إعلان ترامب حول الجولان: المواقف والمخاطر
إعلان ترامب حول الجولان: المواقف والمخاطر

أعلن الرئيس الأمريكي ترامب يوم 2019/3/21 أن "الوقت حان لاعتراف أمريكا بسيادة (إسرائيل) على هضبة الجولان". وفي اليوم التالي نقلت وكالة رويترز عن مسؤول أمريكي كبير قوله: "إن مسؤولين أمريكيين يعدون وثيقة رسمية باعتراف واشنطن بسيادة (إسرائيل) على الجولان. ومن المرجح أن يوقعها ترامب الأسبوع المقبل أثناء زيارة رئيس الوزراء (الإسرائيلي) نتنياهو إلى واشنطن".

0:00 0:00
Speed:
March 27, 2019

إعلان ترامب حول الجولان: المواقف والمخاطر

إعلان ترامب حول الجولان: المواقف والمخاطر

الخبر:

أعلن الرئيس الأمريكي ترامب يوم 2019/3/21 أن "الوقت حان لاعتراف أمريكا بسيادة (إسرائيل) على هضبة الجولان". وفي اليوم التالي نقلت وكالة رويترز عن مسؤول أمريكي كبير قوله: "إن مسؤولين أمريكيين يعدون وثيقة رسمية باعتراف واشنطن بسيادة (إسرائيل) على الجولان. ومن المرجح أن يوقعها ترامب الأسبوع المقبل أثناء زيارة رئيس الوزراء (الإسرائيلي) نتنياهو إلى واشنطن".

التعليق:

لننظر أولا إلى موقف وردة فعل جبهة المقاومة والممانعة! حيث أعلن النظام السوري في بيان لخارجيته قائلا: "الجولان جزء من سوريا، وإن استعادته من الاحتلال (الإسرائيلي) بكل الوسائل التي يكفلها القانون الدولي لا تزال أولوية في السياسة السورية"! ومعنى ذلك أنه لا توجد لدى النظام مجرد نية للقيام بعمل عسكري لتحرير الجولان، وإنما الالتزام بالقانون الدولي الذي ركز كيان يهود وشرعنه وحماه ورعاه. وقد احتلها كيان يهود عام 1967، بل سلمها حافظ أسد والد طاغية الشام الحالي بشار أسد، حيث أعلن سقوط القنيطرة ببيان رقم 66 ولم يأتها أي جندي يهودي بعد، وذلك حتى ينسحب الجنود السوريون الذين تقدموا نحو فلسطين لتحريرها من براثن يهود، فأعلن سقوط الجولان من خلفهم في خيانة مكشوفة.

وقد أصدر مجلس الأمن قراراته، منها 242 و243 تطلب انسحاب يهود من الأراضي التي احتلوها ومنها الجولان ولكن المجلس لم يجبر يهود على الانسحاب رغم مرور خمسة عقود، ولم يقم النظام السوري بأي عمل جاد لتحريرها، وحرب تشرين عام 1973 كانت مسرحية لتعزيز مكانة حافظ أسد ليجد ذريعة لارتكاب خيانة أخرى بالتفاوض مع يهود وعقد اتفاق صلح معهم، فلم يسمح للقوات السورية بالتقدم سوى بضعة كيلومترات في الجولان، وأعلن كيان يهود ضمها عام 1981. وكاد أن يتحقق الاتفاق بين النظام السوري وبين كيان يهود عام 1994 لولا مقتل رئيس وزرائه رابين، وكذلك كاد أن يتحقق عام 2008 بسمسرة أردوغان لولا اعتداء يهود على غزة. وما زال النظام السوري يترامى على الصلح مع العدو ولم يحاربه حربا جادة. ولكن عندما ثار أهل سوريا المسلمون على الخيانة وأصحابها قام النظام بشن حرب شعواء عليهم، فقتل وشرد وسجن الملايين منهم ودمر البيوت فوق رؤوسهم، فهذا النظام برئاسة الأسد الوالد والولد وجد من أجل حماية كيان يهود ومنع تحرير فلسطين ومنع تحرر الأمة من ربقة الاستعمار.

وأما حليفته إيران فقد نددت على لسان المتحدث باسم خارجيتها بهرام قاسمي قائلا: "هذا الاعتراف غير المشروع وغير المقبول لا يغير حقيقة أنها تنتمي لسوريا". وماذا يعني هذا الكلام؟! لا شيء، إذ لم تعلن الحرب لتحرير الجولان، بل لم تطلق أية طلقة على كيان يهود، ولكنها وأشياعها الذين أعمتهم العصبية المذهبية الجاهلية شنوا حربا شعواء على أهل سوريا المسلمين لتحمي النظام الذي يحمي كيان يهود ويحارب الله ورسوله والمؤمنين. وقد هاجم كيان يهود مرات عديدة مواقعها ومواقع النظام السوري ومواقع أشياعها فلم تشن الحرب على كيان يهود، بل كلهم نكسوا رؤوسهم خزيا وتذرعوا بذرائع واهية. فأثبتوا أنهم جبهة ممانعة ومقاومة كاذبة تجاه يهود، وأنهم جبهة مقاومة وممانعة ضد مشروع الأمة لعودة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

وأما مواقف الأنظمة في بلاد المسلمين فكلها تؤخر ولا تقدم، فأصدروا تصريحات تنديد لرفع العتب، وقد جمعهم كثير الكلام وقليل الأفعال أردوغان في مؤتمر لمنظمة التعاون الإسلامي بإسطنبول، كما فعل أول مرة عندما جمعهم بعد إعلان ترامب القدس عاصمة لكيان يهود يوم 2017/12/6. بل أكدوا حق يهود في اغتصاب فلسطين عندما طالبوا بدول فلسطينية تشمل القدس الشرقية والأراضي التي احتلها يهود عام 1967 فقط، وفي مؤتمرهم لم يدعو لتحرير الجولان وإنما للاحتكام للشرعية الدولية!

وقد رفضت روسيا وأوروبا قرار ترامب بضم الجولان كما رفضت إعلان القدس عاصمة لكيان يهود. لأن هذه الدول ترى أن ذلك سيعزز الإدراك لدى الأمة الإسلامية بأنها كلها دول داعمة لكيان يهود وأنها تخدع المسلمين بكل القرارات التي اتخذها مجلس الأمن الذي تسيطر عليه، ولا تنفذ القرارات ضد يهود، بل تتركها في أرشيف الأمم المتحدة للتاريخ، فيشعر المسلمون بالظلم والضيم فتسقط مصداقية الشرعية الدولية! وقد سقطت في أعينهم، فكل ذلك يعزز نهضة الأمة وثورتها ضد الأنظمة التي ترعاها تلك الدول، وتدرك أنه لا حل لقضية فلسطين إلا القتال وكل المفاوضات والقرارات الدولية هي للخداع وكسب الوقت حتى يتركز كيان يهود. وهذا مكمن الخطر الذي تدركه أوروبا وروسيا ويهددهما إذا ما تحركت الأمة للقتال فإنها ستدرك بدلالة الالتزام وبالأحكام الشرعية أنه لا بد من دولة مخلصة تعد العدة والعتاد للتحرير، ومعنى ذلك قيام الخلافة الراشدة التي ستكون على حدود روسيا وأوروبا.

وأما أمريكا ترامب فإن غطرستها وعنجهيتها قد أعمتها فلم تعد ترى أبعد من أرنبة أنفها، فلم تعد تحسب حسابا للمسلمين، فترى حكامهم أذلاء أذنابا يتوسلون إليها ويحتكمون لمجلس الأمن الذي تتحكم فيه وينصاعون لقراراته، بينما ترفض كل قرار يدين كيان يهود، وتراهم يسحقون شعوبهم لحسابها منعا لنهضتهم متعاونين معها في حربهم على الإسلام باسم محاربة (الإرهاب والتطرف). فعندما اعترف ترامب بالقدس عاصمة ليهود وتعتبر مسألة مهمة تمادى عندما لم ير ردة فعل حقيقية فاعترف بسيادة يهود على الجولان لتقوية هذا الكيان وحمايته. فصرح جيسون جرينبلات مستشار ترامب على تويتر قائلا: "(إسرائيل) لا يمكن أن تتخلى عن الجولان تحت أي ظرف من الظروف التي يمكن تصورها.. إذا فعلت ذلك فإنه سيعرض وجودها للخطر". وأعلن كيان يهود أن "الحرب السورية أكدت ضرورة الاحتفاظ بالهضبة الغنية بموارد المياه فضلا عن تربتها الخصبة لتكون منطقة تفصل البلدات (الإسرائيلية) عن الاضطرابات السورية". وهذا يظهر مدى أهمية الجولان لكيان يهود، وقد سلمها نظام آل الأسد خدمة لمواليهم يهود وطاعة لسيدتهم أمريكا.

والخطوة الثالثة لترامب هي الضفة الغربية، فقد سربت أخبار أن صفقة قرنه تقضي الاعتراف بالأراضي التي اغتصبها يهود في الضفة وأقاموا عليها مستوطنات وتعوضهم بأراض من سيناء أو من الأردن وتعويض الأردن بأراض من السعودية. ويعلم ترامب أن الأنظمة في بلاد المسلمين لن تفعل شيئا سوى التنديد الذي لا يعيره قيمة.

ولكن تصرفات أمريكا المتغطرسة ستنقلب عليها بإذن الله وستكون وسيلة لزيادة وعي الأمة وكفاحها لإسقاط الأنظمة من جذورها وليس الحكام العملاء فقط، وتجعلها تهتدي للقيادة السياسية الواعية المخلصة التي تعمل على وحدتها وإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon