بكاء الوزير، يعفي الدولة من المسؤولية ويحمّلها إلى الشعب، فما العمل؟
بكاء الوزير، يعفي الدولة من المسؤولية ويحمّلها إلى الشعب، فما العمل؟

الخبر: أكد وزير الصحة عبد اللطيف المكي يوم الثلاثاء 7 نيسان/أبريل 2020 أن انتشار فيروس كورونا في تونس يعد قضية أمن قومي بامتياز والمسؤولية فيها ليست على الدولة ولا على الحكومة، قبل أن ينفجر بالبكاء. وقال المكي: كل الوزارات نجتهد بروح المحب لشعبه لكن لا بد من الالتزام من طرف الجميع "وما نخلوش فئة صغيرة تعصف بجهد متاع شعب ومؤسساته، وهذه الدموع دموع القوة ليست دموع ضعف سنظل كمؤسسة صحة وكافة المؤسسات في الدولة نعمل إلى آخر رمق وبضوافرنا كان لزم". (إذاعة إي أف أم)

0:00 0:00
Speed:
April 08, 2020

بكاء الوزير، يعفي الدولة من المسؤولية ويحمّلها إلى الشعب، فما العمل؟

بكاء الوزير، يعفي الدولة من المسؤولية ويحمّلها إلى الشعب، فما العمل؟

الخبر:

أكد وزير الصحة عبد اللطيف المكي يوم الثلاثاء 7 نيسان/أبريل 2020 أن انتشار فيروس كورونا في تونس يعد قضية أمن قومي بامتياز والمسؤولية فيها ليست على الدولة ولا على الحكومة، قبل أن ينفجر بالبكاء.

وقال المكي: كل الوزارات نجتهد بروح المحب لشعبه لكن لا بد من الالتزام من طرف الجميع "وما نخلوش فئة صغيرة تعصف بجهد متاع شعب ومؤسساته، وهذه الدموع دموع القوة ليست دموع ضعف سنظل كمؤسسة صحة وكافة المؤسسات في الدولة نعمل إلى آخر رمق وبضوافرنا كان لزم". (إذاعة إي أف أم)

التعليق:

ربّما لم يعد من السهل في تونس التعليق على خبر موضوعه وزير الصحة الذي اختزلت في شخصه قضية التصدي لجائحة كورونا، بين من يريد إظهاره في صورة الجنرال الذي انتصر بمفرده في معركة بطولية تاريخية لم يسبقه إليها أحد ويقدمه كزعيم توافقي جديد، ومن يريد تحميله مسؤولية كل التقصير والتأخير الذي قامت به السلطة في تونس بمختلف مجالات تدخلها، بما يسقط كل جهوده في الماء.

ولكن الواقع المحسوس، يؤكد أن القضية أعمق وأن مشكل الوباء العالمي أكبر من أن يُختزل في شخص وزير أو حتى رئيس، بل هي أزمة نظام رأسمالي يتهاوى عالميا، حيث جاءت كورونا لتسقط عن سوءته آخر أوراق التوت، ولتظهر عليه كل مظاهر انعدام النظرة الرعوية والسياسية وحتى الإنسانية في التعامل مع الناس، فضلا عن انكشاف كذبة وخرافة التضامن العالمي.

إلا أن اللافت للنظر في تصريح السيد الوزير، هو قفزه فوق كل تلك الحقائق العالمية والمحلية المتعلقة بطبيعة المنظومة العالمية الفاشلة التي يعمل تحت سقفها، والتي قد تعفيه من عديد المسائلات، ليصرح ويقول إن المسؤولية ليست على الدولة ولا على الحكومة! وهكذا، ينجو الجميع بهذا التصريح من المساءلة ولا يحاسب سوى الشعب عما ستؤول إليه الأوضاع!! وعليه، صار لا بد من طرح الأسئلة التالية على كل من تبنى خيار إعفاء الدولة والحكومة من المسؤولية، كائنا من كان:

أليست الحكومة هي التي تأخرت في غلق الحدود البحرية والجوية وجلبت عشرات الرحلات التي ثبت فيما بعد حملها لحالات موبوءة؟ أليست الحكومة هي التي قصرت في إجراءات متابعة القادمين من الخارج وفرض الحجر الصحي على المصابين؟ أليست هي التي أغلقت المساجد الطاهرة وتركت الخمارات مفتوحة يكتظ أمامها الناس؟ أليست الحكومة هي التي دفعت بالناس دفعا إلى مراكز البريد وكثفت سوادهم بعد تأخرها في صرف الإعانات لمستحقيها؟ أليست الحكومة عاجزة عن توفير وسائل الوقاية للإطار الطبي وشبه الطبي، وهو ما تسبب في فرض حجر صحي جماعي على أطباء مستشفيات جامعية على غرار ما حدث في صفاقس والقصرين؟...

إذا كان الأمر كذلك، فكيف يصح أن نعفي الدولة والحكومة ونلقي باللوم على الشعب الذي فُرض عليه إعلام لا يتقن سوى العويل والتهويل؟ ألم يكن الأجدر بهذا الإعلام وأبواقه أن ينقل تلك الرسوم البيانية حول مدّة بقاء الحبيبات المشحونة بالفيروس فوق مختلف المواد المستعملة من ورق وخشب وبلاستيك وشرحها للناس، بدل أن يعرضها السيد الوزير بشكل متأخر جدا خلال الندوة الصحفية نفسها التي برّأ فيها ذمة الدولة والحكومة، وحمّل فيها الشعب وحده مسؤولية المرحلة القادمة قبل أن يمنح الكلمة لوزير الداخلية ليقدم إجراءاته الردعية وفقا للمجلة الجنائية؟!

إنه ورغم التأخير الحاصل في نواحٍ عدة ومع أننا في مفترق طرق، إلا أن إمكانية التدارك لا تزال موجودة، خاصة مع ظهور عدّة بوادر انتظام فردي في الحياة العامة، تجاوزت في وعيها وعي العديد من شعوب الغرب الذي يكاد يحتكر "التحضر".

والحلّ الشرعي يكمن في التركيز على حصر الوباء وحجر المرضى وليس حجر كافة الناس ووقف نشاطات الحياة، وآليته تكون بحصر الوباء ضمن دائرة واسعة ومن ثم أضيق فأضيق حتى تنتهي بدائرة الأشخاص المصابين دون وقف عجلة الاقتصاد، مع الحرص على التعجيل بجميع مستلزمات الوقاية للإطار الطبي وشبه الطبي.

أما الإصرار على فرض حظر التجول والحجر الإجباري الشامل للناس في البيوت ووقف الاقتصاد وحركة الناس ونشاطاتهم بشكل شبه كامل والتهديد باستخدام القوة لفرض ذلك بل والمرور إلى ذلك في بعض الحالات، فإن تلك الإجراءات أقرب ما تكون إلى سياسة حجر الناس منها إلى سياسة حصر الوباء، وإن كانت تحقق هذه النتيجة، يضاف إليها دمار اقتصادي وبطالة وملل وفقر وجوع وعوز لا يقل خطورة عن انتشار المرض، وهو ما قد يدفع الناس في النهاية إلى كسر الحجر وبالتالي تفشي المرض لا سمح الله بعد خسارة الاقتصاد وبذلك تكون الخسارة مضاعفة لدى الحكومة ولدى الشعب، والأدهى والأمر، أن هذه الحكومات تريدنا بهذه الإجراءات المقبلة على الغرب وحلوله الرأسمالية والمعرضة عن الشرع وحلوله الربانية، تريدنا أن نكون من الخاسرين في الدنيا والآخرة والعياذ بالله، فأي خسارة تستحق منا البكاء؟!

قال تعالى: ﴿قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوَا أَنْفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ أَلَا ذَلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ المُبِينُ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

وسام الأطرش – ولاية تونس

#كورونا                   |        #Covid19            |         #Korona

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon