جريدة الراية: متفرقات الراية 01-11-2023
October 31, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية 01-11-2023

Al Raya sahafa

2023-11-01

جريدة الراية: متفرقات الراية

يا جيوش المسلمين: إن الخيرية في طاعة الله ورسوله وحفظ دينه ودولته، ولا تكون في طاعة حكام يرعون مصالح الغرب ويطبقون نظامه ويشاركونه قتل المسلمين ونهب ثرواتهم، فلا خيرية في جند فرعون، إنما الخيرية في جند محمد ﷺ. نستصرخكم بالله: أيضيع أهل الإسلام وفيكم عرق ينبض؟! أتنتهك حرمات الأمة ولكم نفس تتنفسونه على وجه الأرض؟! إن الأمة كلها تستغيث بكم، أغيثوا أقصانا وطهروا مسرى نبينا وانتصروا لأهلنا المستضعفين في الأرض المباركة، فوالله لا خير فيكم إن لم تفعلوا، ووالله ليستبدلنكم إن لم تفعلوا، فاختاروا لأنفسكم في أي صف ستصطفون؛ في صف الغرب وعملائه الحكام، أم في صف الأمة فتحققوا طموحها وتنتصروا لها ولقضاياها وحينها تكونون حقا خير أجناد؟

===

ألأوكرانيا بيرقدار

ولغزة الهلاك والدمار؟!

أكد الرئيس التركي على "استمرار العمل لعقد مؤتمر سلام فلسطيني (إسرائيلي) بحضور جميع الدول الفاعلة في المنطقة"، مبينا أن "تركيا اقترحت أن تكون دولة ضامنة ونحن جاهزون لأن نكون ضامنا للطرف الفلسطيني" وفق قوله.

الراية: يدرك أردوغان الطريق الحقيقي والفاعل لحل قضية الأرض المباركة، ولا يغيب عنه أن الحل لكل محتل غاصب هو التحرك العسكري الفاعل لردعه، وهذا ما صرح به نفسه وقام به فعليا في حرب روسيا على أوكرانيا عندما أمرته أمريكا بذلك!

فلماذا طالبت يا أردوغان بوحدة الأراضي الأوكرانية وضرورة استعادة كل شبر احتلته روسيا بما في ذلك القرم... ولم تطالب باستعادة الأرض المباركة كاملة بما فيها حيفا ويافا والقدس؟!

لماذا يا أردوغان تقول بأنك لن تعترف بأي ضم روسي لذرة من تراب أوكرانيا وتعترف بأحقية كيان يهود على أرض الإسراء والمعراج، وتدعو لاقتسامها مع كيان يهود ضمن حل الدولتين الأمريكي الذي يعطي جل الأرض المباركة ليهود مقابل كيان أمني يحرسها يسمى زورا دولة؟!

أتذكر يا أردوغان عندما أغلقت مضيق البوسفور في وجه السفن الروسية... أيكون ذلك لأوكرانيا بينما لفلسطين تدعو لمظاهرات ورفع أعلام؟!

هل نسيت يا أردوغان قولك "إن أوكرانيا تركت وحيدة في قضيتها العادلة والغرب لم يتحرك حين احتلت روسيا القرم"؟!

واليوم ألم تترك أنت وغيرك من الحكام الخونة غـزة وحيدة أمام هذه الإبادة؟! ألم تترك أمانة السلطان عبد الحميد وحيدة وكيان يهود يدنس الأقصى ويستبيح دماء المسلمين ليل نهار؟!

ألم ترسل طائرات بيرقدار لتحارب في أوكرانيا حتى صار الأوكرانيون يتغنون بها؟!

لماذا تكتفي بخصوص فلسطين بالدعوة لمظاهرات وجيش تركيا المغوار وطائرات بيرقدار يرون ويسمعون كيف تستباح سماء غزة وفلسطين بطائرات كيان يهود وأمريكا وطياريها الجبناء لتنشر الدمار والموت في كل بيت في غزة ولا تحرك أنت ساكنا؟! أم لأوكرانيا بيرقدار ولغزة الهلاك والدمار؟!

آن للأمة الإسلامية أن تدرك أن منظومة الحكام الخونة لا تتحرك إلا لمصالح أمريكا والغرب وأنهم منشغلون بإلقاء طوق النجاة لكيان يهود المترنح، وبات لزاما على الأمة التبرؤ من هؤلاء الحكام العملاء للغرب والعمل على اقتلاعهم من جذورهم... وعلى أهل القوة وقادة الجند وكل القوى الحية في الأمة أن تتحرك من فورها لنجدة أهل فلسطين ودخول المعركة فورا لتحرير الأرض المباركة (فلسطين) وتدوس في طريقها كل الخونة والعملاء وتسعى لتوحيد الأمة في دولة الخلافة على منهاج النبوة.

===

وقفة أمام السفارة التركية في واشنطن

لاستنصار جيوش المسلمين لتحرير الأقصى

أمام البطولات التي سطرها المجاهدون الأبطال في الأرض المباركة (فلسطين) تحت شعار (طوفان الأقصى) ضد كيان يهود الغاصب الذي يواصل اعتداءاته على المسجد الأقصى المبارك، وحصاره وقصفه المستمر منذ 17 سنة على قطاع غزة، وأمام المجازر الوحشية التي ارتكبها هذا الكيان المجرم خلال الأسابيع المنصرمة بحق المسلمين العزل في قطاع غزة والتي أدت إلى استشهاد وإصابة أكثر من 20 ألف مسلم ومسلمة، نظم حزب التحرير/ أمريكا وقفة جماهيرية أمام السفارة التركية في مدينة واشنطن العاصمة، طالبت النظام التركي بتحريك جيشه الجرار لنصرة المسلمين في الأرض المباركة (فلسطين) ولتحرير المسجد الأقصى المبارك وكل فلسطين المحتلة من نهرها إلى بحرها من براثن يهود القتلة المحتلين.

===

لن تلزمنا التعزيةُ

لو دَفعت جيوشُ المسلمين العدوَّ عنا

في 24 من تشرين الأول/أكتوبر 2023م، قدم قائد سادس أكبر جيش في العالم؛ الجيش الباكستاني، تعازيه للسفير الفلسطيني، في الوقت الذي يتعين فيه على القيادة العسكرية الاستغناء عن ضرورة التعزية من الأصل باستئصال كيان يهود.

وتعقيبا على ذلك أثار حزب التحرير في ولاية باكستان في نشرة أصدرها بتاريخ 10 ربيع الآخر 1445هـ الموافق 25 تشرين الأول/أكتوبر 2023م، أثار التساؤلات التالية:

ألا تستطيع باكستان توجيه صواريخ باليستية نحو "تل أبيب" لتوفير غطاء للقوات البرية؟! ألا يمكنها إرسال قوات خاصة إلى مصر للدخول إلى غزة عبر معبر رفح؟! لماذا لا يرسل الجيش قواته الخاصة إلى الأردن لدخول الضفة الغربية عبر جسر الكرامة؟!

ولماذا لا ترسل المخابرات الباكستانية ضباطها إلى سوريا لإرشاد المجاهدين؟! ألا تقدر البحرية الباكستانية على إنشاء خطوط إمداد عبر مرفأ بيروت في لبنان؟! ألا تستطيع القوات الجوية الباكستانية استخدام قاعدة إنجرليك الجوية في تركيا لتحييد القوات الجوية للعدو؟!

واختتم الحزب النشرة بالتوجه إلى ضباط وجنود القوات المسلحة الباكستانية: إلى أبناء صلاح الدين! إذا كانت قيادتكم الحالية لا تستطيع أن تقودكم في المعركة، فقوموا بتنصيب قيادة قادرة على ذلك! أقيموا الخلافة على منهاج النبوة واستنفروا.

﴿وَإِنِ اسْتَنْصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ

===

حزب التحرير/ ولاية السودان يسيّر مسيرتين نصرةً لغزة

أفاد الناطق الرسمي لحزب التحرير في ولاية السودان الأستاذ إبراهيم عثمان أبو خليل في خبر صحفي أصدره يوم السبت 13 من ربيع الآخر 1445هـ الموافق 28 تشرين الأول/أكتوبر 2023م، أفاد بأن حزب التحرير/ ولاية السودان قام يوم الجمعة 2023/10/27م، في مدينة القضارف، بتنظيم مسيرتين نصرةً لغزة؛ حيث انطلقت المسيرة الأولى عقب صلاة الجمعة من أمام مسجد عبد القادر عبد المحسن، والمسيرة الثانية من أمام مسجد إبراهيم موسى.

والتقى الجمعان أمام ميدان التحرير في مدينة القضارف، حيث خاطب الجمعَ الشيخ أبو علم محمد الحسن أحمد - عضو مجلس حزب التحرير في ولاية السودان، الذي قال في كلمته، إن أهل غزة قد فتحوا للمسلمين باب الجهاد لتحرير المسجد الأقصى، فتكالب عليهم الكفار، أما المسلمون فقد أعاقتهم الوطنية عن الدخول في طاعة الله سبحانه وتعالى. وإنه لا بد من إسقاط العروش لتحريك الجيوش. كما تحدث إمام مسجد عبد القادر عبد المحسن الشيخ داوود محمد علي.

ثم تحدث رئيس اتحاد الحفظة (سابقا) الشيخ محمد أحمد المنصوري. وتتالت الكلمات، فكان مسك ختامها كلمة الأستاذ المحامي حاتم جعفر - عضو مجلس حزب التحرير في ولاية السودان، الذي قال في كلمته، إن أية دعوة لا تستهدف تحريك الجيوش، وإزالة العوائق التي تمنع تحركها، إنما هي دعوة خائن منافق، وإن أهل القضارف قد خرجوا اليوم يريدون بهذه المسيرة الاستجابة لأمر الله، أمراً بالمعروف ونهياً عن المنكر، ولعلها تكون لهم براءة من الإثم يوم الحشر العظيم.

وقد تخلل المسيرة وكلمات المتحدثين هتافات مدوّية، من حناجر مؤمنة صادقة، مثل: "أمة واحدة وراية واحدة ودولة واحدة"، "واحد واحد واحد الدم المسلم واحد"، "قائدنا للأبد سيدنا محمد"، "يا جيوش المسلمين نصرة غزة نصرة دين"، "فشلت فشلت كل الدول والخلافة هي الحل"، "لا إله إلا الله الخلافة وعد الله"، "بالروح بالدم نفديك يا غزة".

===

حزب التّحرير في ولاية لبنان

ينظّم ثلاثة أعمال جماهيرية حاشدة نصرةً لغزة

نظّم حزب التّحرير في ولاية لبنان يوم الجمعة 2023/10/27م ثلاثة أعمال جماهيرية حاشدة في كلّ من طرابلس الشّام وصيدا والبقاع، تحت عنوان "نصرة لغزة واستنصاراً لجيوش الأمة، ومطالبة بكسر الحدود وإعلان الجهاد".

ففي طرابلس كانت صلاة جمعة جامعة واعتصام حاشد نصرةً لغزة، واستنصاراً لجيوش الأمّة، ومطالبةً بإعلان الجهاد لتحرير فلسطين، وذلك في ساحة النّور...

وأَمّ الحشود وخطب فيهم عضو حزب التحرير الأستاذ أحمد القصص، الذي وضح في خطبته أن التعاطف مع أهل غزة لا يكون بوصفهم شعباً شقيقاً، بل الواجب أن ينصروا بوصفهم جزءاً من الأمة، فقضية فلسطين هي قضية أمة لا قضية شعب فلسطيني، وأهل الشام كله هم مثل غزة من أكناف بيت المقدس.

ثم شدد النكير على قادة الجيوش والضباط الذين لا يحركون ساكناً لنصرة غزة والأقصى والمستضعفين من الرجال والنساء والولدان الذين لا يجدون نصيراً.

وبعد الصلاة مباشرةً كان الاعتصام، الذي كانت الكلمة الرئيسة فيه لرئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية لبنان الشيخ الدكتور محمد إبراهيم، وقد تمحورت حول ضرورة وعي الأمة الإسلامية على فكرة مهمة وهي أن الجيوش في العالم الإسلامي هي جيوشنا، وقد سلب الغرب وعملاؤه الحكام قيادتها منا، وحولوا عملها لحماية عروشهم، ويجب أن نستردها، ونجعل ولاءها لله تعالى ورسوله ﷺ والمؤمنين، فهم أهل القتال وعليهم مسؤولية الجهاد وكنس الطغاة.

وقد هتف المعتصمون لغزة الجريحة مطالبين جيوش المسلمين بإسقاط العروش وكسر الحدود وإعلان الجهاد في سبيل الله لتحرير فلسطين، وإعادتها لديار الإسلام والمسلمين.

وقد عرضت في الاعتصام كلمة مسجلة مؤثرة لأخت مسلمة تنادي فيها جيوش الأمة وتحثهم على الاستجابة لله تعالى ورسوله ﷺ، واستغاثات الثكالى وصراخ الأطفال.

وختم الاعتصام بدعاء مؤثر للشيخ أحمد الشمالي دعا فيه لأهل غزة وفلسطين، وللأمة بالنصر والاستخلاف والتمكين.

وفي مدينة صيدا في جنوب لبنان، كانت وقفة أمام مسجد الزعتري بعد صلاة الجمعة، نصرة لأهلنا في غزة واستنصاراً لجيوش الأمة ومطالبة بكسر الحدود وإعلان الجهاد...

وتخلل الوقفة هتافات وكلمة ألقاها الأستاذ قاسم يونس عضو حزب التحرير، تصف محنة أهل غزة العظيمة في وجه آلة القتل، والتي تستدعي العمل على خلع الحكام المتآمرين وتحريك الجيوش الرابضة، ونوه بانهيار صورة كيان يهود مع عملية طوفان الأقصى، ودعا الجيوش إلى طوفان يزيل كيان يهود ويخلع العروش ويعقد بيعة لخليفة يقود جيوشها للتحرير.

أما في منطقة سعد نايل في البقاع، فكانت وقفة أمام مسجد الإمام علي رضي الله عنه ثم مسيرة جابت المنطقة... وألقى فيها الشيخ الدكتور مصطفى عبد العليم إمام مسجد سعد نايل كلمة وصف فيها الأمة بأنها أمة وسط وهي خير الأمم، وأنها أمة معطاءة ودعا إلى وحدتها ونصرة أهل فلسطين. ثم ألقى الدكتور محمد عبد الله عضو لجنة الاتصالات المركزية لحزب التحرير في ولاية لبنان كلمة وصف فيها واقع أهل غزة، وأنهم بحاجة إلى السلاح الفعال، وأن هذا السلاح هو بيد الجيوش، وذكر بأن واجب الأمة وكذلك العلماء بأن يحثوا الجيوش على التدخل وإنقاذ غزة وتحرير فلسطين وخلع الحكام العملاء... ثم انطلقت مسيرة جابت بلدة سعد نايل وقد شارك فيها أهالي المنطقه بكثافة.

وقد رفعت في كل هذه الأعمال راية رسول الله ولواؤه ﷺ اللذان يمثلان حقيقة وحدة الأمة تحت راية "لا إله إلا الله محمد رسول الله" وبعيداً عن رايات سايكس وبيكو التي شرذمت الأمة ورسمت بينها حدوداً وهميةً مصطنعة هي التي تعيق اليوم نصرة المسلمين لإخوانهم في فلسطين وغزة.

===

حزب التحرير في بريطانيا ينظم مظاهرتين

أمام السفارتين المصرية والتركية في لندن

نظم حزب التحرير في بريطانيا مظاهرة أمام السفارتين المصرية والتركية في لندن يوم السبت 21 تشرين الأول/أكتوبر 2023م، تحت شعار: "يا جيوش المسلمين! أنقذوا شعب فلسطين".

حيث دعا المتظاهرون، الجيش المصري المجاور إلى تجاهل إملاءات أمريكا وعميلها السيسي؛ وأن يتحركوا نحو الحدود وإنقاذ إخوانهم وأخواتهم من أهل فلسطين من إرهاب النظام الصهيوني المستبد.

ودعوا الجيش التركي إلى تصحيح إهمال الخائن أردوغان؛ ودعم إخوانهم في الجيش المصري في إنقاذ إخوانهم وأخواتهم الفلسطينيين، وعدم السماح بقتل طفل بريء آخر على يد المحتلين والمستوطنين مرة أخرى.

كما دعت المظاهرتان الشعوب المنصفة في العالم إلى المطالبة بانسحاب جميع القوات العسكرية الغربية من المنطقة، وإلغاء كل الدعم المالي لكيان يهود، بما في ذلك دعم حكام المسلمين المحيطين به الذين هم أكبر المدافعين عنه.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </