النظام يغرق مصر وأهلها في مستنقع القروض
النظام يغرق مصر وأهلها في مستنقع القروض

الخبر:   في تصريحات خاصة لـ"اليوم السابع"، الأحد 2020/7/5م، قال الدكتور محمد معيط، وزير المالية، إن مصر تسلمت 2 مليار دولار من صندوق النقد الدولي بعد موافقة المجلس التنفيذي على قرض مصر، ودخلت بالفعل حسابات وزارة المالية في البنك المركزي المصري، من إجمالي "اتفاق استعداد ائتماني" بقيمة 5.2 مليار دولار على مدار 12 شهراً، بهدف مساعدة مصر على التأقلم مع تبعات جائحة فيروس كورونا، ودعم الموازنة العامة للدولة وميزان المدفوعات، وأشار صندوق النقد الدولي، أن البرنامج سيساعد مصر في الحفاظ على الإنجازات التي حققتها على مدار السنوات الـ4 الماضية، ودعم الإنفاق الصحي والاجتماعي لحماية الفئات الضعيفة، ودفع مجموعة من الإصلاحات الهيكلية المهمة قدماً، وقال مسؤول مصرفي لـ"اليوم السابع"، "تساعد حزم التمويل المالية الجديدة من صندوق النقد الدولي لمصر، بقيمة نحو 8 مليارات دولار دعم جهود الدولة في مواجهة تداعيات فيروس كورونا المستجد ومساعدة الاقتصاد المصري.

0:00 0:00
Speed:
July 08, 2020

النظام يغرق مصر وأهلها في مستنقع القروض

النظام يغرق مصر وأهلها في مستنقع القروض

الخبر:

في تصريحات خاصة لـ"اليوم السابع"، الأحد 2020/7/5م، قال الدكتور محمد معيط، وزير المالية، إن مصر تسلمت 2 مليار دولار من صندوق النقد الدولي بعد موافقة المجلس التنفيذي على قرض مصر، ودخلت بالفعل حسابات وزارة المالية في البنك المركزي المصري، من إجمالي "اتفاق استعداد ائتماني" بقيمة 5.2 مليار دولار على مدار 12 شهراً، بهدف مساعدة مصر على التأقلم مع تبعات جائحة فيروس كورونا، ودعم الموازنة العامة للدولة وميزان المدفوعات، وأشار صندوق النقد الدولي، أن البرنامج سيساعد مصر في الحفاظ على الإنجازات التي حققتها على مدار السنوات الـ4 الماضية، ودعم الإنفاق الصحي والاجتماعي لحماية الفئات الضعيفة، ودفع مجموعة من الإصلاحات الهيكلية المهمة قدماً، وقال مسؤول مصرفي لـ"اليوم السابع"، "تساعد حزم التمويل المالية الجديدة من صندوق النقد الدولي لمصر، بقيمة نحو 8 مليارات دولار دعم جهود الدولة في مواجهة تداعيات فيروس كورونا المستجد ومساعدة الاقتصاد المصري.

التعليق:

قروض تلو قروض لنظام نهم لا يشبع، نظام اعتاد على مص دماء أهل الكنانة، قروض لا تحتاجها مصر ولا ينال أهلها منها غير ما يتبعها من أعباء وما يتفرع عنها من قرارات وتوصيات تزيدهم فقراً فوق فقر وجوعا فوق جوع... قبل أيام من هذا التصريح نشرت اليوم السابع تحت هذا العنوان الدفعة الأولى من قرض صندوق النقد خلال أيام.. نواب: شهادة ثقة للاقتصاد بفضل نجاح إجراءات الإصلاح.. البرنامج الجديد يتناغم مع مستهدفات الإنفاق على التعليم والصحة وترشيد الإنفاق الحكومي ولن يحمل المواطن أي أعباء.

ولا ندري من هو المواطن المقصود هنا والذي لن يتحمل أية أعباء؟! حتما لا يعيش في مصر، فمن يعيش فيها يدرك أن الأعباء كلها يحملها هذا المدعو "مواطن" شاء أم أبى، فضلا عن نهب ثروته بشكل سافر أمام عينيه في حين لا يجرؤ هو نفسه على المطالبة ولو بنزر يسير منها، بينما يتنعم بها ناهبوه أمام عينيه، بل وتابعوا معنا تلك القروض منذ البدء قرضا ثم قرض وتابعوا ما تلاه من قرارات وتوصيات وما تبعه من جوع وفقر لمصر وأهلها، فكلها وبال على أهل الكنانة، وحكامنا يعلمون هذا جيدا ولكنهم يعلمون أن رغبات السادة في الغرب أوامر واجبة التنفيذ ولا تحتمل التأجيل ولو على جثث أهل مصر البسطاء.

إن النظام الذي لا يرقب في مصر وأهلها إلا ولا ذمة، لا يعنيه من يتحمل أعباء تلك القروض طالما في وجودها وما يتفرع عنها من قرارات رضا سادته في البيت الأبيض وضمان لبقاء مصر في مستنقع التبعية. نظام لا يعنيه إلا ما يضمن بقاء كرسيه معوج الأركان رغم ما نخر فيه من سوس.

إن مصر بما فيها وما تملكه من موارد وخيرات يقر بها النظام نفسه رغم ادعائه الفقر، لا تحتاج إلى قروض ومعونات الغرب، فيكفيها أن تقطع يد الغرب الناهبة حتى ينعم أهلها بما ينهبه الغرب من ثروتهم، وهذا ما لا يستطيع فعله حكام بلادنا العملاء، الذين أجلسهم الغرب على عروش بلادنا ليرعوا مصالحه ويضمنوا قمعهم لأصواتنا المطالبة بالانعتاق من التبعية ووقف نهب الثروة... وهذه القروض هي واحدة من أدوات الغرب للهيمنة على الشعوب لعقود قادمة حتى لو تغيرت الأنظمة وتبدلت ولاءاتها فستبقى هذه القروض قيدا في أعناقها تلجمها وتقيد حركتها وتلزمها ما يمليه عليها الغرب الدائن صاحب رأس المال.

إن مصر بخيراتها وثرواتها ومواردها تحتاج إلى نظام حقيقي مبدئي بديل قادر على إدارة تلك الثروة الهائلة التي تملكها والتي تمكنها بحدودها القطرية من أن تكون دولة عظمى إن لم تكن الدولة الأولى، تحتاج مصر إلى نظام لا يخدم أصحاب رؤوس الأموال ولا النخب الحاكمة ولكن يصلح حال الناس ويرعى شؤونهم بشكل صحيح فيوزع الثروة عليهم ويشبع حاجاتهم الأساسية على وجهها الصحيح، جميعا بلا استثناء بغض النظر عن دينهم ولونهم وعرقهم وغير ذلك، وهذا لا يوجد إلا في الإسلام ونظامه المنبثق عن عقيدته والذي ينسجم قطعا مع فطرة أهل مصر وبيئتهم وحكمهم قرونا كانت مصر فيها درة تاج دولة الإسلام ودرعها، ويكفينا منها قول عمرو بن العاص إن ولاية مصر تعدل خلافة، ولعلنا نذكر أن مصر في عام الرمادة أرسلت قافلة أولها في المدينة وآخرها في مصر، مصر التي أطعمت الدنيا زمن نبي الله يوسف عليه السلام أصبحت تتكفف وتسأل وتقترض في زمن حكامنا الرويبضات الذين حكموها بقوانين الغرب المعوجة... وما انصلح حال مصر إلا بحكم الإسلام وفي ظل دولته التي رفعت عنها وعن أهلها ظلم الروم واستعبادهم لشعبها يوم دخلها عمرو بن العاص فاتحا محررا، وها هو الغرب يحاول استعبادها وأهلها من جديد بإغراقها في مستنقع قروض لا تملك الفكاك منه أبدا.

يا أهل الكنانة! إنكم في غنى عن تلك القروض وهي لا تعنيكم ولا تَلزمكم أو تُلزمكم فارفضوها وأعلنوا أنكم غير ملزمين بردّها، وأنه بسقوط هذا النظام قريبا إن شاء الله لن تكون لتلك القروض ولا لأعبائها آثار عليكم، بل ستطالبون الغرب بردّ ما نهبوه من ثروتكم في ظل عملائه الذين تعاقبوا على حكم بلادكم.

أيها المخلصون في جيش الكنانة! إن هذا النظام لم يكن ليمرر تلك القروض وما يتبعها من قرارات جائرة تفقر مصر وأهلها دون حمايتكم وانحيازكم له وخذلان مصر وأهلها، فأنتم بصمتكم شركاؤه في جرمه وعمالته لعدوكم وعدو أمتكم ودينكم، ولا خلاص لكم ولا توبة إلا بأن تنزعوا أيديكم عنه وتخلعوا حبال ولائه وسادته من رقابكم، وتصرفوا ولاءكم لله ورسوله وتصلوا حبالكم بالمخلصين منكم العاملين لتطبيق دينكم في دولته الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، عسى الله أن يكتب الأمر على أيديكم ويحقق البشرى بكم، فيا فوزكم حينها وقد صرتم أنصار الله ورسوله... اللهم عجل بها واجعلنا من رجالها وجنودها وشهودها.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اسْتَجِيبُواْ لِلّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُم لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُواْ أَنَّ اللّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴾

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

 سعيد فضل

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon