ويزيد من فاتورته أمام الأمة الإسلامية.

والأمة الإسلامية بدورها لم تتعاط مع هذا المخدر وليست مدمنة على ما تروج له أمريكا من حلول أدخلتها بالوريد للأنظمة والحكام الذين باتوا منفصلين عن الواقع مدمنين تعاطي المخدرات السياسية الأمريكية!

فالأمة وعلى وقع "طوفان الأقصى" وبطولات المجاهدين وتاريخها المجيد في التحرير وكسر المحتلين لا ترى حلا للأرض المباركة إلا بالتحرير كما حررها صلاح الدين، ولا تقبل إلا باقتلاع كيان يهود مرة وللأبد في معركة كمعركة حطين، وهذه حقيقة سياسية وحتمية شرعية لا يراها من تعاطى "حل الدولتين" كهيروين.

* عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة (فلسطين)

===

حملة عالمية ويوم عمل نسائي لاستنهاض جيوش المسلمين ومناداتهم لإنقاذ نساء غزة وأطفالها وتحرير كامل الأرض المباركة (فلسطين)

مع استمرار كيان يهود المجرم في القصف الوحشي والهمجي لغزة، فإن النساء والأطفال هم الذين تحملوا وطأة هذه المذبحة الجماعية. لقد أدى القصف الشامل للمباني السكنية وأماكن النزوح والمدارس والمستشفيات وأحياء بأكملها إلى تحويل غزة إلى مقبرة للنساء والأطفال. بالإضافة إلى ذلك، يواجه أطفال غزة الموت بسبب الجوع والجفاف والمرض بينما يستخدم كيان يهود الغذاء والماء والدواء والوقود كسلاح؛ من خلال حصاره الوحشي على السكان.

إلى جانب ذلك، فرّ 1.5 مليون من سكان غزة من منازلهم منذ 7 تشرين الأول/أكتوبر 2023م. وفي هذه الأثناء، يواصل كيان يهود إرهاب المسلمين في الضفة الغربية ومعاملتهم بوحشية وسجنهم وقتلهم كما يشاء، بلا حساب أو عقاب.

ردّاً على هذه الإبادة الجماعية والنكبة في القرن الحادي والعشرين، أطلق القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير، بالتنسيق مع نساء حزب التحرير حول العالم، حملة عالمية مكثفة ستسبق "يوم عمل نسائي عالمي من أجل فلسطين" بتاريخ 26 تشرين الثاني/نوفمبر 2023م لمطالبة جيوش المسلمين بالتحرك بشكل عاجل لإنقاذ نساء غزة وأطفالها وتحرير كامل الأرض المباركة (فلسطين) من هذا الاحتلال السرطاني، وإعطاء النصرة لحزب التحرير لإقامة الخلافة على منهاج النبوة التي ستجيش الجيوش للذود عن المسلمين المستضعفين في جميع أنحاء العالم.

سيشمل يوم العمل خمس قارات وسيتضمن مظاهرات وندوات وأنشطة أخرى للنساء في فلسطين وتركيا وإندونيسيا وتونس ولبنان وماليزيا وكينيا وأمريكا وأستراليا والدنمارك وهولندا وبلجيكا وبريطانيا.

وإننا ندعو المسلمين إلى دعم هذه الحملة المهمة، وندعو النساء المسلمات في جميع أنحاء العالم للانضمام إلينا في يوم العمل النسائي العالمي من أجل فلسطين.

===

النظام الأردني يرسل مستشفى ميدانيا إلى الضفة الغربية

بدلا من اكتساح الحدود، لاقتلاع كيان يهود!

ذكرت مواقع ووسائل إعلامية خبر إرسال القوات المسلحة الأردنية مستشفى ميدانيا إلى نابلس وتجهيزه لتقديم الخدمات الطبية لأهل فلسطين في الضفة الغربية. وفي هذا الصدد أكد تعليق صحفي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين: لقد كان المأمول من القوات المسلحة في الأردن أن يكون غوثهم لأهلهم في فلسطين نفيراً للتحرير يكتسح الحدود ويقتلع الأسلاك الشائكة، سعيا لاقتلاع العدو كيان يهود، وأن تدخل القوات بالدبابات مهللة مكبرة لتطهر المسجد الأقصى من دنسهم وتخلص الأرض المباركة من شرورهم، لا أن يكون الدخول بإذن من كيان يهود وتحت حرابهم وبنادقهم، فهذا لا يليق بالنشامى وأهل "الكرامة"! وأضاف التعليق: كان المطلوب بل الواجب، وهم أقرب القادرين مما يلي الأقصى من الجيوش، وهم الأولى، حيث الأردن أرض الحشد والرباط، أن يكون دخولهم لردع العدو اللئيم، وإيقاف النزيف المستمر في الأرض المباركة من أصله، لا أن يتم التعامل مع آثار العدوان فقط بينما أسبابه قائمة، ولا أن تعالج الجروح بينما لا زالت آلة البطش لكيان يهود تمارس فتكها! وختم التعليق بالقول: إن جروح أهل فلسطين، يعالجها أن تدخلها القوات المسلحة محررة، وأن تأتي الدبابات مع المستشفيات، وأن يتقدم الأبطال أمام الأطباء، وإن جيش الأردن لقادر على ذلك، بخلاف ما يصوره الخانعون، فعدونا جميعا جبان واهن كبيت العنكبوت، قوته على المستضعفين من العزل والبيوت، وقد فضحته ثلة من المجاهدين لا يملكون عدة الجيوش، فكيف إذا كان جيش الأردن، وقد خبرهم العدو أيام معركة الكرامة وتعرفهم أسوار القدس جيدا، وكان خلفهم أهل الأردن الشجعان، ومن خلفهم أمتهم جميعا، والله خير الناصرين!

===

الفاخورة... مجزرة تلو أخرى

فمتى تتحرك الأمة؟!

أقدم كيان يهود الجبان على ارتكاب مجزرة مروعة بقصفه لمدرسة الفاخورة التابعة لوكالة الغوث التي تؤوي العديد من النازحين المدنيين العزل، ما أسفر عن مئات الشهداء والجرحى، وقد أظهرت الصور المروعة الناس رجالا ونساء وأطفالا قتلى وقد كانوا نياماً.

تعقيبا على ذلك قال تعليق صحفي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين: لليوم الثالث والأربعين على التوالي، يصر كيان يهود على جرائمه ومجازره بحق المدنيين، ففي الوقت الذي تعجز قوته العسكرية المدعومة أمريكياً عن تحقيق أي إنجاز حقيقي يذكر، يأتي هذا الكيان الجبان ليفرغ جام حقده وجبنه ويأسه في المدنيين العزل كما فعل اليوم في مدرسة الفاخورة، ظناً منه أن تعيد هذه المجازر ردعاً قد فُقد إلى غير رجعة، وهيبة كاذبة قد تلاشت مع رياح السابع من تشرين الأول/أكتوبر.

وأضاف التعليق: إن هذه الجرائم هي وصمة عار في جبين البشرية، ودليل ساطع على مدى سقوط الحضارة الغربية بقيمها ومبادئها وهي تناصر هذا الكيان المجرم على جرائمه، وهي وصمة عار في جبين الحكام الخونة الذين يشاركون كيان يهود في جرائمه بصمتهم وخذلانهم بل بخيانتهم لله وللرسول وللمؤمنين.

وتوجه التعليق إلى المسلمين، وإلى الجيوش الرابضة في ثكناتها بالقول: يا جيش الأردن ويا جيش الكنانة، بالله عليكم متى تتحركون لنصرة إخوانكم؟! بالله عليكم متى تغلي الدماء في عروقكم؟! مسرى رسولكم قد دنس، إخوانكم قد قتّلوا وشردوا حتى تكالب عليهم العالم ولم يعد لهم نصير إلا الله ثم أنتم، فهل ترضون بخذلانهم؟! أليسوا إخوانكم؟! أليس الله قد خاطبكم بقوله ﴿وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ﴾؟! تحركوا وأطيحوا بحكامكم العملاء أولياء كيان يهود وأمريكا، أطيحوا بهم اليوم قبل الغد فهم ليسوا منا ولسنا منهم، وحركوا دباباتكم وطائراتكم وجندكم لإنقاذ غزة وتحرير مسرى نبيكم وتحرير كامل الأرض المباركة، ولتلقنوا كيان يهود درساً ينسيه وساوس الشياطين جراء عدوانه وجرائمه.

وختم التعليق بخطاب جيش الأردن وجيش الكنانة لا سيما الموجودين على الحدود: ألا تسمعون صوت القصف؟! ألا ترون بأعينكم طائرات العدو وهي تلقي حممها على أهلكم؟! ألا تقشعر أبدانكم وتنخلع قلوبكم من هول الحدث؟! استجيبوا لصرخات إخوانكم واستجيبوا لنداء ربكم وإن لم تفعلوا فأنتم في خطر عظيم، فتداركوا أنفسكم وإخوانكم ومقدساتكم قبل فوات الأوان.

===

القدس والأقصى إرث إسلامي بحت

يا أردوغان ويا محمد السادس!

قال الرئيس التركي أردوغان في خطاب له أمام كتلته النيابية، الأربعاء 2023/10/25م: "إنّ المسجد الأقصى معبد مشترك بين اليهود والنصارى والمسلمين".

وأما العاهل المغربي فقد قال فيما أورده موقع العين الإخبارية السبت 2023/11/11: "من واجب الجميع المحافظة على القدس الشريف باعتباره إرثاً مشتركاً للإنسانية".

تعليقا على هذين الخبرين قال الأستاذ خليفة محمد في تعليق نشره المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير: لعل التاريخ لم يسجل نذالات وخيانات كما يسجلها اليوم للحكام في بلاد العرب والمسلمين، فالعدو المحتل لفلسطين المباركة يقتل الأطفال والنساء والشيوخ والرجال، ويدمّر المنازل والمستشفيات والمدارس فوق رؤوس الناس في غزة، وهؤلاء الحكام لم ينبض لهم عرق من حياء، وإعلامُهم يَعُدّ الشهداء والجرحى والمصابين والمنازل المدمّرة، وينقلون صورتها إلى شعوبهم!

واستدرك الأستاذ خليفة بالقول: لكن أمر هؤلاء الحكام لم يقف عند حدّ النذالة والتخاذل عن نصرة أهل غزة وفلسطين؛ بل إنّ منهم من أعظمَ على الله الفريةَ كما رأينا في الخبرين المنقولين في الأعلى، يَكذِبونَ على الله تعالى بجعل المسجد الأقصى معبداً مشتركاً بين اليهود والنصارى والمسلمين، وجعل القدس الشريف إرثاً مشتركاً للإنسانية، لم يكذبوا فحسب، بل يُكذّبون اللهَ تعالى القائل: ﴿وَأَنَّ الْمَسَاجِدَ لِلَّهِ فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللهِ أَحَداً﴾، وينكرون ما كانت عليه الأمة طوال تاريخها العزيز من الارتباط بين المسجد الحرام والمسجد الأقصى منذ الإسراء برسول الله ﷺ، والذي حفظته سورة الإسراء إلى يوم القيامة، ومن كون المسجد الأقصى ثالث المساجد التي تُشَدُّ الرحالُ إليها، وكون المسجد الأقصى قبلة المسلمين الأولى قبل المسجد الحرام، يفعلون كلّ ذلك متواطئين ومتآمرين مع يهود، يريدون إعطاءهم حقاً في القدس والمسجد الأقصى بعدما اعترفوا بكيانهم المسخ في الأرض المباركة، وتنازلوا لهم عمّا يقارب من 80% من أرض فلسطين التي جُبِلَت بدماء المجاهدين، عبر تاريخ الإسلام، من الصحابة والتابعين وتابعيهم إلى يومنا هذا.

وختم الأستاذ تعليقه بالقول: لقد آنَ للأمة الإسلامية أنْ تخلعَ هؤلاء الحكام المتآمرين عليها وعلى قضاياها، هؤلاء الحكام الذين أسلموها لعدوها ثم وقفوا يتفرجون، ليس لكم بدٌّ أيها المسلمون من هذا العمل، انطلقوا إلى معسكرات جيوشكم وكونوا معهم يداً واحدة لنبذ المنافقين المتآمرين الخونة من الحكام وأعوانهم، وإقامة دولتكم دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، وواصلوا السير فلا تحطّوا الرحال إلا في المسجد الأقصى، ولا تُبقوا لكيان يهود في بلادكم أثراً.

===

أردوغان يطلب عزل (إسرائيل) دوليا

ولا يقوم بعزلها من تركيا!

قال الرئيس التركي أردوغان أمام كتلته النيابية في البرلمان يوم 2023/11/15 "في خطة مزدوجة سنواصل عزل (إسرائيل) في الساحة الدولية بينما نوفر كافة أشكال الدعم الإنساني لفلسطين".

إن تصرفات أردوغان وسياساته تكذّبه في عقر داره! إذ إن أولى الخطوات لعزل كيان يهود في الساحة الدولية هي عزله من الساحة التركية بقطع العلاقات وإنهاء التطبيع مع هذا الكيان الغاشم المغتصب، ولكن أردوغان لا يفعل ذلك! فخلال شهر تشرين الأول/أكتوبر الماضي حملت أكثر من 230 سفينة من تركيا الحديد والفولاذ للصناعة اليهودية العسكرية، كما حملت مواد غذائية لتغذية جنود العدو الذين يقتلون الأطفال والنساء في غزة والضفة. كما حملت من تركيا النفط القادم من أذربيجان للدبابات والطائرات اليهودية المعتدية!

ويذكر أردوغان أنه سيقدم الدعم الإنساني لفلسطين، ومعنى ذلك أنه لن يقدم أية طائرة بدون طيار إلى غزة كما قدمها لأذربيجان وأوكرانيا تنفيذا لخطط أمريكا، ولن يرسل أي عسكري إلى غزة لصد عدوان يهود كما أرسل جنوده إلى سوريا للحفاظ على نظام بشار أسد الإجرامي. وقال أردوغان: "إن (إسرائيل) تطبق استراتيجية تدمير كامل لمدينة غزة وسكانها"، وهذا يتطلب منه أن يرسل جيشا جرارا لقطاع غزة حتى يحميها ويحمي سكانها من الدمار والقتل لو كان صادقا في كلامه، فهو يقول ولا يفعل كعادته بالنسبة لفلسطين.

ويقول: "إن (إسرائيل) دولة إرهاب"، ولكنه لا يتخذ ضد هذا الكيان الإرهابي أية إجراءات كما يتخذها ضد حزب العمال الكردستاني الذي أعلنه كيانا إرهابيا فيشن الغارات عليه باستمرار ليقضي عليه. فأردوغان يتقن إلقاء الخطابات النارية والعاطفية ليلقى التصفيق والإعجاب ولكنه لا يفعل شيئا جادا لفلسطين، على عادة زعيم العرب القديم عبد الناصر الذي خدع الناس بإلقاء الخطابات النارية والعاطفية عقدين من الزمان في الخمسينات والستينات من القرن الماضي.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </