إذا أصر الظالم على ظلمه فاعلم أن نهايته قريبة وإذا أصر المظلوم على مقاومته فاعلم أن نصره قريب
إذا أصر الظالم على ظلمه فاعلم أن نهايته قريبة وإذا أصر المظلوم على مقاومته فاعلم أن نصره قريب

قامت الشرطة اليوم بتنفيذ عمليات اعتقال ضد منظمة حزب التحرير "الإرهابي" بالتزامن في محافظتي ايدن وإزمير، حيث تم في صباح اليوم اعتقال تسعة أشخاص من أعضاء منظمة حزب التحرير "الإرهابي".

0:00 0:00
Speed:
June 28, 2019

إذا أصر الظالم على ظلمه فاعلم أن نهايته قريبة وإذا أصر المظلوم على مقاومته فاعلم أن نصره قريب

إذا أصر الظالم على ظلمه فاعلم أن نهايته قريبة

وإذا أصر المظلوم على مقاومته فاعلم أن نصره قريب

الخبر:

قامت الشرطة اليوم بتنفيذ عمليات اعتقال ضد منظمة حزب التحرير "الإرهابي" بالتزامن في محافظتي ايدن وإزمير، حيث تم في صباح اليوم اعتقال تسعة أشخاص من أعضاء منظمة حزب التحرير "الإرهابي".

ومن خلال العملية التي نفذتها مديرية الشرطة في أيدن تم إلقاء القبض على شخصين في بلدة إفلار، وأربعة أشخاص في بلدة ديديم وشخص في بلدة نازلي، واثنين في إزمير، كما تمت مصادرة بعض الآلات الرقمية أثناء تفتيش بيوت وأماكن عمل وسيارات المشتبه بهم، وتم الإعلان أنه سيتم إرسال المتهمين الذين ألقي القبض عليهم في إزمير إلى أيدن. (جريدة حريات)

التعليق:

لقد رفض حزب التحرير منذ نشأته جميع أعمال العنف، وفي جميع ملفات التحقيق التي أرسلت إلى المحاكم بحق حزب التحرير لا يوجد في أي واحدة منها أي دليل يثبت استخدام الحزب للعنف، ولم تتم معاقبة أي واحد منهم أخذ إلى التحقيق بإثبات استخدامه للعنف والشدة، على الرغم من كل هذا، لماذا ينتهك أعضاء المحكمة الدستورية العليا هذه الحقوق وتوجه عملية اعتقال ضد شباب حزب التحرير؟ ولماذا كانت هذه العملية بعد انتخابات بلدية إسطنبول مباشرة؟ وهل لهذه العملية علاقة بخسارة مرشح اتفاق الجمهورية بن علي يلدريم في انتخابات إسطنبول؟ أم أن هذه الحملة كانت ضد شباب حزب التحرير لأنهم يدافعون عن أحكام الإسلام؟ هل هي حملة ضد الإسلام مباشرة، أم لمنع انهيار الديمقراطية النتنة التي لن يكون لأنها ستنهار وترمى في مزابل التاريخ مثلها مثل كل الأفكار الباطلة؟ أم أنها رسالة من تحالف الجمهورية إلى تحالف أننا نسير في الدرب نفسه وإننا على القارب نفسه؟ أم أن هذه الحملة موجهة من رئاسة حزب العدالة والتنمية في تحالف الجمهورية ضد المسلمين في تركيا؟ أم هي رسالة أنه إذا وصل حزب الشعب الجمهوري إلى السلطة فإن الظلم والاضطهاد لن يكون أقل؟ وهكذا تتزايد الأسئلة حول هذه الحملة ضد شباب حزب التحرير الحاملين مشعل هذه الأمة، ولكن ما أريد الوقوف عليه الآن وسؤاله هو حول هذه الافتراءات وتهمة (الإرهاب) الموجهة ضد الحزب وشبابه:

- من هو الإرهابي، أمريكا ومن يساندها في قتل المسلمين في سوريا منذ سنوات طوال، أم شباب حزب التحرير المسلمين الواقفون ضد الظلم؟

- الظلم الموجه من السلطات الصينية ضد المسلمين في تركستان الشرقية فقط لأنهم قالوا ربنا الله تعرضوا لأقسى أنواع التعذيب الذي لا يمكن للعقل أن يتصوره، وخلال الزيارة التي أجراها مساعد وزير الخارجية التركي سعدات أونال في 16 ايار 2019 صرح بما يلي "نحن نقف إلى جانب جمهورية الصين الشعبية في مواجهتها لـ(الإرهاب والجماعات الإرهابية)، كما نريد توطيد العلاقات المشتركة بين البلدين" من هو الإرهابي؟ هل هو من يدعم وحشية الصين البربرية ويعلن وقوفه إلى جانبها في أعمالها الوحشة، أم شباب حزب التحرير الذين يدعون إلى إقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة التي تنشر الأمن والعدالة والسلام وتقيم أوامر الله ونواهيه في أرضه؟

- من هو الإرهابي؟ هل هو من يقيم علاقات اقتصادية وسياسية مع كيان يهود الغاصب لفلسطين المباركة منذ عشرات السنين وينفذ أبشع الجرائم بحق أهلها، أم حزب التحرير الذي يسعى دائما لتذكير الأمة أن خلاص فلسطين خاصة والأمة الإسلامية عامة لن يكون إلا على يد خليفة مثل عبد الحميد يحرر تراب فلسطين المقدس ويطرد الطغاة منها؟

- من هو الإرهابي؟ هل هي المعتقدات والنظريات الباطلة الغربية التي زرعها الاستعمار الغربي في عقل الأمة الإسلامية من بعد انهيار دولة الخلافة في الثالث من آذار عام ألف وتسعمئة وأربعة وعشرين من ديمقراطية وقومية وجمهورية وعلمانية وغيرها من أفكار خبيثة، أم شباب حزب التحرير الذين يدعون إلى خلاص الأمة الإسلامية بل إلى خلاص الإنسانية عامة ولن يكون هذا الخلاص إلا بإعلاء كلمة الله في أرضه وتنفيذ أوامره ونواهيه؟

وفي النتيجة مهما كانت أسباب هذه الحملة ضد شباب حزب التحرير الذين يدعون إلى خير هذه الأمة وصلاحها بل إلى خير الإنسانية جمعاء، الذين يدعون إلى الإسلام، الذين يأمرون بالمعروف وينهون عن المنكر، خير أمة أخرجت للناس والذين لم يستخدموا في دعوتهم أي نوع من أنواع الشدة والعنف ولا حتى بالكلام، والذين تعرضوا لجميع أنواع العنف من سجن وتهجير وتعذيب ومع ذلك لم يكن قولهم إلا ﴿قُلْ لَنْ يُصِيبَنَا إِلَّا مَا كَتَبَ اللهُ لَنَا هُوَ مَوْلَانَا وَعَلَى اللهِ فَلْيَتَوَكَّلِ الْمُؤْمِنُونَ﴾ [التوبة: ٥١]، هذا هو جوابهم مقابل كل ذلك، الذين لم تخرج من أفواههم أي كلمة ضجر أو سخط تغضب الله عز وجل، وسوف يبقون أمل هذه الأمة في النجاة... وبالنسبة للغرب الظالم ومن يسانده فأريد أن أذكرهم بقول سيدنا علي رضي الله عنه "إذا أصر الظالم على ظلمه فاعلم أن نهايته قريبة وإذا أصر المظلوم على مقاومته فاعلم أن النصر قريب".

﴿وَسَيَعْلَمُ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَيَّ مُنْقَلَبٍ يَنْقَلِبُونَ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

رمضان أبو فرقان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon