جريدة الراية: متفرقات الراية 03-01-2024
January 02, 2024

جريدة الراية: متفرقات الراية 03-01-2024

Al Raya sahafa

2024-01-03

جريدة الراية: متفرقات الراية

أما آن لكم أيها المسلمون أن تدركوا أن حقن دمائكم لا يكون إلا بوجود قيادة مؤمنة مخلصة لله ورسوله، فكم من دمائكم ستسفك حتى تدركوا هذه الحقيقة؟! كم من الخوف والجوع ستعانون حتى تدركوا هذه الحقيقة؟! كم مليوناً من المسلمين سيقتل في ظل هذه الأنظمة العميلة حتى تدركوا أن دحر عدوكم لا يكون إلا بقيادة مخلصة مؤمنة؟! متى ستدركون أن الأثمان الباهظة التي تدفعونها من دمائكم وأطفالكم ونسائكم، وأموالكم وبيوتكم وأرضكم، لن تدفعوها إن توجهتم إلى القصور الرئاسية وخلعتم زمر الخيانة وبايعتم قيادة مخلصة لله ورسوله؟!

===

السلطة الفلسطينية تعود

لتلعب دورها الخياني

قال رئيس السلطة الفلسطينية محمود عباس، الثلاثاء، إنه وجه الدعوة إلى مختلف الفصائل الفلسطينية لاستئناف المصالحة الوطنية وتعزيز المحادثات التي استضافتها مدينة العلمين بمصر في تموز/يوليو الماضي، مشيراً إلى أنه لا يمكن ضم أي طرف يرفض الاعتراف بالشرعية الدولية لمنظمة التحرير الفلسطينية التي تعتبر الممثل الشرعي الوحيد للشعب الفلسطيني. وأوضح عباس في لقاء مع قناة ON المصرية، أنه خلال محادثات العلمين، وبحضور نحو 11 فصيلاً فلسطينياً، بما في ذلك "حماس"، طرح أبرز مطالبه خلال الجلسة، والتي تنص على 4 محاور، وهي التوافق على أن منظمة التحرير هي الممثل الوحيد للشعب الفلسطيني، وثانياً ضرورة تطبيق الشرعية الدولية بالكامل، وثالثاً الالتزام بالمقاومة الشعبية السلمية، ورابعاً إقامة الدولة الفلسطينية المستقلة، مشيراً إلى أن المؤتمر لم يجمع على ذلك.

تعقيبا على هذه التصريحات أفاد تعليق صحفي نشره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين، على صفحاته، بأنه ما من شك أن السلطة الفلسطينية كما وباقي حكام العرب والمسلمين ساءتهم البطولات والمواقف المشرفة التي أبداها المجاهدون في غزة في مواجهة الاحتلال الغاشم ومن معه من دول الاستعمار والطغيان، وما عجزت عنه يهود وأمريكا بالحرب والقوة والدماء تريد أن تنجزه السلطة بالمؤامرات والخيانات والمسرحيات الوطنية. فها هو عباس يعود إلى أصنامه التي كفر بها أهل فلسطين والعالم أجمع، ويدعو الحركات ومنها حركة حماس إلى الحذو حذوه والسير معه في ضلاله وخيانته!

فيريد أن يعيد منظمة التحرير التي صنعها الاستعمار لتصفية قضية فلسطين، يريد أن يعيدها إلى الواجهة بعد أن اهترأت وباتت مأوى للعجزة والفاسدين، بضخ الدماء الجديدة فيها، واستعمال الرصيد الشعبي للحركات لإحياء ما مات في أذهان الناس والشرفاء من فترة طويلة. فهو يعلم أن السبيل لإضفاء الشرعية على السلطة والمنظمة المهترئتين والفاسدتين إنما يكون بضم الدماء الجديدة والأيادي التي لم تتلطخ بأوساخ السلطة والمنظمة، فتبث فيها الحياة لتكمل مشوار التصفية والخيانة الذي بدأت منذ عقود.

وأضاف المكتب الإعلامي: أن عباس لم يكتف بذلك، بل عاد لأصنامه القديمة، الشرعية الدولية، وهرطقاته البالية، المقاومة السلمية (زراعة الليمون والتفاح) ليشهد على دوره الخياني في تصفية القضية، فالشرعية الدولية هي تلك الشرعية التي وفرت كامل الغطاء ليهود لارتكاب المجازر والوحشية بحق غزة، وهي التي عجزت عن إيصال شربة ماء إلى أطفال غزة، وهي نفسها التي لم تدن الاحتلال ولو بشق كلمة، في حين إنها أضفت الشرعية الكاملة للاحتلال على أكثر من ثلاثة أرباع فلسطين، وهذا ما يريده عباس؛ أن يبصم وتبصم معه باقي الفصائل على حق يهود في الأرض المباركة مقابل دويلة هزيلة يجلس على كرسيها عباس وأمثاله... والمحصلة التي يريد أن يصل إليها عباس من كل مبادراته المخزية هو الوصول إلى الدولة الفلسطينية الموعودة على أقل من ربع مساحة فلسطين، بلا جيش ولا حدود ولا سيطرة على الأرض ولا ما تحت الأرض ولا ما فوقها، مقابل عيش بسلام ووئام بجوار كيان يهود المجرم الذي يسيطر على كامل فلسطين ويدنس الأرض المباركة.

وختم التعليق بالقول: حقا إن مصيبة الأمة هي في حكامها، وما أصاب الأمة من مصيبة أو هزيمة إلا ويقف خلفها أمثال عباس وعبد الله والسيسي وأردوغان وباقي الحكام وأشباه الحكام، وما يعجز عنه العدو في الميدان يحاول أخذه من خلال هؤلاء على طبق من ذهب في الفنادق والمنتجعات... فالحذر الحذر من مكر هؤلاء وخططهم ومشاريعهم التصفوية، ولتتمسك الأمة وأبطالها ومجاهدوها بحبل الله المتين فهو الناصر والمعين، ونعم المولى ونعم النصير.

===

قرار مجلس الأمن الهزيل بشأن غزة

يؤكد على تداعي قوى الاستعمار على المسلمين

اعتمد مجلس الأمن، يوم الجمعة، مشروع القرار العربي الذي قدمته الإمارات العربية المتحدة باسم المجموعة العربية بغالبية 13 صوتا إيجابيا و"امتناع" روسيا والولايات المتحدة، والذي نص على توسيع دخول المساعدات إلى قطاع غزة، دون أن ينص على مطالبة بوقف إطلاق النار بشكل كامل ودائم، بسبب الفيتو الأمريكي.

الراية: من جديد تبرهن أمريكا ودول الكفر معها على حقدهم على المسلمين وكل ما يمت لهم بصلة، إذ يصطفون بكل صلف ووقاحة مع كيان يهود الذي يمارس الوحشية والإجرام والإبادة بحق العزل والأطفال والنساء وقطاع كامل من المدنيين المستضعفين في غزة هاشم، غير آبهين بشعاراتهم الكاذبة التي لطالما تشدقوا بها من مثل حقوق الإنسان والمبادئ الإنسانية الجوفاء، ومؤكدين بذلك للمرة ما بعد الألف بأن المجتمع الدولي ومؤسساته ما هي إلا أدوات للمستعمر الكافر لتسهيل استعماره وتسخيره لصالح منافعهم وخططهم في استعباد العالم ومص دماء الشعوب، ولا علاقة لهم من قريب أو بعيد بنصرة المستضعفين أو تحقيق العدل، وآخر همهم البحث عن الأمن والاستقرار الدوليين.

===

شهيد من حزب التحرير في السجون الصينية

بحسب ما أفاد بيان صحفي أصدره المكتب الإعلامي لحزب التحرير في أوزبيكستان يوم الأحد 2023/12/24م، فإن جريمة أخرى جديدة أضيفت إلى قائمة الجرائم التي ترتكبها الحكومة الصينية التي تشن حربا شرسة على الإسلام والمسلمين. فقد أعلن النظام الصيني وفاة سيد جهان محمدخانوفيتش نوديروف من أنديجان، وهو عضو في حزب التحرير، في 28 تشرين الثاني/نوفمبر 2023. وكان سيد جهان، الذي استشهد في سجن بكين، من حملة الدعوة الناشطين بين إخواننا الأويغور في تركستان الشرقية لإعلاء كلمة الله. وتم سجنه على يد الحكومة الصينية في صيف عام 2000. لكن الحكم تمت قراءته بعد 19 عاماً، وحُرم سيد جهان من الحرية لمدة 20 عاماً، ولم تؤخذ في الاعتبار السنوات الطويلة التي قضاها في السجن. ولا تزال زوجته الأويغورية محبوسة هناك في معسكر اعتقال، مكان القمع والتعذيب! ويقول أقاربه إن سيد جهان ظل في قسم العلاج بسجن بكين في أيامه الأخيرة.

وقال البيان الصحفي بأنه من المعلوم أن الصين التي لا تختلف عن يهود في عدائها للإسلام والمسلمين، وتمارس أبشع أعمال القمع والمجازر بحق المسلمين في تركستان الشرقية؛ فهي تبقي ملايين المسلمين في معسكرات الاعتقال "مدارس غسيل الأدمغة"، وتقوم باستخدام أساليب التعذيب الرهيبة ضدهم. وأضاف البيان: إن الصين اليوم لا تجرؤ على مهاجمة أهل الإسلام إلا لأنه ليس للمسلمين خليفة يكون درعا واقيا. وحكومة ميرزياييف في أوزبيكستان، على سبيل المثال، لا تحمي أبناء هذه الأمة، بل على العكس فهي لا تختلف عن الحكومة الصينية في ممارسة الجرائم ضد المسلمين. ولهذا السبب يواصل النظام الصيني ارتكاب جرائم بشعة ضد المسلمين بلا أي حرج. وختم البيان بالتوجه إلى الله سبحانه وتعالى أن يجعل أخانا سيد جهان مع إخواننا الشهداء الآخرين في الجنة مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا، سائلا الله سبحانه الصبر والعافية لأهله وأقربائه. وإن الخلافة الراشدة، العائدة قريباً بإذن الله، ستنتقم بالتأكيد لإخواننا المظلومين والشهداء مثل سيد جهان، من الحكومة الصينية وغيرها من الكفار المستعمرين.

===

تواصل الحراك الثوري المطالب بإطلاق المعتقلين

وخلع القادة العملاء، واستعادة قرار الثورة

أفادت إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا في نشرة أخبار يوم الجمعة 2023/12/29م بأن الحراك الثوري بدأ أسبوعه التالي اليوم بجمعة عنوانها: "هذا أوان زوال الظالمين واستخلاف المتقين فهبوا لنصرة الدين"، وسط حذف وإغلاق صفحات للحراك الثوري بسبب عنوان الجمعة، والسؤال: إذا كان هاشتاغ يؤلم المجتمع الدولي، فكيف إذا تحركت جيوش الخلافة في القريب العاجل؟! وتواصلت، أمس الخميس، المظاهرات والفعاليات الشعبية المستمرة للشهر الثامن على التوالي، ضمن الحراك الثوري اليومي في ريفي حلب وإدلب. وطالب المتظاهرون بإطلاق المعتقلين، وخلع القادة العملاء، واستعادة قرار الثورة، وفتح الجبهات، ونصرة غزة عبر تحريك الجيوش وأهل القوة، وشددوا على سلمية الحراك والثبات عليه، حتى تحقيق كافة المطالب. في السياق ذاته، نشر مجلس شورى تجمع العوائل في بلدة دير حسان بريف إدلب الشمالي، رسالة وجهها عضو المجلس والناشط عبد الكريم الضلع لخطباء المساجد ومشايخ المحرر طالبهم فيها بالصدع بكلمة الحق والأمر بالمعروف والنهي عن المنكر في وجه قادات الفصائل المرتبطين بالنظام التركي وحكوماتهم الوظيفية...

===

النظام الأردني يحارب الأشباح ويتهرب من محاربة الأعداء

أعلن مصدر في القيادة العامة للقوات المسلحة الأردنية يوم 2023/12/18 أن قوات حرس الحدود اشتبكت مع مجموعات مسلحة كانت تسعى لتهريب أسلحة ومخدرات على الحدود مع سوريا فجر هذا اليوم، وأنه جرى طرد المجموعات المسلحة إلى الداخل السوري، في حين وقعت إصابات بين أفراد قوات حرس الحدود الأردنية تتراوح بين خفيفة ومتوسطة.. وأن الأيام الماضية شهدت ارتفاعا في تلك العمليات وتحولها من محاولات تسلل وتهريب إلى اشتباكات مسلحة بهدف اجتياز الحدود بالقوة من خلال استهداف قوات حرس الحدود. وادّعت أنها ألقت القبض على 9 مهربين، وأنه تم ضبط صاروخ من نوع روكيت لانشر، وصاروخ آر بي جي و10 ألغام ضد الأفراد وبندقية قنص نوع جي3 وبندقية من نوع ام16، وتدمير سيارة محملة بالمواد المتفجرة وكميات كبيرة من المواد المخدرة.

الراية: يظهر أن النظام الأردني يريد أن يصرف أنظار الناس عن خيانته وتعاونه مع كيان يهود وعدم تحريكه الجيش لنصرة أهل فلسطين الذين يتعرضون لعدوان وحشي في الضفة والقطاع، والناس يلعنون النظام ليلا ونهارا ويتمنون زواله كزوال كيان يهود ويعتبرونه حارسا له كما أقامته بريطانيا بالفعل، فيذيع أخبارا كهذه. ومن المحتمل أن تكون مختلقة أو مصطنعة، ليبين انشغاله على الحدود السورية مع مهربي مخدرات وأسلحة، ولا يقدر أن ينصر أهل فلسطين. وقد ادّعى وزير خارجية النظام أيمن الصفدي في الصيف الماضي أن جيش الأردن لا يقدر على مجابهة جيش كيان يهود ليتهرب من المسؤولية، ولكن مجاهدي غزة أثبتوا أن كيان يهود أضعف بكثير مما يصوره للناس حكامُ الأردن وغيرهم من المتخاذلين والمتعاونين.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </