جريدة الراية: متفرقات الراية 06-12-2023
December 05, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية 06-12-2023

Al Raya sahafa

2023-12-06

جريدة الراية: متفرقات الراية

يا جيوش المسلمين! إن طاعتكم لله سبحانه وتعالى مقدّمة على طاعة جميع البشر. والتوبة من الذنب تكون بالاجتهاد في طاعة الله سبحانه وتعالى، وليس هناك طاعة أعظم من الجهاد في سبيل الله، وليس للمجاهد أجر أعظم من أجر الشهادة في سبيل الله. فأطيحوا بأي شخص يقيدكم، والتفوا حول القيادة السياسية التي ستحشد الأمة بأكملها وجيوشها لهزيمة الأعداء وإجبارهم على التقهقر في ظل دولة الخلافة على منهاج النبوة.

===

أهل فلسطين في خطر كبير

يوجب التحرك الفوري لنصرتهم!

واصل كيان يهود استئناف مجازره وعدوانه الوحشي على قطاع غزة بعد انتهاء هدنة دامت أسبوعا، حيث تشن طائرات وزوارق الاحتلال هجوما عنيفا على مناطق قطاع غزة أدى إلى استشهاد المئات من الشهداء والمئات من الإصابات من المدنيين في عشرات من المجازر التي ارتكبها جيش كيان يهود، من خلال قصف متزامن في جميع محافظات قطاع غزة.

ليرتفع عدد ضحايا العدوان منذ بدايته حتى اليوم الأحد إلى 15 ألفاً و523 شهيدا، و41 ألفاً و316 مصاباً، وفق ما أفادت به (وكالة أنباء العالم العربي).

من جانبه نشر المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين، تعليقا صحفيا على ذلك، جاء فيه:

ما هي إلا ساعات حتى تجاوز عدد الشهداء في قطاع غزة 70 شهيداً في مشهد إجرامي دموي لم يفارق أهل غزة منذ ما يقارب الشهرين على مرأى ومسمع من الأنظمة الحاكمة في بلاد العرب والمسلمين، تلك الأنظمة التي تجاوزت مرحلة الصمت إلى التآمر والتعاون مع كيان يهود حتى يحقق أهدافه السياسية والعسكرية في قطاع غزة، تلك الأهداف التي يتحدث عنها بكل وقاحة وصلافة بعد أن فشل في تحقيقها خلال الأسابيع السابقة، فيستأنف من جديد مجازره في حربه التي لم تتوقف بالتزامن مع زيارة رئيسه إسحاق هرتسوغ للإمارات ولقاءه نظيره الإماراتي محمد بن زايد آل نهيان على هامش مؤتمر الأمم المتحدة للمناخ "كوب28"!!

وأضاف التعليق: لقد وصل تبجح يهود مرحلة غير مسبوقة من الاستهانة بدماء المسلمين منتشياً بمواقف الأنظمة المتخاذلة ومواقف الدول الكبرى التي باتت تراعي رغبته في سفك الدماء والدمار ولو كان على حساب مصالحها في المنطقة! فيتحدث وزير الخارجية الأمريكي عن تمديد الهدنة فيجيبه وزير دفاع كيان يهود عن الحرب وإكمالها ويتحدث الرئيس بايدن عن احترام القانون الدولي وحماية المدنيين فيجيبه نتنياهو بأنه سوف يناقش معه العملية العسكرية في الجنوب وتحديد مناطق آمنة للمدنيين فيبدأ هجومه على مستشفى ومدرسة هذا اليوم! ليظهر للجميع عبثية وغباء من يراهن على أمريكا والموقف الدولي في لجم كيان يعتبر نفسه ويعتبره الغرب خط الهجوم الأول لهم في منطقة الشرق الأوسط التي تعتبر قلب الأمة الإسلامية ويراد له أن يستعيد شيئا من هيبته التي كسرت في السابع من أكتوبر فباتت الأهداف المرحلية بين دول الكفر وكيان يهود متفقا عليها، ولكن الاختلاف في كيفية الإخراج وحجم الدماء والدمار! فأي مصيبة حلت على المسلمين في ظل تواطؤ الأنظمة الحاكمة وفي ظل دول كبرى متوحشة لا تعرف قيماً ولا حرمات!

وختم التعليق بالقول: إن أهل قطاع غزة وكل فلسطين في خطر حقيقي رغم صمود المجاهدين العظيم وتضحيات الناس الكبيرة، وهذا الخطر يتعاظم في ظل الصمت والتآمر الدولي والإقليمي مع كيان يهود لتنفيذ أهدافه الإجرامية، والوقت يضيق على مدن ومخيمات تقصف ليل نهار بأشد أنواع المتفجرات والأسلحة، وهذا يوجب إجراءً سريعا وفوريا ينقذ الموقف وينتصر لأهل فلسطين، وهذا بات محصورا بموقف واعٍ من الأمة الإسلامية وجيوشها لإسقاط الأنظمة العميلة والتمرد على الحدود الوطنية وإعلان الجهاد والتحرك لتحرير فلسطين واقتلاع كيان يهود من جذوره.

===

يوم عمل نسائيّ عالميّ من أجل فلسطين

نداء لتحريك الجيوش

أمام تواصل المجازر التي يرتكبها كيان يهود، أطلق القسم النّسائي في المكتب الإعلاميّ المركزيّ لحزب التّحرير، بالتّنسيق مع نساء حزب التّحرير في العالم، حملة عالميّة مكثّفة بعنوان "يوم عمل نسائيّ عالميّ من أجل فلسطين"، في 26 تشرين الثّاني/نوفمبر، للمطالبة بتحريك جيوش بلاد المسلمين بشكل عاجل لإنقاذ نساء وأطفال غزّة وتحرير أرض فلسطين المباركة من هذا الاحتلال الغاصب، وقد نظّمته نساء حزب التّحرير في دول مختلفة من القارّات الخمس (فلسطين وتركيا وإندونيسيا وتونس ولبنان وماليزيا وكينيا وأمريكا وأستراليا والدنمارك وهولندا وبلجيكا وبريطانيا)، وتضمّن فعاليّات متنوّعة (احتجاجات، وقفات، ندوات، حلقات نقاش...)، كما ألقت المحاضِرات كلماتٍ لئن تنوّعت زوايا عرضها للموضوع فإنّها كانت واحدة في هدفها من هذا العرض؛ فكانت كلمات مؤثّرة محفّزة تحرّك ما سكن وتحيي في النّفوس آمالا ستشفي جروحاً وتمحو آلاماً وأحزانا. فعلى ضوء ما يعانيه أهلنا في غزّة من إبادة جماعيّة في ظلّ أنظمة أولئك الحكّام العملاء الذين يسهرون على تأمين مصالح الغرب والتّطبيع مع كيان يهود توجّه القسم النّسائيّ في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التّحرير إلى أبناء الأمّة المخلصين حتّى يضمّوا أصواتهم إلى صوته لمناداة الجيوش وتحريضها على خوض معركتها التي فيها خلاص غزّة والأمّة الإسلاميّة عموما، وطالب جيوش الأمّة بهبّة عاجلة لتحرير أراضي بيت المقدس المباركة، طالبها بأن يخرج من بينها صلاح الدّين حتّى يخطّ من جديد مجداً ونصراً يعزّ به الإسلام والمسلمون.

===

هرتسوغ في الإمارات يناشد صديقه ابن زايد للإفراج عن الرهائن!

نقلت صفحة الحرة الأمريكية بيانا للمكتب الإعلامي لرئيس كيان يهود إسحاق هرتسوغ يوم 2023/11/30 ورد فيه: "ناشد الرئيس صديقه الشيخ محمد بن زايد آل نهيان استخدام كامل ثقله السياسي في دعم وتعجيل عودة الرهائن إلى بيوتهم". علما أن رئيس كيان يهود موجود حاليا في الإمارات لحضور قمة المناخ للأمم المتحدة "كوب 28" التي تستمر من 2023/11/30 إلى 2023/12/12. وذكرت وكالة أنباء الإمارات أن الرئيسين محمد بن زايد وإسحاق هرتسوغ "بحثا العلاقات بين بلديهما والقضايا ذات الاهتمام المشترك".

الراية: لقد تمادى حكام الإمارات في وقاحتهم حتى إنهم أدانوا هجوم المجاهدين على العدو المغتصب لفلسطين وتمادوا في تعزيز علاقتهم مع العدو، وقد نسوا الله فأنساهم أنفسهم حتى يأتيهم العذاب من حيث لا يشعرون.

===

كوريا الشمالية تهدد بتدمير أقمار أمريكا الاصطناعية

عرب 48، 2023/12/2 - لوعيها بأنه لا شيء أهم من تهديد مصالح أمريكا لتأمين مصالحها فقد هددت كوريا الشمالية بـ"تدمير" أقمار التجسس الأمريكية إذا حاولت واشنطن شن "أي هجوم" يستهدف قمرها الاصطناعي الموجود في المدار منذ عشرة أيام.

وقال متحدث باسم وزارة الدفاع الكورية الشمالية إن الوزارة ستعتبر مثل هذه الخطوة بمثابة "إعلان حرب"، بحسب بيان نقلته وكالة الأنباء المركزية الكورية الشمالية.

وجاء البيان بعد تصريح لمسؤولة أمريكية قالت إن واشنطن "يمكن أن تحرم الخصم من القدرات الفضائية والفضائية المضادة... باستخدام مجموعة متنوعة من الوسائل... التي لا رجعة فيها"، في إشارة إلى إطلاق كوريا الشمالية قمراً اصطناعياً للتجسس بنجاح في أواخر تشرين الثاني/نوفمبر.

الراية: وبهذا يتبين بأن كوريا الشمالية قد تمكنت فعلاً من بناء قدرات نووية معتبرة وبناء أسلحة صاروخية تستطيع الوصول للأراضي الأمريكية، وها هي تقوم ببناء قدرات فضائية للتجسس، وكل ذلك غصباً عن أمريكا. فأي دولة تريد ولوج نادي الدول المعتبرة تستطيع ذلك بعزيمة وإصرار وعبر التهديد وليس تأمين مصالح الدول الكبرى!

===

أمريكا تؤسس للترتيبات السياسية في غزة لما بعد الحرب

الجزيرة نت، 2023/12/2 - سعى وزير الخارجية الأمريكي أنتوني بلينكن إلى بدء مباحثات مع دول عربية حول مستقبل قطاع غزة، بالتزامن مع انتهاء الهدنة واستئناف كيان يهود حربه على قطاع غزة.

وقال بلينكن للصحفيين قبل أن يستقل طائرة العودة إلى واشنطن إن المباحثات مع وزراء خارجية عرب شملت الوضع الحالي للحرب، والعمل الجاري لتوصيل مزيد من المساعدات الإنسانية إلى القطاع الفلسطيني. وأضاف أنهم تحدثوا أيضا عن "ما سيحدث في اليوم التالي في غزة، والكيفية التي يمكننا بها سلوك مسار السلام الدائم والآمن لـ(الإسرائيليين) والفلسطينيين، بل لجميع من في المنطقة في واقع الأمر".

وقال مسؤول كبير بوزارة الخارجية قبل الاجتماع إن دولا عربية عارضت في السابق محاولات الولايات المتحدة لبحث مستقبل غزة بعد حماس، وطالبت بوقف فوري لإطلاق النار بدلا من ذلك، لكن مسؤولين أمريكيين يأملون أن تكون الهدنة قد مهدت الطريق للمحادثات.

الراية: تصر أمريكا منذ اليوم الأول للحرب على إعادة طرح تصورها لحل القضية الفلسطينية والمتمثل بحل الدولتين، لذلك عارضت أمريكا خطط كيان يهود لتهجير الفلسطينيين من قطاع غزة، وعارضت خططهم لتقليص مساحة قطاع غزة بذرائع المنطقة الأمنية العازلة، وكانت دائماً ما تربط بين الضفة الغربية وقطاع غزة في إشارة إلى أنها تريد حلاً شاملاً أو على الأقل عدم قتل التصور الأمريكي للحل، الأمر الذي كانت تقوم به الحكومة الأكثر يمينية في تاريخ كيان يهود عبر قوانين البناء الاستيطاني والهيمنة على الأراضي واعتبار أن التصرف بالأراضي بين البحر والنهر هو حق حصري للشعب اليهودي.

===

رئيس الشؤون الدينية التركي يأمر المساجد بالدعاء فقط من أجل غزة!

ذكرت وكالة الأناضول بتاريخ 2023/11/30 بأن رئيس الشؤون الدينية التركي علي أرباش أعلن "التضرع غدا عقب صلاة الجمعة بالدعاء إلى الله من أجل الشعب الفلسطيني في كافة مساجد البلاد". جاء ذلك في منشور على حسابه الخاص بمنصة "إكس"، الخميس. وقال أرباش: "إننا في رئاسة الشؤون الدينية، سنتضرع إلى الله عز وجل بالدعاء من أجل الشعب الفلسطيني المظلوم غدا بعد صلاة الجمعة في جميع مساجدنا. سائلين المولى عز وجل أن يتقبل منا دعاءنا".

الراية: إن رئيس الشؤون الدينية التركي لا يدعو الدولة ورئيسها لإعلان الجهاد وإرسال الجيوش! ففلسطين لا تستأهل في نظره إلا الدعاء وبعض المساعدات وبعض الاحتجاجات، فهو بذلك يصرف أنظار الناس عن الوجهة الصحيحة ويوجههم إلى وجهة أخرى للدعاء فقط، فهو ضال مضل عن علمٍ كرئيسه أردوغان. أما أذربيجان فأرسل إليها أردوغان الجيش ومدها بطائرات بلا طيار، وكذلك أرسل جيشه إلى سوريا وليبيا، ومن قبل أرسل جيشه إلى أفغانستان للقتال مع الناتو، وأرسل طائرات بلا طيار لأوكرانيا.

===

الصّين تصف الولايات المتحدة بأنها "معطلة السلام"

وصفت الصين الولايات المتحدة بأنها "أكبر مُعطل للسلام" في بحر الصين الجنوبي بعد أن أبحرت سفينة حربية أمريكية بالقرب من جزر تسيطر عليها الصين في المياه المتنازع عليها. وقال الأسطول السابع للبحرية الأمريكية يوم السبت إن المدمرة الصاروخية يو إس إس هوبر أبحرت بالقرب من جزر باراسيل، المعروفة باسم جزر شيشا في الصين، في عملية تعرف باسم عملية حريّة الملاحة. وكانت أمريكا قد بدأت بإجراء عمليات حريّة الملاحة بشكل منتظم لتحدّي مطالبات الصين في بحر الصين الجنوبي في عام 2015. وتطالب تايوان وفيتنام أيضاً بالمنطقة التي أجرت فيها السفينة يو إس إس هوبر عملية حريّة الملاحة وفقاً لصحيفة ساوث تشاينا مورنينج بوست، وقال الجيش الصيني إنه "حذّر" السفينة الحربية الأمريكية بعد دخولها المياه الإقليمية لجزر شيشا، والتي تمتدّ على بعد 12 ميلاً بحرياً من الساحل. وقالت قيادة المسرح الجنوبي لجيش التحرير الشعبي الصيني في بيان: "إن الانتهاك الخطير لسيادة الصين وأمنها من قبل الولايات المتحدة هو دليل دامغ آخر على أنها تسعى إلى "الهيمنة الملاحية" وخلق "عسكرة بحر الصين الجنوبي". وتعمل الولايات المتحدة وحلفاؤها على زيادة نشاطهم العسكري في بحر الصين الجنوبي ومناطق أخرى بالقرب من الصين كجزء من الحشد العسكري الذي تقوده الولايات المتحدة في المنطقة.

===

حقيقة مدى حب المسلمين لدينهم

وثقتهم بأنه هو المخلص لهم

وجد تقرير صادر في نيسان/أبريل 2007 عن جامعة ماريلاند بعنوان "الرأي العام الإسلامي حول السياسة الأمريكية"، وجد دعماً قوياً لإقامة دولة إسلامية واحدة والابتعاد عن القيم الغربية. يشير التقرير إلى أن "معظم المجيبين يعربون عن دعمهم القوي لتوسيع دَور الإسلام في بلادهم... تدعم الغالبية العظمى في معظم الدول أهداف طلب تطبيق صارم للشريعة، وترك القيم الغربية، وحتى توحيد جميع البلاد الإسلامية في دولة واحدة؛ الدولة الإسلامية".

وكشف مقال في مجلة إندبندنت، نُشر في عام 2015، أن البلدان التي حظي فيها الإسلام بالاحترام في القانون كان لها أكبر دعم لقانون الشريعة ليصبح القانون الرسمي للبلاد.

وفي استطلاع للرأي أجراه مركز بيو العالمي عام 2013 حيث أجرى مقابلات مع المسلمين في 39 دولة، وجد هذا الاستطلاع أن الأغلبية الساحقة في العديد من البلاد الإسلامية أيدت حقيقةَ أن الشريعة يجب أن تكون القانون الرسمي مع التركيز على ما إذا كان المسلمون يريدون قانون الشريعة ليكون القانون الرسمي والوحيد في بلدهم. وكانت النتائج كالآتي:

99٪ من المسلمين الذين تمت مقابلتهم في أفغانستان قالوا نعم. 82٪ في بنغلادش. 86٪ في ماليزيا. 72٪ في إندونيسيا. 86٪ في النيجر. 82٪ في جيبوتي. 71٪ في نيجيريا. في العراق كانوا 91٪. في باكستان كانوا 84٪. الأردن 71%، مصر 74%، تونس 56%، والمغرب 83%، وبلغت النسبة 89٪ في المناطق الفلسطينية، ومثلها الجزائر وسوريا، حتى في روسيا بلغت النسبة 42% من المسلمين هناك يطالبون بتطبيق الشريعة الإسلامية.

الراية: هذه أرقام تكشف حقيقة مدى حب المسلمين لدينهم وثقتهم بأنه هو المخلص لهم من كل هذه الشرور التي وقعوا فيها.

إن حب المسلمين هذا لإسلامهم ورغبتهم في تطبيق أحكامه تحتم عليهم العمل لإقامة دولته؛ الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، ففيها صلاح أمرنا ورفعة شأننا وعزتنا وكرامتنا.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </