الشعب الفرنسي يخوض معركة العودة
الشعب الفرنسي يخوض معركة العودة

خلال الأسابيع الأربعة الماضية، احتشد آلاف المتظاهرين في فرنسا ضد الحكومة في قضية أصبحت تعرف باسم حركة "السترات الصفراء"، في إشارة إلى سترات السلامة التي يحتفظ بها السائقون الفرنسيون في سياراتهم. الاحتجاجات شائعة الحدوث في فرنسا، فالبلاد لديها تاريخ طويل من الاحتجاجات والثورة. لكن احتجاجات السترات الصفراء أدت إلى بعض أسوأ أعمال الشغب في باريس وأجبرت السلطات على إغلاق أجزاء من المدينة. وبعد أربعة أسابيع من الاحتجاجات، اضطر إيمانويل ماكرون في خطاب متلفز وجهه للأمة إلى إلغاء عدد من السياسات والتعهد بزيادة في الحد الأدنى للأجور. كانت هذه المرة الأولى التي يتراجع فيها الرئيس الفرنسي عن قرار سياسي. وتأتي الاحتجاجات في الوقت الذي انخفضت فيه شعبية ماكرون إلى مستوى متدنٍ، ولكنها أيضا تمثل أول ظهور للناس الذين يخرجون إلى الشوارع بعد عقد من التقشف، حيث عوقبت الجماهير بسبب تجاوزات النخبة.

0:00 0:00
Speed:
December 20, 2018

الشعب الفرنسي يخوض معركة العودة

الشعب الفرنسي يخوض معركة العودة

(مترجم)

الخبر:

خلال الأسابيع الأربعة الماضية، احتشد آلاف المتظاهرين في فرنسا ضد الحكومة في قضية أصبحت تعرف باسم حركة "السترات الصفراء"، في إشارة إلى سترات السلامة التي يحتفظ بها السائقون الفرنسيون في سياراتهم. الاحتجاجات شائعة الحدوث في فرنسا، فالبلاد لديها تاريخ طويل من الاحتجاجات والثورة. لكن احتجاجات السترات الصفراء أدت إلى بعض أسوأ أعمال الشغب في باريس وأجبرت السلطات على إغلاق أجزاء من المدينة. وبعد أربعة أسابيع من الاحتجاجات، اضطر إيمانويل ماكرون في خطاب متلفز وجهه للأمة إلى إلغاء عدد من السياسات والتعهد بزيادة في الحد الأدنى للأجور. كانت هذه المرة الأولى التي يتراجع فيها الرئيس الفرنسي عن قرار سياسي. وتأتي الاحتجاجات في الوقت الذي انخفضت فيه شعبية ماكرون إلى مستوى متدنٍ، ولكنها أيضا تمثل أول ظهور للناس الذين يخرجون إلى الشوارع بعد عقد من التقشف، حيث عوقبت الجماهير بسبب تجاوزات النخبة.

التعليق:

منذ أن أصبح رئيساً في أيار/مايو 2017، قام ماكرون بخفض الضرائب على الشركات، وخفض الإنفاق العام وخفف العبء الضريبي على الأغنياء. وهذا أضر بصورة ماكرون الأمر الذي جعله يظهر بمظهر رئيس الأثرياء. كانت الزيادة المخططة على ضريبة الوقود التي ستبدأ في عام 2019 هي القشة الأخيرة بالنسبة للكثيرين. فقد بدأت المظاهرات في فرنسا في 17 تشرين الثاني/نوفمبر 2018 وانتشرت بسرعة. فارتفاع أسعار الوقود وارتفاع تكاليف المعيشة وادعاءات بأن إصلاحات الضرائب الحكومية كانت تشكل عبئا غير متناسب يلقي بثقله على الطبقات العاملة والمتوسطة. ومنذ الأزمة الاقتصادية العالمية في عام 2008، عملت الحكومات في الغرب على إنقاذ الصناعة المصرفية، فيما خفضت الإنفاق على البرامج الإنسانية تحت ستار التقشف.

تتركز الثروة في فرنسا بدرجة عالية في صفوف الأغنياء، حيث يملك 1٪ من السكان 23٪ من الثروة الفرنسية، و10٪ فقط من أغنى أغنياء فرنسا يمتلكون 54٪ من ثروة البلاد. ويشارك نصف سكان فرنسا البالغ عددهم 67 مليون نسمة في 6.3 في المائة فقط من ثروة البلاد. وعلى الرغم من نظام الضمان الاجتماعي في فرنسا، يتم فرض ضرائب على الدخل بنسبة 48٪ ما لا يبقي إلا القليل من الدخل الذي يجنيه العمال. إن فرنسا مثل الكثير من العالم الرأسمالي فيها تفاوت عميق في الثروة، وقد حافظ الرؤساء المتعاقبون على حماية ثروات الأغنياء على حساب الغالبية العظمى من الناس في البلاد. ارتفعت مستويات المعيشة والأجور في فرنسا بعد الحرب العالمية الثانية خلال 30 عاماً من النمو. واستمرت المكاسب في الأجور تتنامى لذوي الدخل المنخفض والمتوسط ​​خلال أوائل الثمانينات. لكن تلك الديناميكيات التي تم تفكيكها مع قيام الحكومات الفرنسية المتعاقبة والتي قامت بالحد من المكاسب في الأجور، ولكنها في الوقت ذاته خفضت الضرائب على دافعي الضرائب الأكثر ثراء في فرنسا. وقد تخلصت شركة ماكرون من ضريبة الثروة التي طبقت على كثير من أصول أغنى الأسر الفرنسية، واستبدلت بها واحدة لا تنطبق إلا على ممتلكاتها العقارية.

 هذه الحقائق هي التي قدمت الكثير من الدعم لحركة السترات الصفراء. وابتداءً من تشرين الأول/أكتوبر 2018، اجتذبت الحركة مئات الآلاف من المؤيدين عبر الإنترنت في المدن الريفية الصغيرة والبلدات التي تكافح في شمال فرنسا، وتشمل نشطاء من حركة السترات الصفراء والعاطلين عن العمل والمتقاعدين ذوي الدخل المنخفض والوالدين الوحيدين الذين يكافحون من أجل الرفاهية أو الحد الأدنى للأجور. كما أنها تشمل أيضا عمال الياقات الزرقاء والبيضاء وأصحاب المشاريع الصغيرة الذين يعتبرون أفضل حالا ولكنهم يشعرون بالإنهاك أو يتعرضون للغش عبر الضرائب والأسعار المرتفعة. ومثل العديد من الناخبين في استفتاء خروج بريطانيا من الاتحاد الأوروبي، فإن السترات الصفراء تعتقد بأنهم تعرضوا للخيانة بسبب عقود من الإهمال والاستغلال من السياسيين المهووسين الساعين لإرضاء الأغنياء. ووصف صحفي فرنسي الوضع على النحو التالي: "لقد تحمل الشعب الفرنسي التخفيضات الثابتة والمتراكمة لمستويات المعيشة على مدى السنوات العشرين الماضية. الفرنسيون أناس عمليون وشدوا أحزمتهم بقدر ما استطاعوا حتى جاءت النهاية، ووجدوا أنه لم يعد بإمكانهم البقاء على قيد الحياة".

كانت فرنسا تُقدَّم دوماً كبلد عظيم لقضاء العطلات والاستمتاع بالثقافة والطعام والمناظر الطبيعية، ولكن يبدو أنها مكان مختلف إذا ما تعين عليك العيش والعمل فيها. فبعد عقد من التقشف وعقود من السياسات التي أعطت الأفضلية لنخبة صغيرة غنية، طفح الكيل عند الفرنسيين ونزلوا إلى الشوارع. في جميع أنحاء العالم الغربي، لجأ الكثيرون إلى الأحزاب اليمينية وغير التقليدية حيث لم تعد الأحزاب السائدة تمثلهم. في الانتخابات التي جرت منذ أكثر من 15 شهراً، حصلت مارين لوبان من أقصى اليمين على أصوات مهمة لسياساتها، ورأى العديد أنها ستكون بديلا عن السياسيين الأساسيين. وعلى الرغم من خسارتها، ودعمها العظيم كما يظهر لكثير من الفرنسيين، فإن هذا النظام لم يعد صالحا للخدمة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عدنان خان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon