جريدة الراية: متفرقات الراية  22-05-2024
May 21, 2024

جريدة الراية: متفرقات الراية 22-05-2024

Al Raya sahafa

2024-05-22

جريدة الراية: متفرقات الراية 

أيها الجند في جيوش المسلمين: أليس فيكم رجل رشيد؟ وخاصة في أرض الكنانة والشام، يقود الجند فتتبعه باقي الجيوش يكبِّرون الله وتكبِّر الأمة من خلفهم بنصر الله سبحانه ﴿إِنَّا لَنَنْصُرُ رُسُلَنَا وَالَّذِينَ آمَنُوا فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ يَقُومُ الْأَشْهَادُ. فلقد طفح الكيل أيتها الجيوش، ولم يبق عذر لمعتذر ولا حجة لمحتج، ولا يكفي أن تعضوا على أسنانكم من الغيظ على أعدائكم دون أن تفعلوا شيئا، بل كما قال الله العزيز الحكيم: ﴿قَاتِلُوهُمْ يُعَذِّبْهُمُ اللهُ بِأَيْدِيكُمْ وَيُخْزِهِمْ وَيَنْصُرْكُمْ عَلَيْهِمْ وَيَشْفِ صُدُورَ قَوْمٍ مُؤْمِنِينَ﴾.

===

الديمقراطية تحتضر

بقلم: الأستاذ مؤنس حميد – ولاية العراق

إنه لمن سوء حظ الديمقراطية أن تندفع أمريكا، هذه التي تكسو نفسها نعوتاً من النزاهة، وأوصافاً من التجرد، في مباشرة الشعوب المستعبدة المنهوبة المبتلاة بالاستعمار، وأن تندفع لتؤيد عدوان يهود على الشعب الفلسطيني المكافح المدافع عن أرضه وحقوقه، وتؤيد كيان يهود في إراقته دماء المسلمين، وتدمير ونهب مدنهم، وأموالهم وأرواحهم... وإنه لمن سوء حظ هذه الديمقراطية أن تكون هذه الدول التي تتعاون مع أمريكا، الدول التي ترتدي الزي الديمقراطي الخلاب الملطخ بدماء الأبرياء الذين يدافعون عن حقوقهم المسلوبة...

إن قتل المسلمين بهذه الوحشية هو ما تواطأت عليه زعيمة الديمقراطية أمريكا وكيان يهود، أمام أنظار المجتمع الدولي والعالم أجمع. لقد أصيبت الديمقراطية التي يتشدقون بها بنكسة في الصميم، وبالذات حين خرجت الشعوب الغربية مطالبة بوقف العدوان على الشعب الفلسطيني مُنادية بحقوق الحرية التي تدعيها هذه النظم، ولقد بان زيف ما يدعيه أرباب هذه الديمقراطية. فالجماهير التي خرجت تنادي بوقف العدوان الغاشم والجرائم البشعة التي ترتكب بحق الأبرياء في غزة قد جوبهت بالتنكيل والبطش من الأنظمة التي تدعي تبني الديمقراطية وحرية التعبير! فالديمقراطية رغم ما أصابها وما لحق بها من فشل، تصر حتى الرمق الأخير على إذلال الشعوب، ولا تستحي ولا تخجل من خنق حرية الشعوب المظلومة التي ابتليت بهذا المنهج السقيم. فقد ظلت ترسف تحت إجرام هذه الديمقراطية التي كُشفت وبان عوارها، حتى باتت بأبشع صورها خصوصاً عند مناقشة قضية فلسطين التي تشهد لها سماوات الله والأرضون ومن فيها بأنها أعدل القضايا وأحقها بالتأييد التي تعرض على المحافل الدولية المزعومة؛ مجلس الأمن، وهيئة الأمم المتحدة. وإنه لمن غير المنطقي أن يتحدث رئيس أمريكا بايدن ليتهم المدافعين عن حقوقهم ويصفهم بالإرهابيين المعتدين، وبلاده من أكبر المتآمرين على حقوق الشعوب المشروعة.

وبعد كل الذي وصلت إليه البشرية من ذل وعبودية قاهرة غاشمة أقول: لقد آن لها أن تعيد النظر فيما تتمسك به من أفكار ومبادئ، فقد كشفت عن زيفها وأعلنت عن إفلاسها. وعليها أن تتقدم لتبصر النور وتقرأ وتتصفح عقيدة الإسلام وعدالته الخالدة، وأن تنظر إلى إنسانية هذا الدين العظيم، وسيرته الناصعة لتبصر بعد ذلك طريق الحق، وترى مسيرة الذين حملوا هذا الدين ليروا حتى في أحلك الظروف وأعسرها على التفكير الصائب، ساعات الحرب التي لم يشرعها الإسلام إلا لإنقاذ الناس من قيود العبودية العفنة، ولإنقاذ البشرية وإخراجها من الظلمات إلى النور، لتبصر عدل هذا الدين الذي ما جاء إلا ليسعد البشرية جمعاء. فمتى نهتز ونشعر لننهض وننفض عن رؤوسنا غبار الذل والغفلة؟!

إن الدول الاستعمارية لا تعرف غير استدامة سطوتها وظلمها، فمن أين لها أن تعرف ونحن نراها تكافح الإنسانية مكافحة شرسة؟! أقول هل حلمت البشرية يوماً أن تتأيد وتنتصر مثلما تأيدت وتآزرت على أيدي أفعال وأقوال الصفوة من رجال الإسلام وعلى رأسهم رسول الله محمد ﷺ، ومن بعده صحابته الكرام ومن سار على نهجهم؟ فهذا رسول الله يعلمنا ويعلم البشرية درساً لم تعرفه كل النظم ودساتير الحضارة الغربية، حين وقف منتصباً أمام جنازة تمر من أمامه، فقيل له: إِنَّهَا جِنَازَةُ يَهُودِيٍّ، فَقَالَ: «أَلَيْسَتْ نَفْساً؟». يا لروعة ونبل هذا الدين وهذه المبادئ العظيمة لتهتف على لسان هذا الدين بالمساواة بين بني البشر، رغم اختلاف العقائد ما بقي على وجه الأرض من تأريخ يقرأ!

﴿قُلْ هَلْ نُنَبِّئُكُمْ بِالْأَخْسَرِينَ أَعْمَالاً * الَّذِينَ ضَلَّ سَعْيُهُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَهُمْ يَحْسَبُونَ أَنَّهُمْ يُحْسِنُونَ صُنْعاً

===

حزب التحرير/ ولاية تركيا ينظم فعاليات واسعة

"كفى.. حان وقت الأفعال لا الأقوال!"

أمام المجازر الوحشية والإبادة الجماعية المتواصلة منذ أكثر من سبعة أشهر، والتي يرتكبها كيان يهود المجرم بحق المسلمين العزل في قطاع غزة والتي أدت إلى استشهاد وإصابة أكثر من 115 ألف مسلم ومسلمة حتى الآن، نظم حزب التحرير/ ولاية تركيا فعاليات جماهيرية واسعة في 17 موقعاً على مستوى تركيا تحت عنوان: "كفى.. حان وقت الأفعال لا الأقوال!"، لمطالبة المسلمين للتوحد تحت راية خليفة واحد يحرك الجيوش فوراً لنصرة المسلمين المستضعفين في الأرض المباركة (فلسطين) ولتحرير المسجد الأقصى المبارك وكل فلسطين المحتلة من نهرها إلى بحرها من براثن يهود القتلة المجرمين.

===

احتشاد جماهيري كبير في قلقيلية نصرة لغزة ورفح

احتشدت عصر يوم السبت 2024/5/18م وسط مدينة قلقيلية جماهير كبيرة من أهالي المحافظة والمناطق المجاورة تلبية لدعوة حزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين التي وجهها للناس لنصرة غزة ورفح، للاحتشاد في وقفة جماهيرية تحت عنوان: "أيها المسلمون: رفح من بعد غزة تستغيث فأدركوها"، لتوجيه نداء عاجل وقوي إلى الأمة الإسلامية وجيوشها لتهب لنجدة رفح وغزة قبل فوات الأوان. وبالفعل احتشد الآلاف من الناس، رجالا وشيوخا وأطفالا، وهتفوا جميعا بأصوات وحناجر حزينة وغاضبة، منادين الأمة وجيوشها ومستصرخين أهل النصرة والقوة أن هبوا لنجدة أطفال ونساء ومجاهدي غزة قبل فوات الأوان. ورفع المشاركون يافطات وشعارات تنادي بنصرة غزة ورفح، ورددوا هتافات تطالب الأمة وجيوشها بالتحرك العاجل لإنقاذ أطفال ونساء غزة قبل فوات الأوان.

وقد ألقى المهندس باهر صالح، عضو المكتب الإعلامي للحزب، في الحشود كلمة هاجم فيها حكام المسلمين وخاصة حكام مصر والأردن لتقاعسهم عن نصرة غزة وعدم إرسال الجيوش لنجدة غزة وأطفالها ونسائها، وأكد في كلمته أن غزة أثبتت أن الكيان ليس أهلا للقتال وهو يسعى إلى الحسم والنصر الموهوم بالحصار وبالدمار بعد أن أثخنت غزة فيه، وهو ما يجب أن يشجع الأمة لتلتحم مع أهل غزة في معركتهم الأسطورية. وحذر صالح المسلمين في البلاد الإسلامية من مواصلة الركون إلى الحكام. وختم صالح كلمته بمخاطبة الأمة وتذكيرها بأن الفرصة لم تفت بعد، بل سنحت. ثم ألقى الدكتور محمد عفيف شديد في ختام الوقفة دعاء ناجى به الله ودعاه أن ينصر غزة وفلسطين وأن يهيئ لها جيوشا تتحرك لتحريرها وتطهير المسجد الأقصى المبارك وأن يعجل للمسلمين بإقامة الخلافة.

===

الخليل تستنصر جيوش الأمة لإنقاذ غزة وتوجه رسالة إلى الجيش المصري

شارك الآلاف في المسيرة الحاشدة التي دعا لها حزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين ووجهاء مدينة الخليل، يوم الاثنين 2024/5/13، نصرة لرفح ولإنقاذ ما تبقى من غزة. حيث انطلقت المسيرة من مفرق مسجد الأبرار باتجاه دوار ابن رشد وسط مدينة الخليل، ورفع المشاركون فيها الرايات وشعارات تدعو الأمة وجيوشها للتحرك العاجل لإنقاذ رفح وأهل غزة. وعند دوار ابن رشد ألقيت كلمة هاجمت المؤامرة وحرب الإبادة التي يشنها الكيان الغاصب على غزة وأهلها. وعاب المتحدث على النظام المصري موقفه المتخاذل حيث كان يزعم أن اجتياح رفح خط أحمر، ولما وقع الاجتياح سحب النظام المصري جنوده إلا من قوة مهمتها التنكيل بكل من حاول أن يجتاز الحدود من غزة! وأكد المتحدث أن الأنظمة العربية مشاركة في العدوان على غزة عبر ما تقدمه للكيان الغاصب من إمدادات وحماية حدود وأجواء، ومؤكدا أن الحكام هم أس الداء وأساس البلاء.

وتضمنت الكلمة التأكيد على أن أحداث غزة أحيت في الأمة روح الجهاد والتضحية في سبيل الله، وأكدت أن تحرير فلسطين أمر ممكن بل يسير. ووجه المتحدث باسم الحضور رسالة إلى الجيش المصري أقرب الجيوش لما يحصل في رفح بالقول: "يا جيش مصر وقد تغلب عليكم السيسي وزمرته وقد حادوا الله ورسوله في حرب علنية على الدين ورعاية للملحدين، أسفر عن وجه لا لبس فيه أنه عدو لله ورسوله والمؤمنين، فلا نستغرب عداءه وعدوانه مع اليهود على أهل غزة، ولكننا نستغرب سكوتكم عليه حتى الساعة، رغم أن ثمن السكوت هو هلاك أهلكم في غزة جوعا وعطشا وقتلا وحصارا، وفوقها إهانة لأهل مصر وجندها، وقبلها وبعدها حرب على دينكم. فكيف تسكتون وأنتم كنانة الاسلام وبقية الفاتحين والمحررين، وغوث الشام في التاريخ... بالله عليكم كيف تسكتون".

===

الأمم المتحدة تعرب عن "الفزع" من عودة العنف للفاشر بالسودان

نشرت وكالة الأناضول، بتاريخ 2024/5/18 خبرا جاء فيه: قال مفوض الأمم المتحدة السامي لحقوق الإنسان: إننا نشعر بـ"الفزع" من تصاعد العنف في الفاشر، وتأثيره "المدمر" على المدنيين. وأوضحت المتحدثة باسم المفوضية السامية لحقوق الإنسان أن المفوض أجرى مكالمات هاتفية منفصلة، الثلاثاء، مع الفريق أول عبد الفتاح البرهان، رئيس مجلس السيادة الانتقالي، قائد الجيش السوداني، والفريق محمد حمدان دقلو (حميدتي) قائد قوات الدعم السريع، وأنه حثهما على التصرف فورا وعلنا لتهدئة الوضع. وتقول الأمم المتحدة بأن القتال في مدينة الفاشر يهدد قرابة 1.8 مليون شخص من السكان والنازحين داخليا المحاصرين والمعرضين لخطر المجاعة الوشيك، وتركز على دور هذا القتال في تعميق ما تسميه بالصراع الطائفي.

ومنذ أوائل نيسان/أبريل الماضي، تشهد الفاشر اشتباكات بين الجيش السوداني وقوات الدعم السريع، التي شنت هجمات واسعة على قرى غرب المدينة. والفاشر هي مركز ولاية شمال دارفور، وعاصمة إقليم دارفور المكون من 5 ولايات، وأكبر مدنه، والوحيدة بين مراكز ولايات الإقليم الأخرى التي لم تسقط بيد قوات الدعم السريع في نزاعها المسلح ضد الجيش السوداني.

الراية: ويستمر القتال بين عملاء أمريكا في قيادة الجيش السوداني والدعم السريع في حرب تريد أمريكا منها أن تخرج القوى المدنية الموالية لأوروبا من الساحة السياسية، لذلك أثارت قتالاً مدروساً بين عملائها، ذلك القتال الذي يهدد أيضاً بتنفيذ سياسة أمريكا الأخرى بالمزيد من شرذمة السودان بعد اقتطاع جنوبه عنه.

===

وقفة حزب التحرير في ولاية لبنان

"النازحون إخواننا"

نظم حزب التحرير/ ولاية لبنان في مدينة طرابلس الشام يوم الجمعة 2024/05/17م، اعتصاماً حاشداً، انطلاقاً من المسجد المنصوري الكبير، تعبيراً عن وقوفه إلى جانب النازحين واللاجئين من أهل سوريا، الذين فروا بأنفسهم من بطش نظام أسد المجرم، والتجأوا إلى إخوانهم في لبنان طلباً للأمن والملجأ، ريثما تسنح لهم الفرصة للعودة الكريمة الآمنة إلى ديارهم التي ترعرعوا ونشأوا فيها.. وقد كانت في الاعتصام كلماتٌ لرئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية لبنان الشيخ الدكتور محمد إبراهيم، وعضو حزب التحرير الأخ أحمد الشمالي، تطرقت إلى حال أهل لبنان وحال إخوانهم من النازحين، وعلاقتهم بهم. وخاطبت الكلمات السياسيين في لبنان بالقول: إننا ندرك كيف تدير أمريكا المنطقة وتتلاعب بها وبقضاياها لمصلحتها! لكننا نحذركم أن تحاولوا جعل النازحين وقوداً لتآمركم وطاعتكم لسيدكم الأمريكي! ونحذر العنصريين الطائفيين من اللعب بالنار بافتعال قضايا لإشعال نار الفتنة! فإن المسلمين اليوم ليسوا من كانوا أيام إمارتكم للحروب، فلا تدخلوا هذا المدخل! كما توجهت بكلمة للمسلمين عموما في لبنان بأن النازحين إخوانكم، فروا بأنفسهم ودينهم وأولادهم إليكم، فلا تُسْلِمُوهم لعدوكم وعدوهم، وإنّ الواجب الشرعي يحتم النظر إلى المسلمين بصفتهم أمةً واحدةً، لا شعوباً وأمماً ودولاً يفصل بينها ما يُسمى بحدود وطنية تمزق الأمة وتُشكل سياجاً لحماية النظم التي أوجدها الكافر المستعمر لتخدم مصالحه الاستعمارية، فلا يجوز لنا ولا يصح أن نعترف بالواقع الذي فرضه الاستعمار، فضلاً عن أن نسعى لتكريسه وتطبيع الأوضاع التي أوجدها. وإنّ الأمة الإسلامية هي أمة متميزة عن غيرها من الأمم، بارتباط بعضها ببعض بأواصر العقيدة الإسلامية ومفاهيم الإسلام وشريعته.

وكانت كلمةٌ طيبةٌ للشيخ نبيل رحيم، أشار فيها إلى الأخوة الإسلامية، وحرمة تسليم النازح، وأن على أهل لبنان رفض الخطاب العنصري، وأكد أن الأزمة الاقتصادية أزمة لصوص وفاسدين وليست أزمة نازحين.

===

وسط معلومات عن تصفية عدد كبير منهم

ملف المختطفين والمغيبين صندوق أسود يكشف حجم الإجرام الذي تمتلكه قيادة الهيئة

أكّد تعليق صحفي نشره المكتب الإعلامي لحزب التحرير/ ولاية سوريا، الأربعاء 2024/05/15م، أكد أن ملف المختطفين يعتبر من أخطر الملفات التي تتكتم عليها قيادة هيئة الجولاني، وتعمل على إنهاء أي محاولة لكشف هذا الملف أو تسليط الضوء عليه. وأضاف التعليق: يتشابه ملف المختطفين والمغيبين عند الهيئة مع ملف المفقودين عند النظام المجرم في مدينة حماة وسجن تدمر، فالكثير منهم قد تمت تصفيتهم وبطرق إجرامية بشعة، وتم دفنهم بمقابر جماعية مجهولة، واليوم يعيش الجولاني وجهاز ظلمه العام الحالة نفسها، فالمطالبات بالكشف عن مصير المختطفين كثيرة، خاصة بعدما وردت معلومات عن تصفية عدد كبير منهم. ولذلك لم يكن أمام قيادة الهيئة سوى أن تتوجه بكل وحشية لفضّ الاعتصام في إدلب، فرسمت وخططت واستخدمت الأدوات، كتبت السيناريو ولم تكترث لمدى ضعفه وركاكته ودرجة الكذب فيه، لتتوجه بعد ذلك لفض الاعتصام بالقوة المفرطة ومهما كانت النتائج، فتحمّل تبعات فض الاعتصام عندهم أخفّ بكثير من تحمل تبعات ظهور حقيقة المئات من الذين تم قتلهم في سجونها ودفنهم بمقابر جماعية مجهولة! وقال التعليق: لقد ظهرت حقيقة إجرام قيادة الهيئة وجهاز الظلم العام، متسائلا: إلى متى سيبقى المجاهدون ساكتين عن ظلم هذه القيادة؟! ألم تحن ساعة تخليهم عن حيادهم السلبي وانحيازهم لأهلهم وثورتهم؟ إن ظلم الجولاني وجهاز الظلم العام لن يزيد أهل الثورة وحراكها المبارك إلا إصرارا على الاستمرار حتى ينقذوا ثورتهم ويستعيدوا قرارهم ويتابعوا مسيرهم حتى إسقاط الطغاة جميعا وإقامة حكم الإسلام على أنقاضهم، وإن ذلك لقريب بإذن الله.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </