جريدة الراية: متفرقات الراية 13-12-2023
December 12, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية 13-12-2023

Al Raya sahafa

2023-12-13

جريدة الراية: متفرقات الراية

أيها الجند في جيوش المسلمين:

هلم إلى نصرة إخوانكم في غزة، وإن وقف الحكام في وجوهكم فخذوهم كل مأخذ.. انصروا إخوانكم في الأرض المباركة، واجعلوها هزيمة فاصلة لكيان يهود كما كانت في الأرض المباركة الهزيمة الفاصلة للصليبيين في القدس الشريف، وكذلك الهزيمة الفاصلة للمغول في عين جالوت.. ومن ثم تعود فلسطين كاملة دار إسلام كما كانت.. تستظل براية الخلافة من جديد، راية رسول الله ﷺ فهي أرض الإسراء والمعراج.. الأرض المباركة هي وما حولها.

===

أمريكا راعية القتل

قبل الفيتو وبعده

في بيان صحفي أصدره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين، السبت 2023/12/09م، تعقيبا على استخدام الولايات المتحدة الأمريكية، الجمعة، حق النقض (الفيتو) خلال تصويت في مجلس الأمن الدولي ضد مشروع قرار تقدمت به الإمارات يدعو إلى وقف فوري لإطلاق النار في قطاع غزة، حيث صوتت لصالح القرار الذي نقضته أمريكا 13 دولة بينما امتنعت بريطانيا عن التصويت... قال:

لم تأت أمريكا في تصويتها بالفيتو على وقف إطلاق النار، بجديد، بل جاءت بتأكيد، على أن كيان يهود على شدة إجرامه إنما هو خطيئة من خطاياها وإثم من آثامها، فسفك الدماء الزكية الذي يقوم به هذا الكيان المجرم إنما هو بأسلحة أمريكية وأموال أمريكية وتغطية أمريكية، والفيتو هو استمرار للجريمة والإبادة بقرارات أمريكية، وهكذا هي أيادي أمريكا ملطخة بدماء المسلمين، أينما ذهبت وحيثما حلت.

وأضاف البيان: إنّ أمريكا إنْ صمتت فصمتُها ظلم، وإنْ نطقت فنطقُها كفر، وإن تحركت أهلكت الحرث والنسل، وإن ما تقوم به من جرائم سواء بأيديها أو بأيدي شركائها وربيبتها كيان يهود، إنما هي بالعادة مقدمات لما يليها من مشاريعها المهلكة، وتهيئة لمخططاتها الخبيثة، فخططها السياسية وتحركاتها الدبلوماسية ليست أقل خطرا من سفكها الدماء، فكل ذلك يخرج من مشكاة واحدة، لا فرق بين دعمها كيان يهود بالسلاح والقنابل، وبين الفيتو الرافضِ وقفَ إطلاق النار، وبين حل الدولتين الخبيث الذي تسعى له لتصفية قضية الأرض المباركة، وتأمين كيان يهود بذلك الشيء المنزوع السلاح والمقومات والكرامة المسمى "دولة فلسطينية".

هذه هي أمريكا التي يراهن عليها ويأتمر بأمرها الأذلاء؛ حكام العرب والمسلمين، وهذه هي طبيعة مؤسساتها الدولية كمجلس الأمن والأمم المتحدة، فهي إما أن توظفها أمريكا في سفك الدماء بأن تصدر القرارات كما فعلت من قبل في العراق وأفغانستان، وإما أن توظفها في السكوت عن سفك الدماء بأن تبطل القرارات كما جرى بخصوص الفيتو على وقف إطلاق النار، أو أن تصدر عنها ومن خلالها القرارات الاستعمارية والمشاريع الغربية، مشرعَنةً ومغلفة بمسميات القانون الدولي والحقوق، لتنخدع بها الشعوب ظنا منها أنها أدوات ومنابر لتحصيل حقها، بينما هي في الحقيقة أدوات الغرب لنهب تلك الحقوق واغتصابها.

وخلص البيان إلى: أن وقف الإبادة وحقن الدماء الزكية من أن تسفك لا يحتاج إلى قرار يقدمه حكام عملاء جبناء في مجلس الأمن، مجلس أمريكا، وكأنهم يستجدون للمقتول عون قاتله المجرم، بل هو بحاجة إلى قرار وفعل من المسلمين، وخاصة أهل الاستطاعة منهم، بخلع تلك الأنظمة العميلة المتواطئة، إذ بخلعها يُخلع كيان يهود من جذوره، كما يخلع نفوذ أمريكا وتُقطع يدها الممتدة بالفساد في بلاد المسلمين، وبغير ذلك ستبقى حالة الدوران في حلقة الجرائم الأمريكية والاستعمارية ذاتها، والتردي من سيئ إلى أسوأ.

وختم البيان بالقول: إن قلع نفوذ أمريكا وربيباتها كيان يهود والأنظمة العميلة هو ممكن، وسقوطها كذلك ممكن، بل هو حق ﴿وَتِلْكَ الْقُرَى أَهْلَكْنَاهُمْ لَمَّا ظَلَمُوا وَجَعَلْنَا لِمَهْلِكِهِم مَّوْعِداً، وأكثر من ذلك هو أنه واجب وفرض على المسلمين، عندما فرض الله عليهم أن يكونوا أحرارا لا عبيدا، إلا لله سبحانه، الذي تكفل بنصرهم إن هم نصروه ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُم﴾ فالعاقبة كلها بيد الله وحده، ﴿وَاللهُ غَالِبٌ عَلَى أَمْرِهِ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ﴾.

===

الوحشية والسقوط الأخلاقي ليهود والغرب

لن يحول دون هزيمتهم

إن حالة الهستيريا والوحشية التي أصابت كيان يهود بعد أن مرغ ثلة من المجاهدين أنفه في التراب، جعلته يتوهم أنه بقتل الأطفال والنساء والشيوخ وإذلال المدنيين العزل قد يعيد له شيئا من هيبته. وإن استغلال هذا الكيان للصمت الدولي ودعم الغرب الكافر اللامحدود له وتواطؤ حكام العرب والمسلمين الأنذال معه جعله يظن بأنه سينجو من عاقبة أفعاله. فما يمر به أهل فلسطين من خذلان حكام العرب والمسلمين لهم، جعلت هذا الكيان ومعه دول الكفر تتجبر بنا، ولكنها حالة طارئة ستنتهي قريبا بإذن الله، وستبقى هذه المشاهد محفورة في أذهان أهل فلسطين بل وفي أذهان المسلمين جميعا، وشاهدة على وحشية يهود وأمريكا والغرب. وقريبا بعون الله سيعود للأمة سلطانها، وستسقط عروش الحكام العملاء، وستفتك حينها الأمة بهذا الكيان فتكا، وستجعله هو ومن تواطأ معه عبرة للقرون القادمة. ﴿فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ لِيَسُوءُوا وُجُوهَكُمْ وَلِيَدْخُلُوا الْمَسْجِدَ كَمَا دَخَلُوهُ أَوَّلَ مَرَّةٍ وَلِيُتَبِّرُوا مَا عَلَوْا تَتْبِيراً﴾.

===

أمير قطر يصافح رئيس كيان يهود ويداه تقطران من دماء أهل غزة!

تداول نشطاء على مواقع التواصل الإلكتروني، صورة لمصافحة بين أمير قطر، الشيخ تميم بن حمد ورئيس كيان يهود، إسحاق هيرتسوغ في دبي، على هامش مؤتمر الأطراف في اتفاقية الأمم المتحدة الإطارية بشأن تغير المناخ "COP28" في دبي بالإمارات. (سي إن إن، بتصرف بسيط)

في تعليق له على هذا الخبر نشره المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير، قال الدكتور مصعب أبو عرقوب عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين: يصافح أمير قطر رئيس كيان يهود الملطخة يداه بدماء المسلمين في غزة وفلسطين، يصافحه ويداه تقطران من دماء الأطفال والنساء والشيوخ في قصف يبث على قناة الجزيرة القطرية يوميا! مصافحة تختزل المواقف التي يكرّسها الأمراء والحكام الخونة الذين انخرطوا فعليا في الحرب إلى جانب كيان يهود بدعمهم وشرعنة وجودهم وإمدادهم بالدعم السياسي والاقتصادي وحصارهم لغزة وتكبيل الأمة عن نصرة أهل غزة وفلسطين.

مصافحة لا تقيم للأمة ولا لدماء المسلمين وزناً ولا ترى في كيان يهود عدواً!! مصافحة توجب تحرك الأمة والقوى الحية فيها فورا لقلع هؤلاء الحكام وإنقاذ إخوتهم المحاصرين في غزة وعموم فلسطين.

وختم الدكتور أبو عرقوب تعليقه بالقول: فالمحرقة في أهل فلسطين مستمرة، وخيانة الحكام مستفحلة ولا تزيد الأمة إلا قتلا وإذلالا، وقد آن لقادة الجند المخلصين أن يخلصوا الأمة من هؤلاء الخونة ويقيموا الخلافة على منهاج النبوة ويهبوا من فورهم لنصرة إخوتهم في غزة وكل الأرض المباركة فيقتلعوا كيان يهود من جذوره فلا يبقوا له رئيسا يصافح أو جيشا يهادن!

===

مرشد الجمهورية الإيرانية يدعم وجود اليهود في فلسطين!

قال المرشد الأعلى للجمهورية الإيرانية في خطابه يوم 2023/11/29: "بعض الأشخاص يقولون إن الكيان الصهيوني لن يرضخ لهذا المشروع، لكن يجب أن تفرض هذه الإرادة عليه. وإذا جرت متابعة هذا المشروع وسوف تجري متابعته، إن شاء الله، وإذا تابعت قوى المقاومة بإرادتها وعزيمتها بجدية فسيتحقق هذا الهدف، وبالتالي فإن شعار إزالة إسرائيل من الوجود سيكون المقصود به إزالة حكم الصهاينة وكيانهم مع التأكيد على إن إزالة حكم وكيان الصهاينة لا يعني القضاء على اليهود في فلسطين أو رميهم في البحر، إنما إعادة حق تقرير المصير والحكم والسلطة للشعب الفلسطيني مسلمين ومسيحيين ويهود" (صفحة الخنادق الإيرانية 2023/11/30)، وأضافت الصفحة قائلة "وسبق أن قدمت وزارة الخارجية الإيرانية نسخة عن المشروع لمنظمة الأمم المتحدة في 2019/11/1".

الراية: يقدم مرشد الجمهورية الإيرانية علي خامنئي مشروعا خيانيا يتعلق بحل القضية الفلسطينية وذلك بإجراء استفتاء في فلسطين باشتراك اليهود على حق تقرير المصير، وهو يعلم أن اليهود في فلسطين هم عبارة عن مغتصبين لأرضها، وليسوا شرعيين وإنما هم دخلاء غرباء يجب طردهم، وليس لهم مكان في فلسطين وهم قتلة ظلمة مجرمون على مدى أكثر من 75 عاما، وهم يمارسون القتل والإجرام بدون توقف في فلسطين ويصادرون أراضيها ومنازلها أو يهدمونها ويمنعون الناس حتى ماء المطر، وهم يهددون المنطقة كلها بما فيها إيران، وقد اعتدوا عليها أكثر من مرة، ومن ثم يأتي مرشدها ويعتبرهم شرعيين في فلسطين مخالفا أحكام الإسلام! ولسنا نحن المسلمين مسؤولين عن تشريدهم من قبل الرومان قبل 2000 عام! وعندما تشرفت فلسطين بالفتح الإسلامي على يد الخليفة الراشدي العادل عمر بن الخطاب رضي الله عنه قبل 1400 سنة لم يكونوا فيها، وقد خط بيده الكريمة فيما يعرف بالعهدة العمرية لا يدخلنها يهود، وذلك بناء على طلب بطريك النصارى في القدس لمعرفته أنهم أهل خيانة وخبث وغدر وإجرام، وقد خانوا الدولة العثمانية وتآمروا عليها بعد أن آوتهم وحمتهم.

===

سكرتير الناتو: يتعين علينا أن نكون مستعدين لتلقي أخبار سيئة في أوكرانيا

قال الأمين العام للناتو ينس ستولتنبرغ في مقابلة مع تلفزيون إي آر دي الألماني يوم 2023/12/4 في جواب على سؤال عما إذا كان يخشى أن يزداد الوضع في أوكرانيا سوءا في المستقبل؟ قال: "علينا أن نكون مستعدين لتلقي أخبار سيئة. وعلينا أن ندعم أوكرانيا في الأوقات الجيدة والسيئة على حد سواء".

الراية: تستغل روسيا انشغال الغرب في عدوانه الوحشي على المسلمين في غزة بواسطة قاعدته في الشرق الأوسط كيان يهود، فتكثف من هجماتها على أوكرانيا لجعلها تقبل بالأمر الذي فرضته من ضم أراضي أوكرانيا إليها. ويظهر أن الغرب لم يستطع أن يحسم حربه مع روسيا رغم مرور عامين إلا قليلا، ويظهر أنها ستمتد أكثر حتى تهلك الطرفين الظالمين، ومن ثم يعود الإسلام بعودة دولته؛ الخلافة الراشدة على منهاج النبوة لينقذ العالم من الظالمين الضالين.

===

طوق النجاة لكيان يهود وخيانة السرّ صارت في العلن!

حول تشغيل جسر بري من ميناء دبي مروراً بالسعودية والأردن إلى ميناء حيفا؛ قال بيان صحفي أصدره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة (فلسطين) الأربعاء 2023/12/06م: ها هي أنظمة الخيانة بدل أن تقطع ممرات البحار واليابسة والأجواء، وتوقف إمدادات النفط وتسخر كل الأوراق لإيقاف سفك الدماء، فإنها ترمي بطوق النجاة لكيان يهود لتأمين تجارتهم، بممر بري وطريق للإمداد يتجاوز الطرق البحرية المهددة، وأضاف البيان: إن هذه الأنظمة كلها ضالعة في الخيانة ومظاهرة كيان يهود على أهل فلسطين، لا فرق بين النظام المصري الذي يحاصر غزة والنظام التركي الذي يمد كيان يهود بالنفط والغذاء، وبين الأنظمة التي تسعى لتأمين كيان يهود بالجسر البري، كالنظام الإماراتي المحارب لله ولدينه وللمؤمنين، مرورا بنظام الفجور في أرض الحرمين وانتهاء بالنظام الأردني، الذي صنعه الإنجليز ليكون توأما وشقيقا لكيان يهود، وحارسا لحدوده الطويلة. وختم البيان مخاطبا المسلمين وأهل القوة في الأمة: لم يعد يخفى عليكم أن هذه الأنظمة مع كيان يهود هم حبال يشد بعضها بعضا، وأن بقاءه من بقائهم، بل أنظمة حكمت على نفسها بالهلاك مع هلاكه، ذلك أن فساده وإجرامه صار محسوبا عليها، كما أن وعد الله آت ومتحقق فيمن تولى اليهود والنصارى كما تفعل الأنظمة الآن، فكونوا أنصار الله، ويد الحق التي تحصد الباطل، وأسقطوا هؤلاء الحكام الخونة، وحرروا أنفسكم لتحرروا مسرى نبيكم، وتنصروا إخوانكم والله معكم ولن يتركم أعمالكم.

===

نازحو الشام بين برد الشتاء وتآمر العملاء!

نشرت معرفات المكتب الإعلامي لحزب التحرير ولاية سوريا، يوم الثلاثاء 2023/12/5م، مقالة بعنوان: "نازحو الشام بين برد الشتاء القارس وتآمر القادة والأنظمة" بقلم الأستاذ إبراهيم معاز، أكد في مستهلها: أن قضية النازحين والمهجرين كانت من أهم القضايا وأعقدها طوال الثورة، وملفاً خطيراً حاول الأعداء استغلاله لتنفيذ مخططاتهم الخبيثة. وأضافت المقالة: أن قدوم الشتاء في ظل أزمة مادية خانقة نتيجة الضرائب والمكوس المفروضة من قبل القادة المتسلطين في المحرر، وسياسة القمع والتنكيل لكل من يقف بوجه الظالمين، من اعتقال وقتل وتعذيب داخل السجون التي باتت أشبه بمسالخ النظام المجرم، إضافة إلى المصير الذي ينتظرنا في هذا الشتاء من النظام المجرم الذي ينتظر الفرصة المناسبة للانقضاض على كل من خرج في هذه الثورة، يطرح السؤال: ما هو سبيل الخلاص؟ وأجابت المقالة في الختام: الخلاص يكون بالمحافظة على ثوابت الثورة، وإيجاد قيادة سياسية تجمع المخلصين من العسكريين تحت قيادة غير مرتبطة إلا بالقيادة السياسية وحاضنتها فتجتمع مقومات النصر لهذه الثورة ونسير نحو دمشق لإسقاط نظام الإجرام وإقامة حكم الإسلام على أنقاضه في ظلال خلافة راشدة على منهاج النبوة.

===

فيتو أمريكي ضد وقف إطلاق النار في غزة

أدانت العديد من الدول والمنظمات الدولية استخدام الولايات المتحدة حق النقض "فيتو" في مجلس الأمن الدولي، ضد مشروع قرار طالب بـ"الوقف الفوري لإطلاق النار لأسباب إنسانية" في قطاع غزة الفلسطيني.

وجاءت الإدانات بعد يوم واحد من استخدام الولايات المتحدة الفيتو، خلال جلسة طارئة للتصويت في مجلس الأمن الدولي على مشروع القرار الذي قدمته الإمارات، وشاركت فيه نحو 100 دولة.

ولم يتمكن مجلس الأمن الدولي من اعتماد مشروع القرار، بسبب استخدام الولايات المتحدة حق النقض، وأيد 13 عضوا من أعضاء المجلس الـ15 المشروع، مع امتناع المملكة المتحدة عن التصويت.

الراية: استخدمت الولايات المتحدة حقها للنقض "فيتو" الذي منحته لنفسها وأربعة آخرين في مجلس الأمن الدولي بموجب ما يسمى بالقانون الدولي ضد مشروع قرار طالب بـ"الوقف الفوري لإطلاق النار لأسباب إنسانية" في قطاع غزة. ويا ليت حكام العرب يتعظون! فلماذا تقدّم القرارات لهيئات تتحكم بها أمريكا ودول الكفر؟! وهل يتذكر هؤلاء كم قالت أمريكا لثوار سوريا بأنه لا يوجد حل عسكري للصراع؟ ولكنها في أوكرانيا ضد روسيا وفي فلسطين ضد المسلمين لا تقول هذا الكلام، فتزن بمكيالين ولا تعير أحداً اهتماماً. وستبقى أمريكا متحكمة بالساحة الدولية حتى ينعم الله على أمم الأرض كافة ببزوغ فجر الخلافة التي تذود عن المسلمين وتنسي أمريكا ودول الغرب وساوس الشياطين.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </