جريدة الراية: متفرقات الراية 15-05-2024
May 14, 2024

جريدة الراية: متفرقات الراية 15-05-2024

Al Raya sahafa

2024-05-15

جريدة الراية: متفرقات الراية

إلى متى يا أمة الإسلام؟! أما آن لكم أن تسقطوا الأنظمة الخائنة والحكام العملاء؟! ألا يثيرون غضبكم بتصريحاتهم الجوفاء التي يطالبون فيها كيان يهود بالالتزام بالقانون الدولي والقرارات الدولية؟! فعن أي قانون وقرارات يتكلم لكع الوجود هؤلاء؟! المغضوب عليهم منذ ما يزيد عن سبعة أشهر وهم يقتلون الأطفال والنساء والمرضى والأسرى ويدمرون المستشفيات والمساجد والمؤسسات التعليمية، بل استهدفوا هيئات الإغاثة الدولية فقتلوا أفرادها ودمروا مقراتها، فماذا بقي من القانون الدولي لم ينتهكه المغضوب عليهم؟ ماذا بقي من الحرمات لم ينتهكوها؟!

يا خير أمة أخرجت للناس: إن مسؤولية الأمة الإسلامية عن العالم مسؤولية عظيمة، وهي توجب عليها النهوض لدينها كما أرادها الله تعالى شاهدة على الناس، شاهدة عليهم بإقامة الدين ومحاربة الظلم والطغيان.

===

ترسيم الحدود البرية

بين لبنان وكيان يهود

أكثر من ثمانية أشهر ويهود يعيثون في الأرض إجراما؛ يضربون عرض الحائط بأكذوبة "القرارات والقوانين الدولية"، حتى إن مندوب كيان يهود في الأمم المتحدة جلعاد إردان، قام بتمزيق ميثاق الأمم المتحدة بعد تصويت الجمعية العامة للأمم المتحدة لصالح اعتماد قرار ينص على أحقية فلسطين في العضوية الكاملة في الأمم المتحدة.

وفي المقابل، يذهب وفد نيابي من لبنان إلى العاصمة واشنطن ويجتمع مع مستشار الرئيس الأمريكي لشؤون أمن الطاقة العالمي آموس هوكستين وذلك لبحث تطبيق قرار 1701 الذي صدر عن مجلس الأمن سنة 2006، والذي نص على إنهاء حالة الحرب بين لبنان وكيان يهود! كما طالب الوفد النيابي بفصل لبنان عن مسار الحرب الدائرة في غزة! وكرر نائب أمين عام حزب إيران اللبناني نعيم قاسم تصريحاته بأن حزبه سيطرح رؤيته بخصوص الجنوب اللبناني بعد وقف إطلاق النار الكامل في غزة.

إن حزب إيران اللبناني والسلطة اللبنانية ككل كانت تلهث وراء ترسيم الحدود البرية، ووصلت النقاشات بين السلطة اللبنانية وكيان يهود عبر الوسيط الأمريكي إلى بحث نقاط محددة عالقة.

ومسعى ترسيم الحدود البرية كان بمبادرة أمريكية؛ إذ إنه بعد نجاح ترسيم الحدود البحرية والذي أعطت فيه السلطة اللبنانية ليهود حقلا كاملا للغاز، وذلك قبل أسبوع من الانتخابات النصفية للكونغرس في أمريكا، رأت الإدارة الأمريكية الحالية إمكانية إنجاح ملف ترسيم الحدود البرية قبل الانتخابات الرئاسية في آخر سنة 2024 وذلك لتحقيق بعض النقاط في الملفات الخارجية. إلا أن حرب غزة أوقفت تلك المفاوضات وباتت الجهود الدولية منصبة حول منع توسع تلك الحرب.

وهكذا كان موقف المرشد الإيراني علي خامنئي بما سماه "الصبر الاستراتيجي" والتزم حزبه في لبنان بذلك، حيث إن آلة القتل لدى يهود لم تتوقف عن قصف المدنيين في جنوب لبنان، ومع ذلك يقوم حزب إيران بالرد المحدود ضمن قواعد يفهمها الطرفان، وإن تجاوزت حدود قواعد الاشتباك!

وكذلك، كعادتها، تحركت فرنسا بهدف إيجاد موطئ قدم لها في هذه الأزمة، ولكي تظهر بمظهر الدولة الفاعلة على الصعيد الدولي، فكان مجيء وزير الخارجية الفرنسي ستيفان سيجورنيه إلى لبنان بهدف خفض التوتر بين لبنان وكيان يهود، وكان رد رئيس مجلس النواب نبيه بري عليه بأن لبنان ما زال متمسكاً بتطبيق قرار 1701، ما أضعف التدخل الفرنسي في لبنان لصالح قوة أمريكا، ونفوذه في مواقع السلطة الأساسية في البلد.

إن ترسيم الحدود البرية إذا تم سيمهد للبنان أن يدخل في مسار التطبيع الذي تروج له أمريكا في المنطقة، وسيتحول حزب إيران إلى حزب لبناني معني بالشؤون الداخلية فقط، وواضح حرص الحزب على عدم تدمير مكتسباته في لبنان خلال الفترة الماضية، والذي انعكس في عدم الرغبة عنده وعند إيران بدخول حرب واسعة! وهكذا يتم إخراج لبنان كليا من دائرة الصراع مع كيان يهود.

إن الذي يرسم الخطط في المنطقة هي أمريكا، وهي تحدد مسار كل دولة وعلاقتها مع الأخرى بما يخدم مصالحها، وأهمها أمن كيان يهود! وهذا لا يمكن أن يتحقق دون وجود من يسمع وينفذ تلك المخططات من بني جلدتنا إن كان المخطط يتعلق بمصر أو سوريا أو لبنان! وهكذا ينفذ العملاء في بلادنا تلك المخططات تبعا لمصالح الدولة التي يخدمونها. ولو أن هناك دولة مستقلة ترعى شؤون الناس بحق وعدل لما رأينا لهؤلاء أي شأن ولتم كنسهم من الأوساط السياسية وتم استرجاع الأراضي المحتلة.

بقلم: م. عبد اللطيف داعوق – ولاية لبنان

===

مندوب كيان يهود يمزق ميثاق الأمم المتحدة بداخلها

CNN عربية، 2024/5/11 - أحضر سفير (إسرائيل) في الأمم المتحدة جلعاد أردان آلة تمزيق ورق صغيرة وقام بتمزيق ميثاق الأمم المتحدة خلال خطاب غاضب ألقاه أمام الجمعية العامة للأمم المتحدة. وكان ذلك على خلفية تصويت الجمعية العامة للأمم المتحدة على قرار يدعو مجلس الأمن إلى إعادة النظر في عضوية كاملة للسلطة الفلسطينية في الأمم المتحدة

الراية: لو فعلها مسلم للاقى هياجاً من الاستنكارات ومطالب الفصل من الأمم المتحدة. لقد أظهر مشهد تمزيق ميثاق الأمم المتحدة بداخل قاعاتها مدى العلو والغطرسة التي يتعامل بها كيان يهود وهو مسنود بالولايات المتحدة ودول الغرب عموماً، وأن هذا الصلف قد بلغ أقصى درجاته، إذ إن قرار الأمم المتحدة هذا غير ملزم من ناحية، ومن ناحية ثانية فإنه سيصطدم بفيتو أمريكا وبريطانيا وفرنسا في مجلس الأمن، بمعنى أنه لا حظ له في أن يكون قراراً، بل حتى لو صار قراراً فإن كيان يهود قد داس على كافة قرارات مجلس الأمن بخصوص فلسطين عبر التاريخ، ولكن هذا الكيان المتغطرس لا يريد أن يسمع أي كلمة تناوئ رغباته. لقد كان جديراً بحكومات بلاد المسلمين الأعضاء في الأمم المتحدة أن تعلق عضويتها في هذه الهيئة الدولية حتى تطرد كيان يهود لو كانت هذه الحكومات تحس أو تخجل من شعوبها وأمتها، ولكنهم أموات تغمرهم الخيانة من آذانهم حتى خماص أقدامهم.

===

طبيب غزة الأشهر: وجه أوروبا انكشف بخدمتها كيان يهود

العربية، 2024/5/11 - بعد منعه من تقديم شهادته أمام مجلس الشيوخ الفرنسي اعتبر رئيس جامعة غلاسكو البريطاني الفلسطيني غسان أبو ستة أن القناع سقط عن وجه أوروبا، مشيراً إلى أنها مستعدة لمنع الاجتماعات والحريات، خدمة لـ(إسرائيل). وأضاف في مقابلة مع العربية الحدث أن السلطات الألمانية في مطار شارل ديغول أبلغته بمنع دخوله كل دول الشينغن لمدة عام، وأنها أبلغته بمنعه من دخول البلاد لشهر نيسان/أبريل الماضي. وعن عودته إلى قطاع غزة، أكد أنه سيعود دون أدنى شك لافتاً إلى أنه منذ خرج من غزة طرح نفسه كشاهد عيان، معتبراً أن أحد أسباب منعه تعود خوفاً من كشفه للناس في كل اجتماعاته ولقاءاته ما رأى في غزة.

الراية: من فضل الله تعالى على المسلمين أن حرب غزة قد أسقطت قناع الحرية الزائف لأوروبا وعموم الغرب، فشدة عدائهم للمسلمين يدفعهم للتضييق على من يدلي بأي شهادة ضد جرائم كيان يهود حتى لو كان من نخبها العلمية والسياسية ويحمل جنسيتها.

===

حزب التحرير/ ولاية تونس ينظّم المسيرة الثلاثين منذ انطلاق طوفان الأقصى

للأسبوع الثلاثين على التوالي يقود حزب التحرير في العاصمة تونس "مسيرة التحرير نصرة لأهل فلسطين وللأقصى الأسير" والتي كانت تنطلق في كل مرة من أمام جامع الفتح مرورا بشوارع العاصمة الرئيسية وصولا إلى شارع الثورة، وكان في كل مرة يختار عنوانا لمسيرته يتمحور حول استنصار الجيوش لنصرة إخوانهم في فلسطين، واستنهاض همم أبناء الأمة وحثّهم على إقامة حكم الله في الأرض بإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، فكان من خلالها يقدم الحلول الآنية لإنقاذ أهل غزة من جرائم كيان يهود والحلول الجذرية لخلاص الأمّة ممّا تعانيه من شقاء وضنك وتسلّط أعداء الإسلام عليها، فكان من أهم العناوين التي رفعت في المسيرات: "سكوتكم عن خيانة الحكام مشاركة في إبادة غزة"، "أين العلماء من نصرة غزة؟"، "يا جيوش المسلمين تحرير فلسطين يبدأ بإسقاط العملاء وينتهي بالصلاة في المسجد الأقصى"، "يا جيوش المسلمين حكامنا هم القبة الحديدية لكيان يهود"... وكان يفضح من خلالها خيانات الحكّام وتواطؤهم بل ودعمهم لهذا الكيان المسخ ودعم المجتمع الدولي وعلى رأسه أمريكا بالسلاح والقنابل، وقد كان عنوان آخر مسيرة فاضحا لتواطؤ السلطة في تونس التي وضعت يدها في يد جنود أمريكان من خلال تنظيمها تمريناً مشتركاً ضمّ الفرق الثلاث جوية وبحرية وبرية من جيش تونس وجنود أمريكان في ما سمّي بـ"الأسد الأفريقي 2024"...

وبعد، فلا يزال شباب حزب التحرير يؤدون واجبهم تجاه أمتهم؛ يتبنون قضاياها ويستنهضون همم المخلصين فيها، عاقدين على ذلك العزم متوكلين على الله ومتلبسين بواجب السعي لاستئناف الحياة بنظام الإسلام العظيم حتى تخلص كل أرض المسلمين من براثن الرأسمالية وحتى يفتك الريادة لصالح دين الإسلام تمكينا يرضاه رب العالمين ويرضى عنه ساكن الأرض.

===

في أول جمعة من عامه الثاني

الحراك الثوري يتواصل في ريفي حلب وإدلب بزخم شعبي كبير

أفادت نشرة أخبار السبت 2024/05/11م من إذاعة حزب التحرير/ ولاية سوريا أن الحراك الثوري اليومي المطالب باستعادة قرار الثورة، وإسقاط الجولاني وجهاز أمنه، واصل بزخم شعبي كبير، وفي أول جمعة من عامه الثاني، فعالياته الشعبية في ريفي حلب وإدلب. فقد خرجت مظاهرات حاشدة بعد صلاة الجمعة وأخرى ليلية في أكثر من 20 نقطة تظاهر على امتداد المناطق المحررة بريفي إدلب وحلب، كان أبرزها مظاهرة مركزية ضخمة في مخيمات تجمع الكرامة شمال إدلب تحت شعار "الثبات الثبات مهما عظمت التضحيات"، وكذلك خرجت مظاهرات حاشدة في مدينة إدلب، ومدن بنش، وجسر الشغور، وكفر تخاريم، وأرمناز، والأتارب، ودارة عزة، وبابكة، والسحارة، وحزانو، وإعزاز، والباب، وعفرين، وصوران وكفرة. وأكد المتظاهرون على استعادة قرار الثورة، وإسقاط الجولاني وحل جهاز الأمن العام وإطلاق المعتقلين المظلومين، وفتح الجبهات، كما شددوا على مواصلة حراكهم السلمي حتى تحقيق كافة مطالبهم. بينما سجل اعتداء على المتظاهرين في مخيم مشهد روحين وبلدة احسم بريف إدلب. وفتح الحراك الشعبي المتواصل ضد الجولاني، وحكومة الإنقاذ التابعة له، في إدلب، فتح الآفاق أمام مختلف فئات المجتمع من الموظفين وغيرهم، للمطالبة بحقوقهم وتحسين بيئة عملهم، بما يضمن لهم حياة كريمة. وخلال الأسابيع الماضية، تكررت الاحتجاجات والمظاهرات في إدلب، وتوسعت لتشمل فئات متنوعة من المجتمع، سواء الطلاب الجامعيين، أو عمال النظافة، أو المعلمين والإعلاميين وغيرهم. ويوم الخميس، تظاهر معلمون في مدينة إدلب، حاملين جملة من المطالب، منها تحسين الرواتب وتنظيم عملهم ضمن نقابة مهنية، إلا أن "حكومة الإنقاذ" لم تستجب على الإطلاق، كما أن وزير التربية فيها، لم يلتق بالمدرسين للاطلاع على مطالبهم!

===

مشهد العار وصناعة الأتباع في عهد سيئ الذكر السيسي

تداول ناشطون عبر موقع إكس فيديو لجنود مصريين يعتدون على طفل غزاوي عبَرَ السياج الفاصل بهدف المزاح ركلا وسحلا وضربا وشتما.

الراية: يحدث هذا في الوقت الذي يشاهد فيه العالم دبابات كيان يهود تتحرك داخل محور فيلادلفيا تلوح بالعلم على بعد أمتار من الحدود المصرية وتنشر مشاهد مصورة مركزة على بوابة رفح المصرية في تحدٍّ واضح وعنجهية لمصر وجيشها الذي لم نره يتحرك لإيقاف عربدة إخوان القردة والخنازير حتى لو أصبح هذا الكيان على بعد خطوات من العاصمة المصرية القاهرة، في حين رأيناه يتحرك بغضب حين عبر شاب فلسطيني إلى الحدود المصرية!

إن ما يحز في النفس أن يتحول جيش الكنانة، خير أجناد الأرض، إلى مجرد خدم وتبع لسيئ الذكر السيسي الذي أتقن صناعة الأتباع عبر أوكاره وأبواقه الإعلامية. فحري بكل جندي مصري حر التبرؤ من هذا الطاغية الذي ولى قبلته تجاه الكافر المستعمر وتحول إلى حارس أمين لكيان يهود. ورغم المرارة والألم يبقى الأمل في المخلصين من أبناء جيش الكنانة، فهم درع الأمة وحماتها وخير جندها، وأهل غزة يستنصرونهم ويبحثون بينهم عمن يعيد سيرة الناصر صلاح الدين فيغضب للأقصى الأسير ولانتهاك حرمات المسلمين وسفك دمائهم...

===

في حكم العملاء لا سيادة حتى في السياسة الداخلية

أورد موقع شفق نيوز بتاريخ 2024/5/8 خبرا جاء فيه: أشارت وزارة الخارجية الأمريكية، يوم الأربعاء، إلى بعض التشريعات العراقية، رأت أنها "لا توائم" حضوره الدولي، فيما ردت نظيرتها العراقية، بأن بغداد حريصة على حماية وتطوير العلاقات مع الدول الأخرى على أساس المصالح المشتركة. جاء ذلك، خلال استقبال نائب رئيس الوزراء، وزير الخارجية فؤاد حسين، مساعدة وزير الخارجية الأمريكي للأمن المدني والديمقراطية وحقوق الانسان، إزرا زيا، في العاصمة بغداد، وفق بيان ورد لوكالة شفق نيوز. وأكدت أن "شراكة الولايات المتحدة الأمريكية والعراق، هي الأساس في البناء المؤسسي للديمقراطية وحقوق الإنسان"، مشيرة إلى بعض التشريعات العراقية ومدى "اتساقها مع التزامات العراق الدولية في مجال حقوق الإنسان وحضوره الدولي".

الراية: هذا هو حال الحكومات العميلة في بلاد المسلمين، فبعد أن أصبحوا عبيدا أذلاء لأسيادهم من دول الكفر في كل ما يتعلق بالسياسة الخارجية، باتوا اليوم أذل فيما يتعلق بالسياسة الداخلية، ابتداء من الحكم والاقتصاد إلى ثقافة المجتمع ومسخ هويته الإسلامية. وبعد أن هبط النظام الرأسمالي المخالف لفطرة الإنسان، وديمقراطيته العفنة بالإنسان الغربي إلى أبعد من درك الحيوان، مصداقا لقوله تعالى: ﴿أُولَئِكَ كَالْأَنْعَامِ بَلْ هُمْ أَضَلُّ﴾، تراهم اليوم يصدرون أوساخهم وقذاراتهم إلى بلاد المسلمين، بل ويفرضونها علنا وبلا حياء أو خوف من أمة الملياري مسلم!!

===

 المصدر:  جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </