جريدة الراية: جواب سؤال  قمة الناتو في ليتوانيا ودلالاتها
July 25, 2023

جريدة الراية: جواب سؤال قمة الناتو في ليتوانيا ودلالاتها

Al Raya sahafa

2023-07-26

جريدة الراية:

جواب سؤال

قمة الناتو في ليتوانيا ودلالاتها

السؤال:

عقدت دول حلف شمال الأطلسي (الناتو) قمتها في ليتوانيا إحدى جمهوريات البلطيق الواقعة على حدود روسيا يومي 11 و2023/7/12. فماذا تمخض عن هذه القمة؟ ولماذا رفض طلب أوكرانيا الانضمام إلى الناتو؟ وإلى أين تؤول أحداث الحرب في أوكرانيا؟

الجواب:

لكي يتضح الجواب على التساؤلات أعلاه نستعرض الأمور التالية:

1-   ورد في البيان الختامي للناتو نحو 90 بندا منها ما يتعلق بحرب أوكرانيا وروسيا ومنها ما يتعلق بغيرها من القضايا فكان بيانا شاملا لكل القضايا الدولية التي تهم هيمنة أمريكا ونفوذها في العالم خاصة والغرب عامة على العالم. فهناك بنود تتعلق بروسيا والحرب في أوكرانيا وبالصين ومنطقتي المحيط الهندي والهادئ ودوله والعلاقة مع الاتحاد الأوروبي والشرق الأوسط وإيران والعراق والأردن وأفريقيا. ففيه يظهر التعالي الغربي وسيطرته العالمية وإثبات قيادته للعالم، ويظهر فيه التهديد الغربي للغير ومحاولة فرض الهيمنة عليه. وقام يخطط للمستقبل لضمان الهيمنة الغربية بقيادة أمريكا، بل الهيمنة الأمريكية باسم حلف الناتو. وتكاد أمريكا أن تطير فرحا لتحقيقها إنجازا كبيرا للناتو، بل فرض هيمنتها على دوله ومنه دول الاتحاد الأوروبي، وعملت على تعزيزه بتوسيعها لبقعته ليشمل فنلندا والسويد بعد موافقة تركيا أردوغان على عضويتهما. وتوجيه ضربة قاسية لمحاولات أوروبية بقيادة فرنسية للتخلص من الهيمنة الأمريكية وبناء قوة أوروبية مستقلة تعزز من قوة الاتحاد الأوروبي الذي بات ضعيفا خانعا لأمريكا. وذلك بعد وصف الرئيس الفرنسي ماكرون في تشرين الثاني 2019 للناتو بأنه ميت سريريا، وطالب أوروبا بأن توجد لها قوة خاصة بها، فأثار ذلك حفيظة أمريكا ما جعلها تصر على تقوية الناتو فجاءت حرب أوكرانيا فكانت فرصة ذهبية لها، لتحول دون خروج أوروبا من تحت عباءة أمريكا وهيمنتها وغطرستها.

2-   بالنسبة لأوكرانيا؛ فقد رفضت أمريكا ضمها حاليا إلى الحلف، قال الرئيس الأمريكي بايدن في ختام القمة: "إن قادة حلف الناتو اتفقوا على أن تكون أوكرانيا عضوا بعد الحرب" (بي بي سي 2023/7/12) وقالت المتحدثة باسم الخارجية الأمريكية إليزابيث ستكني "إن عضوية أوكرانيا في الناتو غير ممكنة في الوقت الحالي، غير مطروحة خلال الحرب، وإن أولوية واشنطن في قمة الناتو تشمل استمرار تقديم الدعم لأوكرانيا" (سكاي نيوز، الجزيرة 2023/7/11) وجاء في البيان الختامي الذي وافق عليه قادة الناتو "إن مستقبل أوكرانيا في الناتو.. إن اندماج كييف الأوروبي الأطلسي تجاوز الحاجة إلى خطة عمل العضوية" وقال البيان "سنكون في وضع يسمح لنا بتوجيه دعوة لأوكرانيا للانضمام إلى الحلف عندما يوافق الأعضاء وتُستوفى الشروط" (الجزيرة 2023/7/11).. وإن قادة الناتو لم يصلوا إلى تقديم دعوة لكييف أو إعلان جدول زمني لانضمامها الذي تسعى إليه إلا أنهم ألغوا مطلبا بالوفاء بما تسمى خطة عمل العضوية ما يزيل فعليا عقبة كانت في طريق أوكرانيا للانضمام إليه. أي ما إن تنتهي الحرب فإن أوكرانيا ستضم إلى الناتو، وربما تتغير الظروف وتضطر دول الناتو إلى ضم أوكرانيا، بل يتغير موقف أمريكا صاحبة القرار فيه وتعلن ضمها. وهكذا تكون روسيا قد خابت في كل حساباتها بالنسبة لإعلان حربها على أوكرانيا.

3-   والموقف الأمريكي قد أغضب الرئيس الأوكراني زيلينسكي فكتب على تويتر غاضبا وهو متوجه نحو المؤتمر عندما علم بمضمون البيان الختامي قائلا "إنه سخيف، غير مسبوق وغير معقول عدم تحديد إطار زمني لعضوية أوكرانيا في الناتو. إن عدم الوضوح هو ضعف وإن عدم تحديد إطار زمني متفق عليه يعني أن عضوية بلاده يمكن أن تصبح ورقة مساومة في النهاية". حيث تعد البيانات الختامية ابتداء من قبل صاحب القرار ومن ثم تناقش في القمم والمؤتمرات، فيجري تعديل ما يلزم أو تقر كما هي. وكان أعضاء الوفد الأمريكي غاضبين من فورة زيلينسكي فحثوه على التهدئة وتقبل المساعدة الأمنية التي قد وُعد بها. فسكت وغيّر الرئيس الأوكراني زيلينسكي تصريحاته قائلاً: "الناتو سيمنح أوكرانيا الأمن، وأوكرانيا ستجعل الحلف أقوى" (بي بي سي 2023/7/12). علما أن الناتو أعلن عام 2008 عن التزامه العمل على ضم أوكرانيا في المستقبل. وقال الأمين العام للناتو ينس ستولتنبرغ "إن عدم تحديد حلفاء الناتو جدولا زمنيا لانضمام أوكرانيا أزعج الرئيس الأوكراني زيلينسكي". ولكنه "شدد على استمرار دعم الناتو لأوكرانيا" وأعلن عن "اتفاق أعضاء الحلف على خطة دفاعية شاملة لمواجهة روسيا ومساندة كييف عسكريا" (الجزيرة 2023/7/11) فأمريكا رفضت ضم أوكرانيا حالياً، لأنها لا تريد أن تتورط بحرب مباشرة فترسل جنودها ليقاتلوا هناك، حيث تنص المادة الخامسة من وثيقة واشنطن للناتو عند تأسيسه يوم 1949/4/4 أن أي اعتداء على أي عضو في الناتو هو اعتداء على جميع الأعضاء. فتريد أمريكا أن ترسل العتاد والأسلحة ليُقتل بها الروس والأوكرانيون حتى تهزم روسيا، ومن ثم تلحق أوكرانيا بالناتو وتدخل قوات أمريكا إلى هناك، وتقيم قواعدها العسكرية على مسافة غير بعيدة من العاصمة الروسية موسكو.

4-   شدد البيان كما نشرته كثير من وسائل الإعلام وبعضها نشر تفاصيله وبنوده، على أن "الحلفاء سيواصلون معا بشكل وثيق للتصدي للتهديدات والتحديات التي تشكلها روسيا، وأن روسيا تمثل أكبر تهديد لأمن الحلفاء بالناتو وللسلام في المنطقة الأوروبية الأطلسية". فورد في البند 34 من البيان "استجابة لبيئة أمنية متغيرة جذريا فإننا نعزز الدفاع الجماعي للحلف ضد جميع التهديدات ومن جميع الاتجاهات. فمنذ عام 2014 (عندما قامت روسيا وضمت القرم وعززت وجودها في شرق أوكرانيا) وخاصة في قمة مدريد 2022 اتخذنا قرارات لتعزيز موقفنا وتحديد مسار واضح للتكيف العسكري المتسارع. اليوم اتفقنا على تدابير مهمة لزيادة تعزيز موقف الردع والدفاع لحلف الناتو في جميع المجالات بما في ذلك تعزيز الدفاعات الأمامية وقدرة الحلف على التعزيز السريع لأي حليف يتعرض للتهديد. سننفذ هذه الإجراءات بالكامل ونحرم أي خصم محتمل من أي فرص محتملة للعدوان.." في قمة الناتو بمدريد في حزيران 2022 صدرت وثيقة المفهموم الاستراتيجي الجديد للناتو واعتبرت فيها روسيا التهديد الأكبر والمباشر لأمن الحلفاء بينما لم تعتبر الصين كذلك ولكنها اعتبرت أنها تشكل تحديا لمصالح الحلف وقيمه. وحمّل البيان "روسيا مسؤولية كل ما يجري في أوكرانيا وتهديد الأمن والسلام في أوروبا، بل في أماكن أخرى من العالم"، وأشار إلى أن "روسيا زادت من حشدها في مجالات متعددة ووجودها في منطقة بحر البلطيق والبحر الأسود والبحر الأبيض وتحتفظ بقدرات عسكرية كبيرة في القطب الشمالي واتهمتها بالقيام بأنشطة استفزازية بالقرب من حدود الناتو وإجراء مناورات واسعة دون الإخطار بها، وتأجيج التوترات في الجوار الجنوبي لحلف الناتو لا سيما منطقة الشرق الأوسط وشمال أفريقيا والساحل. ومع ذلك قال البيان "إن الحلف لا يسعى لمواجهة روسيا"، "وإن الحلف لا يشكل تهديدا لها لكن سياساتها وأفعالها العدائية لا تجعلها شريكا لنا" (الجزيرة 2023/7/11) وذلك في محاولة لإرباك روسيا وجعلها تتوهم أن الغرب ربما يشفق عليها ويتفاهم معها. فيجعلها مترددة بين الأمل في التفاهم والخروج من مأزق أوكرانيا على شكل يحفظ ماء وجهها بعدما تورطت ولم تحقق أهدافها وأصبح من الصعب تحقيقها، وبين الاستيئاس من هذا التفاهم والتخبط في هذا المستنقع إلى زمن أطول غير مضمونة نتائجه. فمع هذه الحالة الغامضة، ومع طول أمد الحرب حيث يسعى الغرب على رأسه أمريكا لإطالتها حتى يتمكن من تحقيق أهدافه. ويظهر أن دول الغرب كلها الآن ومعها اليابان، تبنت وجهة النظر الأمريكية وهي هزيمة روسيا وتغيير الأوضاع فيها وخاصة قيادتها السياسية.

وعلى هامش المؤتمر أصدر قادة مجموعة السبع بيانا عبروا فيه عن "الدعم لأوكرانيا في دفاعها عن نفسها ضد العدوان الروسي مهما طال أمده" (بي بي سي 2023/7/12)

5-   أشادوا بقدراتهم النووية وأعلنوا أنهم سيعملون على تطويرها كما ورد في البند 44 فقالوا: "إن قوة الحلف النووية الاستراتيجية ولا سيما الأمريكية ضمان للأمن وردع العدوان. وسيتخذ الحلف جميع الخطوات اللازمة لضمان مصداقية الردع النووي وفعاليته. وسيشمل الاستمرار في تحديث القدرة النووية للحلف لزيادة المرونة والقدرة على التكيف مع التطورات الدولية". وأطلقوا تهديدات مبطنة لروسيا في حالة استعمالها السلاح النووي في الحرب مع أوكرانيا، فقالوا "إن أي استخدام للأسلحة النووية ضد الحلف من شأنه تغيير طبيعة النزاع (بأوكرانيا) بشكل جذري". وقد أكدت دول الناتو في اجتماعها الأخير في البند 28 أنها "ستنفق 2% كحد أدنى من الناتج المحلي الإجمالي السنوي على الإنفاق العسكري بهدف الحفاظ على التفوق التكنولوجي والاستمرار في تحديث وإصلاح قوات الناتو. ويعني ذلك سباق تسلح جديد" وستعمل على "تحديث الناتو لعصر جديد من الدفاع الجماعي وأن الأعضاء متحدون في التزاماتهم وعزمهم على الانتصار ضد أي معتد والدفاع عن كل أراضي الحلفاء عبر دول الحلف على الأرض وفي الجو والبحر" كما ورد في بنود البيان، فالغرب على رأسه أمريكا يعمل على تطوير قدراته النووية ويهدد باستخدامها وعلى تطوير قدراته العسكرية في كافة المجالات بينما يحارب أي دولة تعمل على امتلاك قدرات نووية أو تطويرها أو تطوير قدراتها العسكرية ذاتيا. ولقد أدانوا الأنشطة النووية لإيران ولكوريا الشمالية وتجارب الأخيرة لتطوير قدراتها الصاروخية. كما ورد في البيان في البنود 56 و57 و84.

6-   أما بخصوص الصين فأشاروا إليها في البنود 6 و23 و24 و25 و55، إذ أدانوا "طموحات الصين وسياساتها القسرية المعلنة بتحدي مصالحهم وأمنهم وقيمهم". واعتبروا "الصين غامضة بشأن استراتيجيتها ونواياها وحشدها العسكري"، حيث يرون أن "العمليات الهجينة والسيبرانية الخبيثة للصين وخطاب المواجهة والمعلومات المضللة تستهدف الحلفاء وتضر بأمن الناتو". "وإنها تستخدم نفوذها الاقتصادي لخلق التبعيات الاستراتيجية وتعزيز نفوذها وتسعى جاهدة لتقويض النظام الدولي القائم على القواعد، بما في ذلك المجالات الفضائية والإلكترونية والبحرية. كما تسعى إلى التحكم في القطاعات التكنولوجية والصناعية الرئيسية والبنية التحتية الحيوية والمواد الاستراتيجية وسلاسل التوريد". ودعوا الصين إلى "لعب دور بناء بصفتها عضوا دائما في مجلس الأمن التابع للأمم المتحدة وإدانة الحرب الروسية ضد أوكرانيا والامتناع عن دعم المجهود الحربي الروسي بأي شكل من الأشكال، والكف عن تضخيم الرواية الكاذبة الروسية التي تلقي اللوم على أوكرانيا والناتو بشأن الحرب ضد أوكرانيا" وفي الوقت نفسه أكدوا "التزامهم بالانفتاح على المشاركة البناءة مع الصين، بما في ذلك الشفافية المتبادلة بهدف حماية المصالح الاستراتيجية". فلم يعلنوا الصين أنها تشكل تهديدا للغرب والناتو، وإن أدانوا طموحاتها التي تهدد مصالحهم وهيمنتهم العالمية، أي هيمنة الغرب على العالم بقيادة أمريكا، واعتبروا استراتيجيتها ونواياها العسكرية غامضة. وقد أشرنا إلى هذا الموضوع في جواب سؤال بعنوان "زيارة بلينكن إلى الصين" بتاريخ 2023/7/3 فقلنا: "لكن من الأهداف المهمة لهذه الزيارة التي لم تتحقق هو أن أمريكا كانت تريد فتح قناة اتصال بين العسكريين الصينيين والأمريكان، وذلك لأغراض أشبه بالتجسس! وكأن الصين أدركت ذلك فرفضت هذه القنوات رفضاً قاطعاً". وقد ركزوا على الشركات الإقليمية كما ورد في المادة 85 حيث أشاروا إلى "التهديدات الصينية في منطقة المحيطين الهندي والهادئ". واعتبروا "التطورات هناك تؤثر بشكل مباشر على الأمن الأوروبي والأطلسي" ورحبوا "بمشاركة الشركاء اليابان واستراليا ونيوزلاندا وكوريا الجنوبية وتعزيز الحوار التعاون معها". فتعمل أمريكا على ممارسة كافة الضغوطات على الصين، وأصبحت تستخدم الناتو لزيادة هذه الضغوطات..

7-   تطرق البيان إلى هيمنة الغرب على الشرق الأوسط وأفريقيا كما جاء في البند 82 والبند 83 حيث ورد فيه القول "إن الشرق الأوسط وأفريقيا منطقتان ذات أهمية استراتيجية وسنعمل على تعميق مشاركتنا السياسية وتواصلنا في الدبلوماسية العالمية، مع شركائنا القدامى في الحوار المتوسطي ومبادرة إسطنبول للتعاون كما سنزيد من تواصلنا مع المنظمات الإقليمية ذات الصلة بما في ذلك الاتحاد الأفريقي ومجلس التعاون الخليجي وإن الحلف ينفذ حُزم بناء القدرات للعراق والأردن وموريتانيا وتونس وأنه سيتم التواصل مع السلطات الأردنية لاستكشاف إمكانية إنشاء مكتب ارتباط للناتو في عمان". وركز على "دعم العراق وتحقيق الاستقرار فيه، ومحاربة تنظيم الدولة، وبناء على طلب من الحكومة العراقية فإننا ندرس توسيع مهمة الناتو في العراق لتقديم المشورة إلى وزارة الداخلية العراقية بشأن الشرطة الاتحادية". أي يعتبر الناتو هذه المنطقة هي منطقة نفوذ غربية بحتة، تعمل فيها أمريكا على تعزيز نفوذها فيها، وتعمل أمريكا على إيهام الناتو أنها تعمل لصالحه في هاتين المنطقتين التي تشهد تنافسا بين دوله على النفوذ وخاصة بين أمريكا وبريطانيا وفرنسا.

8-   إن فكرة التكتلات هي من أخطر الأفكار على العالم، كما ذكرنا في كتابنا "مفاهيم سياسية لحزب التحرير"، وقد تسببت بالحروب العالمية قديما وكذلك العدوان على أفغانستان والعراق وليبيا. ولقد انتهى حلف وارسو الذي كان منافسا للناتو ويشكل خطرا على الغرب، فوجب حلّ الناتو، ولكن أمريكا حرصت على استمراره لإبقاء هيمنتها على الدول الغربية وخاصة الاتحاد الأوروبي وكذلك لاستخدامه ضد دول أخرى. ولهذا فإن هذا الحلف لهو أخطر تكتل على مصير البشرية التي لم تعرف مثله تكتلا في التاريخ بحجمه وقوته، فهو يضم دولا لديها أسلحة دمار شاملة وإمكانيات صناعية وتكنولوجية، تقوده أمريكا أكبر وأخطر دولة استعمارية حيث استعملت السلاح النووي في اليابان، وهي تصر على توسيعه وعلى تقويته لتزيد من التهديد باندلاع الحروب المدمرة في العالم ولتبسط نفوذها في كل مكان وتفرض هيمنتها على كافة دول العالم. فالعمل على تقويته وتوسيعه جريمة في حق الإنسانية، ويسبب الحروب العدوانية المدمرة، إذ تتجرأ دوله على التعدي على الآخرين لأن وراءها دولا عديدة ستسندها، وتصبح الخسائر البشرية والمادية مضاعفة أضعافا كثيرة. ولا يوجد علاج لهذه المشكلة إلا بمحاربة فكرة التكتلات وفكرة وجود الناتو وأنه لا مبرر لوجوده فهو عدواني، وذلك بإيجاد رأي عام عالمي حول ذلك.. ومن هنا صار العالم محتاجا لدولة تنقذه من هذا الوضع ولا يوجد غير دولة الخلافة الإسلامية أهلا للقيام بهذه المهمة التي ستكون خيرا للبشرية ورحمة للعالمين ﴿وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا رَحْمَةً لِّـلْعَالَمِينَ﴾.

في الثلاثين من ذي الحجة 1444هـ

الموافق 2023/7/18م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </