"فرنسا 24" تُوقع مفتي القدس في شرك العلماني يوسف الصديق يا شيخ حسين لو أنك تَنحو المستقيم ما تورَطت!
"فرنسا 24" تُوقع مفتي القدس في شرك العلماني يوسف الصديق يا شيخ حسين لو أنك تَنحو المستقيم ما تورَطت!

الخبر:   خلال جلسة حوارية في برنامج "نقاش" بثت على قناة فرنسا 24 بتاريخ 23 نيسان/أبريل 2020 تمت استضافة كل من محمد حسين مفتي القدس والديار الفلسطينية، ويوسف الصديق الفيلسوف العلماني التونسي المختص في أنثروبولوجيا القرآن، حيث طرحت عليهما أسئلة من قبيل هل الصحة أهمّ أم ممارسة الطقوس الدينية؟ هل حان وقت مراجعة الطقوس الدينية؟ الفيروس انطلق في فرنسا بسبب تجمع ديني، والصلوات في كل الأديان تجري من خلال التقارب والتلاصق أحيانا فكيف يحمي المؤمنون أنفسهم من العدوى؟

0:00 0:00
Speed:
May 03, 2020

"فرنسا 24" تُوقع مفتي القدس في شرك العلماني يوسف الصديق يا شيخ حسين لو أنك تَنحو المستقيم ما تورَطت!

"فرنسا 24" تُوقع مفتي القدس في شرك العلماني يوسف الصديق

يا شيخ حسين لو أنك تَنحو المستقيم ما تورَطت!

الخبر:

خلال جلسة حوارية في برنامج "نقاش" بثت على قناة فرنسا 24 بتاريخ 23 نيسان/أبريل 2020 تمت استضافة كل من محمد حسين مفتي القدس والديار الفلسطينية، ويوسف الصديق الفيلسوف العلماني التونسي المختص في أنثروبولوجيا القرآن، حيث طرحت عليهما أسئلة من قبيل هل الصحة أهمّ أم ممارسة الطقوس الدينية؟ هل حان وقت مراجعة الطقوس الدينية؟ الفيروس انطلق في فرنسا بسبب تجمع ديني، والصلوات في كل الأديان تجري من خلال التقارب والتلاصق أحيانا فكيف يحمي المؤمنون أنفسهم من العدوى؟

التعليق:

بداية نُذكَر بالحادثة التي وقعت سنة 2018 عندما قدّم يوسف الصديق محاضرة في الجامعة العربية الأمريكية بجنين وتم إيقافه وطرده من الطلبة والأساتذة والمشايخ الحاضرين بتهمة الإلحاد والتطاول على العقيدة الإسلامية وهذا دليل أن حدثا بهذا المستوى لا بد وأن الشيخ محمد حسين قد سمع به وبالتالي أصبحت عنده فكرة سابقة عن يوسف الصديق وعن هويته ومنهجيته الفكرية المنحرفة التي تختص في البحث في القرآن فلا منهجيته من جنس الإسلام ولا هو من أهل القرآن.

ومن أسئلة البرنامج يشتمّ الفَطِنُ أن الموضوع بعيد كل البعد عن طرح مسألة شرعية واضحة وضوح الشمس حتى في ذهن يوسف الصدّيق وهي حكم التعامل مع الطاعون ووجوب التوقي والحجر على المناطق الموبوءة، فبينما ينغمس الشيخ في تفاصيل فقهية، ينحو يوسف الصديق منحى آخر بخطاب داهية يدعو فيه الشيخ أن يشاركه بل يشاطره تساؤلا حول مسألة التفكير في تحرير الدين الإسلامي من جموده منذ ألف سنة حيث يحتاج الإسلام - حسب رأيه - الآن ونحن في زمن كورونا لعملية تغيير على النمط الأوروبي!! مشيدا بجهود المفكرين المجددين الغربيين الذين نجحوا في تحرير الدين من التدخل في تنظيم "العلاقة الأفقية" أي بمفهومنا الشرعي علاقة المسلم بالآخر وحصره في "العلاقة العمودية" أي تنظيم علاقة المسلم بخالقه.

وأمام هذا الخطاب الذي لا يضمر سوى العداء الصريح للإسلام كنظام حكم شامل والعمل على تحويله إلى الهامش على النمط النصراني الكنسي في أوروبا الرأسمالية، ظل مفتي القدس يدافع عن قرار إغلاق المساجد وتعليق صلاة الجماعة في ظل الأزمة الصحية مبررا أنه لم يكن إلغاء لفريضة الصلاة بل هي لا زالت قائمة لكن بشكل فردي.

قد يقول قائل إن القرار الذي اتخذه مفتي القدس وغيره من علماء السلاطين الذين ابتلينا بهم في تونس ومصر وغيرها والذين سارعوا فيه إلى تعليق صلاة الجماعة دون تمحص، هذا يدخل في أحكام الوقاية من الطاعون، لما تمثله التجمعات في المساجد من أرضية خصبة لنقل فيروس كورونا، لكن من يتقي الله وينظر نظرة شاملة للواقع فينزل لشوارع تونس مثلا يرى التزاحم في الأسواق بل أكثر من هذا التزاحم قبيل رمضان بيوم، تزاحم مخجل أمام مخازن بيع الخمور التي هي ملك أحد رجال الأعمال المعروفين في تونس والذي قدم مساعدة مالية قدرها 10 مليارات دينار للحكومة لمجابهة أزمة كورونا وهي حقيقة لا تساوي شيئا أمام ما يكسبه بعد دفعه للحكومة أن تغض عنه الطرف تاركة له المجال لمواصلة تجارته للخمور دون أن يشمله قرار الحجر. فنفهم بذلك أن الحجر في بلادنا وبلاد الإسلام عامة له سياسة انتقائية تقفز على غلق المساجد دون مخازن ومحلات بيع الخمر!

إن قرار تعليق صلاة الجماعة لمفتي القدس فتح المجال لمارقٍ مثل يوسف الصديق لأن يدعو الشيخ لاستغلال الفرصة ومراجعة علاقتنا بكلام الله أي القرآن وفتح المجال للمواصلة على نفس النهج والوتيرة: فمثلما عطلتم حكم الله في صلاة الجماعة لماذا لا تملكون الشجاعة وتعطلوا كل أحكام الله التي تنظم حياة المسلمين فتجعلوا الدين مسألة فردية خاصة مثلما جعلتم الصلاة في زمن كورونا فردية بالبيوت؟!

يا شيخ محمد حسين! إن هذا العلماني وحفنة أخرى تشبهه ندعوهم في تونس بأيتام فرنسا، وعلى عكسكم فقد درستم دينكم عند العلماء والفقهاء في كليات الشريعة واستزدتم وتربعتم في المساجد وعكفتم في الحلقات، أما هو فقد جلس واضعا ساقا فوق ساق مع المستشرقين في أحضان جامعة السوربون يُفقهونه في دين الإسلام، وحسبك أن تتخيل كافرا يُفقه المسلمين في دينهم فأي نسخة ستنتج وأي علم شرعي سيُطل علينا؟!

إن هؤلاء ليس لهم امتداد في تونس ولا يلتفت لهم أحد من أهل البلاد الصافين الأتقياء بل هم مكروهون من عامة الناس وحتى من طلبتهم في الجامعات، لكن النظام العلماني في تونس هو الوحيد الذي ينفخ في صورتهم ويزينهم بهالة إعلامية كاذبة ليضرب بهم عقيدة الإسلام ويخلط على الناس أمور دينهم.

يا شيخ! إن هؤلاء المفلسين المفسدين لا يستحقون حتى المجالسة وإنهاك العقل للرد عليهم فهم أعراض مرض العلمانية التي أصابت الأمة، لكننا والحمد لله وفي زمن كورونا نرى عجائب الله في الأنظمة الرأسمالية التي فصلت الدين عن الحياة تتهاوى وتعجز، فترامب يصلي يوم الأحد ورئيس وزراء إيطاليا ينتظر في رحمة السماء.

يا شيخ! أنت مفتي أرض بيت المقدس، فلا ترض لنفسك الدنية ولا تجالس أعداء الإسلام مثلما لا تهادن عباسا قد خان.

يا شيخ! إن لنا في سيرة علماء الإسلام الربانيين الصالحين قدوة، فكان الأولى أن تعمل بنصيحة الإمام الشافعي رحمه الله إذ قال: أَعرِض عَنِ الجاهِلِ السَفيهِ فَكُلُّ ما قالَ فَهُوَ فيهِ / ما ضَرَّ بَحرَ الفُراتُ يَوماً إِن خاضَ بَعضُ الكِلابِ فيهِ.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

هاجر بالحاج حسن

#كورونا                   |                  #Covid19             |                  #Korona

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon