عندما يلبس العلمانيون عمائم الأزهر يصبح التدليس منهجا
عندما يلبس العلمانيون عمائم الأزهر يصبح التدليس منهجا

الخبر:   نقل موقع مصراوي الاثنين 2020/5/11م، قول أحمد كريمة أستاذ الشريعة الإسلامية والفقه المقارن بجامعة الأزهر، خلال لقائه ببرنامج "التاسعة" مع وائل الإبراشي، إن جمهور العلماء أكد على أن صلاة العيد سنة مؤكدة عن النبي محمد r ويمكن أن تصلى فرداً للضرورة، وأوضح كريمة أنه في ظل جائحة فيروس كورونا، تصلى بعد شروق الشمس بثلث ساعة فرداً، ونحن في ضرورة ونتبع إجراءات احترازية تهدف إلى حماية صحة المواطنين، متابعاً: "حفظ النفس من مقاصد الشريعة الإسلامية"، وعقب على الداعين إلى إقامة صلاة العيد في جماعة، قائلاً: "هذه مخالفة لأولي الأمر التي تعد طاعته واجبة"، ...

0:00 0:00
Speed:
May 20, 2020

عندما يلبس العلمانيون عمائم الأزهر يصبح التدليس منهجا

عندما يلبس العلمانيون عمائم الأزهر يصبح التدليس منهجا

الخبر:

نقل موقع مصراوي الاثنين 2020/5/11م، قول أحمد كريمة أستاذ الشريعة الإسلامية والفقه المقارن بجامعة الأزهر، خلال لقائه ببرنامج "التاسعة" مع وائل الإبراشي، إن جمهور العلماء أكد على أن صلاة العيد سنة مؤكدة عن النبي محمد r ويمكن أن تصلى فرداً للضرورة، وأوضح كريمة أنه في ظل جائحة فيروس كورونا، تصلى بعد شروق الشمس بثلث ساعة فرداً، ونحن في ضرورة ونتبع إجراءات احترازية تهدف إلى حماية صحة المواطنين، متابعاً: "حفظ النفس من مقاصد الشريعة الإسلامية"، وعقب على الداعين إلى إقامة صلاة العيد في جماعة، قائلاً: "هذه مخالفة لأولي الأمر التي تعد طاعته واجبة"، مشيراً إلى أن أزمة الخطاب الإسلامي هو الجهل بأحكام الدين، في الكتاب والسنة، وأضاف أنه طالما هناك إجماع بأن هناك علة للمنع وتهدف إلى الحفاظ على صحة المواطنين لماذا يقوم البعض بمخالفة ذلك، ونحن الآن نطبق قاعدة المصلحة العامة، متابعاً: "مصر ربنا خلصها من الفاشية الدينية، وكافة العلماء المصريين مع الدولة وولي الأمر وندعو لاستقرار البلاد من أجل مصلحة الوطن، واصطفافنا مع ولي الأمر لأمر مصلحي وليس لأمر مصلحي"، وشدد كريمة، على أن الدولة المصرية مسلمة ودستورها الإسلام وحاكمها مسلم يراعي أحكام الإسلام ونحترم حقوق أهل الكتاب، مؤكداً: "هؤلاء يريدون الشغب على مصر الأزهر وأم الحضارات".

التعليق:

مصر بلد إسلامي معظم أهلها مسلمون، حقيقة لا ريب فيها، ولكنها ليست دولة إسلامية، ومن يقول بغير ذلك لا يعرف ما هي الدولة الإسلامية، ولا يفرق بين دار الإسلام ودار الكفر، ولا يعرف حتى ما هو الإسلام ولا ما هي أحكامه ودستوره.

في تمهيد من الدولة لمنع إقامة صلاة عيد الفطر القادم بشكل جماعي، استدعت موظفيها ومنهم كريمة الذي تكلم أولا عن حكم صلاة العيد ذاكرا رأي الشافعية والحنابلة على كونها سنة مؤكدة وهو ما نقله مصراوي على أنه رأي الجمهور رغم أن الحنابلة قالوا إنها من فروض الكفاية، والحنفية قالوا إنها واجبة في حق من تجب عليهم صلاة الجمعة التي أقر كريمة أنها فرض عين، وكما قال بالنص لا يتخلف عنها مسلم بغير عذر. ولعلنا هنا نذكر كريمة وغيره من علماء الأزهر بأن صلاة الجمعة لا يجوز للدولة منعها ولا بحال من الأحوال بل يجب أن تقام وتتخذ لها التدابير الوقائية اللازمة التي تتخذ مع غيرها من التجمعات التي نراها والتي تمثل في واقعها خطرا كبيرا لا تمثله المساجد، فما نراه في المولات والأسواق وحافلات النقل العام والقطارات ومترو الأنفاق أبشع بكثير مما يمكن أن يحدث في المساجد، ولكنها الحرب على الإسلام وكأن كورونا ينتقل بالصلاة لا بالتجمعات!

إن القول بمنع صلاة الجمع والجماعات وصلاة العيد بغرض حفظ النفس هو قول باطل ومبرر واه لمنع الناس من الصلاة وإفساد أجواء صيامهم وفطرهم في رمضان وبعدها فرحتهم بالعيد، فيمر عليهم كغيره من الأيام، فمن يمنع الناس من الصلاة يبيح لهم التزاحم في وسائل النقل وبشكل لا يمكن حدوثه أبدا في المساجد، تلك الأماكن الطاهرة التي لا يرتادها إلا المطهرون المتوضئون، وكان الأولى بعالم الأزهر وأستاذ الشريعة والفقه أن يطالب الدولة التي يدعي زورا أنها إسلامية باتخاذ التدابير الوقائية اللازمة لحماية من يرتادون المساجد، بدلا من الصمت بل والمشاركة في إغلاقها ومنع الذكر فيها والسعي في خرابها.

إن الفاشية الدينية الحقيقية هي ما يقوم بها المدعون من علماء الأزهر والأوقاف في مصر تكريسا للنظام الحاكم وتبريرا لمخالفاته بل وإعطاؤها ولو شيئا من الشرعية، رغم وضوح مخالفة النظام كله للإسلام بما يحمله وما يطبقه من أحكام، ولا يجوز أبدا اعتبار رأس سلطة تطبق قوانين الغرب الكافر ولي أمر شرعياً واجب الطاعة، بل الواجب خلعه وإقامة الدولة التي تطبق الإسلام حقا، دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة. وكما قال أستاذ الشريعة أزمة الخطاب الإسلامي هو الجهل بأحكام الدين فعن أي ولي أمر يتكلم؟ّ! وكيف صار وليا للأمر؟! ومتى بايعته الأمة؟! وبماذا يحكمها؟! (عفوا لقد قال إن مصر دولة مسلمة ودستورها الإسلام) وكأنه لا يعرف ما هو الإسلام ولا ما هي أحكامه ولا كيف تطبق! فأين هو الإسلام الذي يطبق في مصر يا أستاذ الشريعة، بينما مصر دولة قطرية تحدها حدود سايكس بيكو المخالفة للشرع وتحتكم لقوانين الغرب الوضعية وليس للإسلام، وتنتشر فيها البنوك الربوية بتصريح من الدولة وبرعايتها وحمايتها، ودستورها الذي تدعي يقر في أول مادة أن مصر دولة مستقلة ذات سيادة تحكم بالنظام الديمقراطي وليس بالإسلام؟ ورغم أنها ليست مستقلة أصلا بل هي تابعة خاضعة لنفوذ أمريكا ويحكمها عملاؤها بدءا من عبد الناصر حتى الآن؟!

يا أستاذ الشريعة ويا كل علماء الأزهر! إن الإسلام لا يطبق إلا في الدولة التي أقرها الشرع وحدد شكلها وهيكلها؛ دولة الخلافة، وهي ليست دولة قطرية ولا تعترف بحدود سايكس بيكو، ومن يحكمها هو ولي الأمر الشرعي واجب الطاعة، وتكون رئاسته عامة لجميع المسلمين، ويحصل الحكم منه ببيعة شرعية صحيحة ويحكمهم بالإسلام فقط ولا شيء غير الإسلام، فهل هذا ينطبق على مصر وحاكمها يا أستاذ الشريعة؟! يقينا لا، ولهذا فإنه يجب عليكم يا علماء مصر والأزهر أن تبرأوا لله من هذا النظام ولا تكونوا أداة في حربه على دينكم وطمس عقيدته السياسية، بل وطمسه بالكلية إن استطاعوا، وسيروا في الناس سيرة العز بن عبد السلام سلطان العلماء وغيره ممن لا يخشون في الله لومة لائم، وكونوا قادة للناس حقا بما علمتم وتعلمتم من الكتاب والسنة، نحو ما يصلح حالهم ويردهم إلى دينهم ردا جميلا، فتوجهوا بهم ووجهوهم نحو وجوب تطبيق الإسلام كاملا شاملا في دولته الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، وضعوا أيديكم في أيدي من يحملون للناس مشروعا كاملا جاهزا للتطبيق، وطالبوا أبناء الكنانة شعبا وجيشا باحتضان دعوتهم وحمل فكرتهم عسى الله أن يكتب النصر والفتح فتقام الدولة التي يعم خيرها وعدلها الناس جميعا، خلافة راشدة على منهاج النبوة، اللهم عاجلا غير آجل.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اسْتَجِيبُواْ لِلّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُم لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُواْ أَنَّ اللّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد فضل

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

#كورونا             |          #Covid19                 |           #Korona

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon