جريدة الراية: جواب سؤال بوركينا فاسو والانقلابات التي تسارعت مؤخرا فيها
February 14, 2023

جريدة الراية: جواب سؤال بوركينا فاسو والانقلابات التي تسارعت مؤخرا فيها

Al Raya sahafa

2023-02-15

جريدة الراية:

جواب سؤال

بوركينا فاسو والانقلابات التي تسارعت مؤخرا فيها

السؤال: نشرت الجزيرة.نت على موقعها في 2023/2/4 أن قائد المجلس العسكري في بوركينا فاسو إبراهيم تراوري أكد (أن بلاده لن تقطع علاقاتها الدبلوماسية مع فرنسا)، فكيف نفهم هذا مع ما صرح به المتحدث باسم الحكم الانتقالي في بوركينا فاسو بتاريخ 2023/1/21: (حكومة بوركينا فاسو قررت إنهاء الاتفاق العسكري مع فرنسا والذي يتيح لقواتها الوجود على أراضي واغادوغو رغبة منها أن تتولى قواتها الدفاع عن نفسها، وطلبت مغادرة القوات الفرنسية خلال شهر)؟ ثم لماذا اتخذ الحكم الانتقالي في بوركينا فاسو هذا القرار؟ علما أن الحكم الانتقالي أُعلن بعد انقلاب على انقلاب. فمن كان يقف وراء هذا الانقلاب؟ وما علاقة كل ذلك بالصراع الدولي؟ ثم هل بوركينا فاسو بلد إسلامي؟ وكم نسبة المسلمين فيه؟

الجواب: سنستعرض واقع بوركينا فاسو والانقلابات التي تسارعت مؤخرا فيها، وأبدأ بكونه بلداً إسلامياً:

1- إن بوركينا فاسو هي دولة في غرب أفريقيا، وهي بلد إسلامي، فحسب إحصاء 2006 أكثر من 60.5% من سكانها مسلمون، ونحو 23% من النصارى، ثم تقاليد أخرى... وقد كانت ضمن ممالك إسلامية تكونت بعد تفتت مملكة مالي، حتى خضعت أخيراً للاستعمار الفرنسي أيام تقدمه في أفريقيا وفق معاهدة سنة (1314هـ-1896م)، وضمت لمستعمرة السنغال العليا، ثم أصبحت مستعمرة منفردة في سنة (1335هـ-1916م)، وعرفت بفولتا العليا. وعندما قام المسلمون في فولتا العليا بمحاولات لنيل استقلالهم (فتتوا) أرضهم فوزعت على ساحل العاج ومالي والنيجر، وفي سنة (1385هـ-1947م)، استعادت فولتا العليا وحدة أرضها في مستعمرة واحدة، ثم نالت استقلالها في سنة (1380هـ-1960م). وفي 4 آب/أغسطس 1984 قام الرئيس توماس سانكارا بتغيير اسم الدولة إلى "بوركينا فاسو" والتي تعني "بلد الناس النزيهين (الطاهرين)"، من اللغتين الرئيسيتين في البلاد: موري (بوركينا، أي الناس النزيهين أو الطاهرين) وديولا (فاسو، أي دار الأب أو البلد).

وتبلغ مساحتها 274,200 كم2، ويبلغ عدد سكانها 21,510,181 نسمة وتعتمد على الزراعة في اقتصادها، وتعتبر مدينة واغادوغو أهم مدن البلاد وهي العاصمة...

2- في أوائل السنة الماضية وقع انقلاب كانت وراءه فرنسا، وأصدرنا حينها جواب سؤال في 2022/1/30 حول الانقلاب الذي وقع في بوركينا فاسو يوم 2022/1/24، وقد بينا أن ذلك الانقلاب ورئيسه دامبيا كانت فرنسا تقف وراءه. فقلنا ("فهذه النشأة "لقائد الانقلاب دامبيا" وفي بلد تهيمن عليه وعلى جيشه بشكل عام فرنسا وتبريراته الواهية للانقلاب، مع ظهور ما يدل على عدم انزعاج فرنسا من الانقلاب، بل ظهور ما يدل على رضاها عنه... كل ذلك يؤكد أنه قام بهذا الانقلاب بدعم من فرنسا"... ولهذا عارضت أمريكا قيامه بهذا الانقلاب"). وقد أدرك الناس هناك فيما بعد أن فرنسا المستعمر القديم والمستمر هي التي تقف وراءه.

3- بعد نحو تسعة أشهر حدث انقلاب على الانقلاب! فقد أعلن عن وقوع انقلاب مساء يوم الجمعة 2022/9/30 في بوركينا فاسو وتضمن الإطاحة برئيس المجلس العسكري قائد الانقلاب السابق بول هنري دامبيا وتعيين قائد الانقلاب الجديد إبراهيم تراوري. وحصلت احتجاجات وهجمات على مؤسسات فرنسا هناك من سفارة وقنصلية ومدارس ومراكز احتجاجا عليها عندما شاعت أخبار بأن دامبيا قد فر إلى قاعدة عسكرية فرنسية. وأعلن قائد الانقلاب الجديد إبراهيم تراوري وهو رئيس وحدة مكافحة المتشددين في منطقة كايا شمال البلاد في بيان تلاه أحد جنوده على شاشة التلفزيون الرسمي للبلاد: "إن مجموعة من الضباط الذين ساعدوا دامبيا في الاستيلاء على السلطة في كانون الثاني (الماضي) قرروا عزل زعيمهم بسبب عجزه عن التصدي لتمرد المتشددين" وهذه الذريعة نفسها هي التي استخدمها الانقلابيون قبل شهور لقلب الرئيس السابق روك كابوري. وقال في البيان: ("إن دامبيا رفض مقترحات الضباط بإعادة تنظيم الجيش، واستمر بدلا من ذلك بالهيكل العسكري الذي أدى إلى سقوط النظام السابق. أقنعتنا تصرفات دامبيا تدريجيا بأن طموحاته كانت تبتعد عما شرعنا فيه من البداية. قررنا اليوم الإطاحة بدامبيا") وأضاف البيان ("ستتم دعوة أصحاب المصلحة الوطنية قريبا لاعتماد ميثاق انتقالي جديد، وتعيين رئيس مدني أو عسكري آخر. تم تعليق الدستور وإلغاء الميثاق الانتقالي وإغلاق الحدود إلى أجل غير مسمى، وتعليق جميع الأنشطة السياسية وأنشطة المجتمع المدني"... الغد 2022/10/2). يدل هذا الكلام على أن العساكر الذين قاموا بالانقلاب غير راضين عن توجهات قائد الانقلاب السابق بول هنري دامبيا السياسية، وأن لديهم توجهاً سياسياً آخر، وهذا يعني أن قائد الانقلاب السابق دامبيا يتبع سياسة مغايرة لقائد الانقلابيين الجدد...

4- ويؤكد ذلك أنه عندما وقع الانقلاب الأخير حصلت هجمات على المؤسسات الفرنسية، حيث أشار قائد الانقلاب الأخير إبراهيم تراوري أن دامبيا قد لجأ إلى قاعدة عسكرية فرنسية. فبعد هذا القول جاءت الهجمات على المؤسسات الفرنسية وأضرمت النيران ببعضها. وقد أظهرت فرنسا استياءها الشديد على هذه الهجمات. فقالت الأنباء إن محتجين غاضبين أضرموا النيران مساء يوم السبت 2022/10/1 في مباني السفارة والقنصلية الفرنسيتين في واغادوغو عاصمة بوركينا فاسو عقب تردد أنباء عن لجوء دامبيا إلى قاعدة عسكرية فرنسية، علماً بأن السفارة الفرنسية في واغادوغو نفت ذلك.. وكان الناس حول السفارة يهتفون ضد فرنسا مؤيدين لقائد الانقلاب الجديد وقد انتشرت صور اشتعال الحرائق في المباني الفرنسية على مواقع التواصل (الاجتماعي). وقالت المتحدثة باسم الخارجية الفرنسية آن كلير لوجاندر ("ندين بأشد العبارات استهداف سفارتنا في واغادوغو. وإن سلامة رعايانا أولوية لا مجال للتلاعب بها."... فرانس24، 2022/10/1). حيث تتمركز قاعدة عسكرية فرنسية مهمة في العاصمة واغادوغو ويوجد بها مئات الجنود الفرنسيين، أغلبهم من القوات الفرنسية الخاصة تحت ذريعة مكافحة الإرهاب في منطقة الساحل الأفريقي. فهذا الانقلاب استهدف الوجود الفرنسي في البلاد، وكل ما حصل يشير إلى أن الانقلاب حصل ضد فرنسا.

5- يضاف إلى ذلك أن الاتحاد الأوروبي أظهر معارضته للانقلاب متذرعا بالمحافظة على الاتفاق المتعلق بتسليم السلطة فقال مسؤول الخارجية في الاتحاد جوزيب بوريل: ("الاتحاد الأوروبي يأسف أيضا لتدهور الوضع الأمني والإنساني في البلاد"... فرانس24، 2022/10/1) وهو يشير إلى الهجمات التي استهدفت المؤسسات الفرنسية في بوركينا فاسو، فمسؤول الاتحاد الأوروبي يعلن معارضته للانقلاب باسم فرنسا، لأن الاتحاد الأوروبي يهمه مصالح فرنسا في أفريقيا، فنفوذ فرنسا هناك يعتبر جزءا من نفوذ الاتحاد الأوروبي ويعزز قوته اقتصاديا وسياسيا.

6- أما الموقف الأمريكي فيظهر أنه ليس ضد الانقلاب، بل إنه مع الانقلاب ضمنيا ولم يصفه بالانقلاب. فقد "دعت الولايات المتحدة إلى عودة الهدوء وضبط النفس من قبل الأطراف المعنية"... فرانس24، 2022/10/1) وهذه الصيغة تدل على عدم معارضتها للانقلاب، وإيراد الوكالة الفرنسية للموقف الأمريكي بهذا الاقتضاب يدل على امتعاض الفرنسيين من الموقف الأمريكي وإدراكهم أن أمريكا تقف وراء هذا الانقلاب. سيما وأن رئيس المجلس العسكري السابق في بوركينا فاسو عميل لفرنسا، ولم تدن أمريكا الانقلاب الحالي عليه، بينما أدانت انقلابه ضمنيا في بداية العام الجاري، إذ أظهرت عدم رضاها عن الانقلاب وطالبته باحترام الدستور وإرجاع عميلها الرئيس السابق كابوري. فيرجح أن يكون هذا الانقلاب بقيادة إبراهيم تراوري من صنع أمريكا.

7- ولذلك كانت النتيجة أن أعلن المتحدث باسم الحكم الانتقالي في بوركينا فاسو يوم 2023/1/21 عبر التلفزيون الرسمي البوركيني أن "حكومة بوركينا فاسو قررت إنهاء الاتفاق العسكري مع فرنسا والذي يتيح لقواتها الوجود على أراضي واغادوغو رغبة منها أن تتولى قواتها الدفاع عن نفسها، وطلبت مغادرة القوات الفرنسية خلال شهر. فقالت إذاعة آر تي بي الرسمية البوركينية: "أمام فرنسا شهر واحد لسحب قواتها من البلد". وقبل إعلان القرار بأيام قليلة نزل المتظاهرون إلى الشوارع في العاصمة واغادوغو يطالبون بطرد السفير الفرنسي وإغلاق القاعدة العسكرية الفرنسية، وقد وعدهم الرئيس الانتقالي أنه سيحدث شيئا بترتيب العلاقات مع إحدى الدول ولم يسمها. علما أنه منذ انقلاب 30 أيلول الماضي تتكرر احتجاجات على الوجود الفرنسي وتطالب بطرد الفرنسيين وإغلاق قواعدهم من البلاد.

8- وبناء عليه قالت متحدثة باسم الخارجية الفرنسية إنها "تلقت الثلاثاء (2023/1/24) طلبا من المجلس العسكري الحاكم في بوركينا فاسو لسحب قواتها الفرنسية من البلاد. وستلتزم بالموعد النهائي المطلوب وهو شهر. وإن فرنسا ستحترم شروط الاتفاق من خلال تنفيذ هذا الطلب"... صفحة فرانس24 الرسمية، 2023/1/25). وادّعى الرئيس الفرنسي أن هناك غموضا كبيرا ويريد توضيحات. ولهذا صدرت عدة تأكيدات من بوركينا فاسو ورسائل لفرنسا توضح ذلك. وجاء الرد عليه من حكومة بوركينا فاسو باسم المتحدث جان إيمانويل ويدراغو يوم 2023/1/23 بالقول: ("نحن ننهي الاتفاق، لكنها ليست نهاية العلاقة الدبلوماسية بين بوركينا فاسو وفرنسا. إن إنهاء الوجود العسكري الفرنسي طبيعي وقد لحظته شروط الاتفاق، ولا نرى في الوقت الحاضر طريقة أخرى لجعل الطلب أكثر وضوحا". (فرانس برس، العربي الجديد، 2023/1/25).

9- أما كيف يُفهم إعلان قائد الحكم الانتقالي إبراهيم تراوري بأن بلاده لن تقطع علاقاتها الدبلوماسية مع فرنسا رغم إنذاره لها بإنهاء الوجود العسكري الفرنسي، فذلك لأن نفوذ فرنسا امتد عشرات السنين ولفرنسا أعوان في داخل بوركينا فاسو، والحكم الحالي يركز على إبعاد القوة العسكرية الفرنسية والاكتفاء بذلك دون الاستفزاز السياسي بقطع العلاقات الدبلوماسية، وليس مستبعداً أن تدرك فرنسا ذلك وتماطل في الانسحاب العسكري إلا إذا غُلبت على أمرها بمساعدة مادية أمريكية للحكم الحالي..

10- وهكذا تستمر دوامة الانقلابات في بوركينا فاسو وفي غيرها من البلاد الإسلامية، وليس لتغيير الأوضاع نحو الأحسن وإحداث انقلاب حقيقي على المستعمر وطرده وإزالته من جذوره وتطهير البلاد من براثنه كما ينبغي أن يكون، إلا أن الأمر ليس كذلك، وإنما هو تبديل وجوه عملاء لدولة مستعمرة إلى دولة مستعمرة أخرى، فهي نتيجة صراع دولي. فالتغيير الحقيقي ينبني على فكر الأمة وبناء دولة متكاملة على أساسه ودستور منبثق من عقيدتها ومصادره كتاب الله سبحانه وسنة رسوله ﷺ. ﴿وَنَزَّلْنَا عَلَيْكَ الْكِتَابَ تِبْيَاناً لِّكُلِّ شَيْءٍ وَهُدًى وَرَحْمَةً وَبُشْرَى لِلْمُسْلِمِينَ﴾.

وإننا لنسأل الله القوي العزيز أن تعود بلاد المسلمين في دولة واحدة، الخلافة الراشدة، فيعز الإسلام والمسلمون ويذل الكفر والكافرون، وينتشر الإسلام في بقاع الأرض بعز عزيز أو بذل ذليل، وإن هذا لكائن بإذن الله؛ أخرج أحمد في مسنده... عَنْ تَمِيمٍ الدَّارِيِّ قَالَ: سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ ﷺ يقُولُ: «لَيبلُغَنَّ هَذَا الْأَمْرُ مَا بلَغَ اللَّيْلُ وَالنهَارُ وَلَا يَتْرُكُ اللَّهُ بيْتَ مَدَرٍ وَلَا وَبَرٍ إِلَّا أَدْخَلَهُ اللَّهُ هَذَا الدِّينَ بِعِزِّ عَزِيزٍ أَوْ بِذُلِّ ذَلِيلٍ عِزّاً يُعِزُّ اللَّهُ بِهِ الْإِسْلَامَ وَذُلّاً يُذِلُّ اللَّهُ بِهِ الْكُفْرَ».

وأخرجه الحاكم في المستدرك بلفظ... سمعت المقداد بن الأسود الكندي رضي الله عنه، يقول: سمعت رسول الله ﷺ، يقول: «لَا يَبْقَى عَلَى ظَهْرِ الْأَرْضِ مِنْ بَيْتِ مَدَرٍ وَلَا وَبَرٍ إِلَّا أَدْخَلَ اللَّهُ عَلَيْهِمْ كَلِمَةَ الْإِسْلَامِ بِعِزِّ عَزِيزٍ، أَوْ بِذُلِّ ذَلِيلٍ، يُعِزَّهُمُ اللَّهُ فَيَجْعَلُهُمْ مِنْ أَهْلِهَا، أَوْ يُذِلُّهُمْ فَلَا يَدِينُوا لَهَا» وقال الحاكم: هذا حديث صحيح على شرط الشيخين، ولم يخرجاه.

السادس عشر من رجب 1444هـ

2023/2/7م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </