الخمر حرام وهي أم الخبائث فلِمَ تستغرق الحكومة وقتاً طويلاً لتغلق مصانع الخمر وتوقف ترخيص بيعها؟ (مترجم)
الخمر حرام وهي أم الخبائث فلِمَ تستغرق الحكومة وقتاً طويلاً لتغلق مصانع الخمر وتوقف ترخيص بيعها؟ (مترجم)

الخبر:   بعد إجراء حملة "إغلاق مصانع الخمر" لمدة أسبوعين تقريباً، سلم حزب التحرير/ ماليزيا مذكرة مفتوحة إلى العديد من السلطات المحلية في جميع أنحاء ماليزيا في 18 حزيران/يونيو 2020م، وحث على إغلاق جميع مصانع الخمر، وإلغاء تراخيص جميع المشروبات الكحولية وسحب التراخيص الجديدة من جميع المباني التي تبيع الخمور. في المذكرة، ذكَّر حزب التحرير في ماليزيا السلطات المحلية بأن الخمر محرم قطعا في الإسلام وذكّرها بالعشرة الذين لعنهم رسول الله ﷺ فيما يتعلق بالخمر. 

0:00 0:00
Speed:
July 01, 2020

الخمر حرام وهي أم الخبائث فلِمَ تستغرق الحكومة وقتاً طويلاً لتغلق مصانع الخمر وتوقف ترخيص بيعها؟ (مترجم)

الخمر حرام وهي أم الخبائث

فلِمَ تستغرق الحكومة وقتاً طويلاً لتغلق مصانع الخمر وتوقف ترخيص بيعها؟

(مترجم)

الخبر:

بعد إجراء حملة "إغلاق مصانع الخمر" لمدة أسبوعين تقريباً، سلم حزب التحرير/ ماليزيا مذكرة مفتوحة إلى العديد من السلطات المحلية في جميع أنحاء ماليزيا في 18 حزيران/يونيو 2020م، وحث على إغلاق جميع مصانع الخمر، وإلغاء تراخيص جميع المشروبات الكحولية وسحب التراخيص الجديدة من جميع المباني التي تبيع الخمور. في المذكرة، ذكَّر حزب التحرير في ماليزيا السلطات المحلية بأن الخمر محرم قطعا في الإسلام وذكّرها بالعشرة الذين لعنهم رسول الله ﷺ فيما يتعلق بالخمر.

التعليق:

في الأشهر الأخيرة، وفي حين إن أمر تقييد الحركة في ماليزيا لا يزال سارياً، فقد صدمت ماليزيا بالعديد من الحوادث الخطيرة والقاتلة الناجمة عن السائقين المخمورين. وقد ولّد هذا الكثير من ردود الفعل من الناس. تمتلئ وسائل الإعلام الرئيسية ووسائل التواصل بردود فعل من مختلف الأطراف حول هذه القضية. حيث يريد البعض فرض عقوبات شديدة على الجناة، والبعض يريد حظر بيع الخمور، فيما يريد البعض الآخر إغلاق مصانع الخمر في ماليزيا. من ناحية أخرى، يقول البعض بأن تخمير وبيع الخمر لا يمكن إلغاؤه لأن استهلاكه حق لغير المسلمين ولا تستطيع الحكومة إنكاره. بغض النظر عن الآراء المعرب عنها، فمن الواضح أن الآثار السلبية للخمر هي سبب هذه المشكلة.

في الإسلام، الخمر مادة محرمة وقد وصف الله سبحانه وتعالى شرور الخمر للمسلمين بقوله تعالى: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالأَنصَابُ وَالأَزْلاَمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ * إِنَّمَا يُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُوقِعَ بَيْنَكُمُ الْعَدَاوَةَ وَالْبَغْضَاء فِي الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ وَيَصُدَّكُمْ عَن ذِكْرِ اللّهِ وَعَنِ الصَّلاَةِ فَهَلْ أَنتُم مُّنتَهُونَ﴾ [المائدة: 90-91].

 دون معالجة مسألة الخمر في سياق أوسع واستمرار التركيز فقط على استهلاكها، فإن الضرر الناجم عنها واضح وضوح الشمس في رابعة النهار. وبغض النظر عن الآثار السلبية للخمر على صحة الإنسان، فإنها تعد أيضاً سببا رئيسياً لأنواع مختلفة من الضرر للمجتمع. في الولايات المتحدة، يرتبط أكثر من 40٪ من المجرمين المعتقلين في السجون بجرائم تسببها الخمرة. الخمرة هي أيضا السبب الرئيسي للاعتداء الجنسي والعنف المنزلي وقضايا القتل المختلفة. في ماليزيا، ازدادت الحوادث المميتة الناجمة عن السائقين المخمورين بشكل كبير هذا العام، حيث أفادت إحصائيات الشرطة الملكية الماليزية بأن هناك 21 حالة من الحوادث التي تسبب بها السائقون المخمورون خلال الأشهر الخمسة الأولى من هذا العام مع ثماني وفيات - في زيادة كبيرة مقارنة بـ23 حالة طوال العام في 2019م. وإذا ما تأملنا في الآيات السابقة من سورة المائدة، بعد أن وصف الله تعالى للمؤمنين شرور الخمر وبأنها من عمل الشيطان، فإن الله سبحانه وتعالى يخاطبنا بسؤال مهم للغاية ﴿فَهَلْ أَنْتُمْ مُنْتَهُونَ﴾؟ للأسف، اليوم، يرفض العديد من المسلمين تحرير أنفسهم من الخمر. على الرغم من عدم شرب الخمر، إلا أن الكثيرين لا يزالون مستعدين لرؤية الخمر تباع في كل مكان. وعلى الرغم من عدم شربهم الخمر، إلا أن الكثيرين ما زالوا يعتبرونها أحد مصادر المنفعة الاقتصادية وبأنها "حق" للكافرين، وبالتالي لا يجب على المسلمين الانتهاء عن تخمير وبيع الخمر. هذا الموقف يتعارض تماماً مع موقف المسلمين في عهد رسول الله ﷺ وصحابته. عندما جاءهم خبر تحريم الخمر، رموا على الفور الخمر المتبقي في أيديهم وحطموا الآنية المتبقية دون تردد. فقد فهم أصحاب رسول الله ﷺ أن أمر الله يجب أن يتبع دون أدنى شك وتردد، وفهموا تماماً قول الله سبحانه وتعالى: ﴿وَأَطِيعُواْ اللّهَ وَأَطِيعُواْ الرَّسُولَ وَاحْذَرُواْ فَإِن تَوَلَّيْتُمْ فَاعْلَمُواْ أَنَّمَا عَلَى رَسُولِنَا الْبَلاَغُ الْمُبِينُ﴾ [المائدة: 92]

للأسف، لا يزال بعض المسلمين يلتزمون بالقوانين الموروثة من الغرب التي تسمح بصناعة الخمور وترخيصها. إنه بالتأكيد لأمر مثير للسخرية، بل أسوأ من ذلك، مخالفة أوامر الله سبحانه وتعالى عندما يقوم الناس، والحكومة بخاصة بقول المعسول من الكلام الذي يتقبل حقيقة أن الخمر حرام بل ويتحدثون عن ضررها وخطرها ثم لا تكون عندهم نية جادة وقوية لمنع أمّ الشرور هذه من تدمير المجتمع؛ وذلك من خلال تطبيق الشريعة الإسلامية كاملة.

قال رسول الله ﷺ: «لَا تَشْرَبْ الْخَمْرَ فَإِنَّهَا مِفْتَاحُ كُلِّ شَرٍّ» (رواه ابن ماجه)

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد – ماليزيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon