الجولة الإخبارية 2024/03/11م
March 12, 2024

الجولة الإخبارية 2024/03/11م

الجولة الإخبارية 2024/03/11م

العناوين:

  • ·      دول تعلن الاثنين أول أيام شهر رمضان المبارك.. وأخرى الثلاثاء
  • ·      طائرات عسكرية من خمس دول تشارك في إنزال مساعدات في غزة بمشاركة الجيش الأردني
  • ·      الجيش السوداني يعرقل هدنة رمضان بشروط تعجيزية

التفاصيل:

دول تعلن الاثنين أول أيام شهر رمضان المبارك.. وأخرى الثلاثاء

أعلنت دول عربية يوم غد الاثنين أول أيام شهر رمضان المبارك، فيما أعلنت أخرى أن يوم الثلاثاء سيكون أول أيام الشهر الفضيل. وقالت المحكمة العليا في السعودية، إن يوم غد الاثنين هو أول أيام رمضان، بعد ثبوت رؤية الهلال في منطقة حوطة سدير. وجاء الإعلان عن رؤية هلال رمضان في مرصد سدير، بعد تعذر رؤيته في مرصد تمير، وكلاهما وسط المملكة، بسبب الغبار. كما أعلنت قطر والإمارات والكويت، والبحرين، ومصر، وفلسطين، واليمن، وسوريا، والسودان، والجزائر، وتونس، ولبنان، أن يوم الاثنين هو أول أيام شهر رمضان المبارك، بانتظار إعلان بقية الدول العربية، علما أن تركيا أعلنت مسبقا أن الاثنين هو أول أيام رمضان بناء على الحسابات الفلكية. فيما أعلنت الأردن وسلطنة عمان، والمغرب، وليبيا، وإيران، أنه وبسبب عدم ثبوت رؤية هلال رمضان، فإن يوم الاثنين سيكون مكملا لشعبان، والثلاثاء أول أيام شهر رمضان. وكانت أستراليا وبروناي وماليزيا وإندونيسيا، أعلنت أن يوم الثلاثاء أول أيام شهر رمضان المبارك.

يواجه المسلمون كل عام المشكلة نفسها، فبينما تعلن بعض الدول دخول شهر رمضان، يبدأ البعض الآخر بالصيام بعد يوم أو يومين. ولو أنها جميعها اتبعت حكم الشرع لبدأت الصيام في اليوم نفسه واحتفلت بعيد الفطر في اليوم نفسه. لقد أمرت الشريعة ببدء الصيام برؤية الهلال، والإفطار برؤية الهلال. ورغم أن الحكم الشرعي يسير وواضح للغاية، إلا أن الدول العلمانية في بلاد المسلمين تستخدم الحسابات الفلكية كأساس لمخالفة حكم الشريعة.

فإنهم باتباعهم الحساب الفلكي دون الشريعة يضلون المسلمين كما ضلوا أنفسهم. ولذلك يجب على المسلمين أن يطيعوا الشريعة ويتصرفوا وفقها، وليس وفق أوامر الحكام العلمانيين. ومن المحزن حقاً أن الأشخاص الذين يؤمنون بالعقيدة نفسها وينتمون إلى الدين نفسه لا يصومون في اليوم نفسه ولا يحتفلون بالعيد في اليوم نفسه.

----------

طائرات عسكرية من خمس دول تشارك في إنزال مساعدات في غزة بمشاركة الجيش الأردني

نفّذ الجيش الأردني الأحد عملية إنزال مساعدات جديدة من الجو الأحد فوق قطاع غزة المهدّد بالمجاعة حيث سارع مئات الأشخاص إلى التجمّع لالتقاطها، وفق ما أفاد مصوّر لوكالة فرانس برس. ورافق مصور فيديو من فرانس برس العملية من على متن إحدى طائرات سلاح الجو الملكي الأردني التي شاركت في إلقاء المساعدات فوق شمال القطاع، وهي المنطقة التي تعاني من النقص الأكبر في المساعدات الغذائية التي يتعذّر وصولها بسبب القتال والحواجز الاحتلالية. وذكر الجيش الأردني في بيان أن طائرات أمريكية وفرنسية وبلجيكية ومصرية شاركت في العملية. وقال بيان الجيش إن "القوات المسلحة الأردنية نفذت الأحد ستة إنزالات جوية مشتركة مع دول شقيقة وصديقة استهدفت عدداً من المواقع في شمال قطاع غزة، وذلك في إطار الجهود الدولية التي تبذلها المملكة الأردنية الهاشمية للتخفيف من آثار الحرب على قطاع غزة".

يا جيش الأردن، يجب إلقاء القنابل من تلك الطائرات العسكرية على كيان يهود وليس المساعدات الإنسانية. كما أن إسقاط المساعدات من الجو وليس من الأرض يظهر مدى عجز الدولة الأردنية، ولا تستطيع الذهاب برا لأنها تحتاج إلى إذن من كيان يهود أو أنه لا يسمح بذلك. لو كانت دولة حقيقية لهبت لنجدة إخوانها المسلمين في غزة، أرضاً وجواً، ودفنت كيان يهود في قبره حتى لا يبعث من جديد. ولكن هذا مستحيل لأن الدول العميلة في بلاد المسلمين تتصرف وفقاً لتعليمات أسيادها، أمريكا وبريطانيا، وترعى مصالحهم، لا مصالح المسلمين. إن هذه الدول عاجزة لدرجة أن دول المنطقة التي يبلغ عدد سكانها 300 مليون نسمة لم تتمكن من التغلب على عشرة ملايين يهودي، ولديها الملايين من الجنود والطائرات والدبابات والمدفعية والطائرات، لكنها لا تستطيع التغلب على مائة ألف جندي يهودي!

-----------

الجيش السوداني يعرقل هدنة رمضان بشروط تعجيزية

ضرب الجيش السوداني عرض الحائط بجميع الدعوات الدولية والإقليمية والإنسانية لوقف الحرب خلال شهر رمضان في البلاد، بفرض شروط تعجيزية لنيل مكاسب على الأرض مقابل الهدنة. وقال الفريق أول ركن ياسر العطا مساعد القائد العام للجيش السوداني في بيان الأحد إنه لن تكون هناك هدنة في السودان خلال شهر رمضان ما لم تغادر قوات الدعم السريع شبه العسكرية المنازل والمواقع المدنية. وأصدر العطا هذا البيان بعد دعوة مجلس الأمن التابع للأمم المتحدة إلى هدنة في رمضان. وقالت قوات الدعم السريع شبه العسكرية إنها ترحب بالدعوة إلى وقف إطلاق النار. وأشار العطا في البيان، الذي صدر على قناة الجيش الرسمية على تطبيق تيلجرام، إلى التقدم العسكري الذي أحرزه الجيش في الآونة الأخيرة في أم درمان التي تعد جزءا من العاصمة السودانية. كما رفض الجيش السوداني مبادرة قوات الدعم السريع باستلام 537 أسيراً من أفرادها.

الحرب بين عبد الفتاح البرهان وقائد قوات الدعم السريع المواليين كليهما لأمريكا يجب أن تتوقف ليس فقط في شهر رمضان ولكن أيضاً في الأشهر الأخرى لأن هذه الحرب محرمة، فهي حرب بين الإخوة، ويحرم على المسلمين أن يقاتلوا بعضهم بعضاً ليس في رمضان فقط، بل في غيره من الشهور أيضاً. إنه إثم كبير أن يقاتلوا بعضهم بعضاً بينما إخوانهم المسلمون يُقتلون ويجوعون في كل من السودان وغزة! فمثلا إن ما يقرب من 25 مليونا، أي نصف سكان السودان، بحاجة إلى مساعدات وفرّ نحو ثمانية ملايين من منازلهم، فيما ينتشر الجوع. لقد أصبح هذان القائدان في السودان عبيداً لدرجة أن قلوبهما لا تتألم على إخوانهما من بني جلدتهما الذين يتضورون جوعاً ويهجرون ديارهم.

More from null

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

أبو وضاحة شعار

14-11-2025

Habari za Abu Wadaha: Msimamo na hotuba ya kukwamisha njama ya kutenganisha Darfur na Port Sudan

Katika muktadha wa kampeni inayoendeshwa na Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan kukwamisha njama ya Marekani ya kutenganisha Darfur, vijana wa Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan waliandaa msimamo baada ya sala ya Ijumaa, 23 Jumada al-Ula 1447 Hijria, sawia na 2025/11/14 Miladia, mbele ya Msikiti wa Bashikh, katika mji wa Port Sudan, kitongoji cha Deim Medina.


Mwalimu Muhammad Jami' Abu Ayman - msaidizi wa msemaji rasmi wa Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan alitoa hotuba kwa umati wa waliohudhuria, akitoa wito wa kufanya kazi ili kukwamisha mpango unaoendelea wa kutenganisha Darfur, akisema: Kwamisheni mpango wa Marekani wa kutenganisha Darfur kama walivyotenganisha Kusini, ili kulinda umoja wa umma, na Uislamu umeharamisha kuutenganisha umma huu na kuuvunja, na umeifanya umoja wa umma na dola kuwa suala la hatima, ambalo hatua moja inachukuliwa dhidi yake, uhai au mauti, na pale suala hili lilipoanguka kutoka hadhi yake, makafiri waliweza, wakiongozwa na Marekani, na kwa msaada wa baadhi ya watoto wa Waislamu, kuuvunja nchi yetu, na kutenganisha Sudan Kusini ..Na baadhi yetu walinyamaza kimya juu ya dhambi hii kubwa, na walijishughulisha na upungufu na udhaifu, hivyo uhalifu huo ulipita! Na leo Marekani inarudi tena, kutekeleza mpango huo huo, na kwa mazingira hayo hayo, kuikata Darfur kutoka mwilini mwa Sudan, kwa kile walichokiita mpango wa mipaka ya damu. Wakitegemea wanamgambo wanaokalia Darfur nzima na wameanzisha dola yao bandia kwa kutangaza serikali sambamba katika mji wa Nyala; Je, mtairuhusu Marekani kufanya hivyo katika nchi yenu?!


Kisha alielekeza ujumbe kwa wanazuoni, na kwa watu wa Sudan, na kwa maafisa waaminifu katika vikosi vya jeshi kuchukua hatua ya kukomboa Darfur nzima na kuzuia kujitenga na kwamba fursa bado ipo ya kuzima mpango wa adui, na kukwamisha uovu huu, na kwamba tiba ya msingi ni kuanzisha Khilafah Rashidah kwa njia ya unabii, kwani ni hiyo pekee itakayo uhifadhi umma, na itatetea umoja wake, na itasimamisha sheria ya Mola wake.


Kisha alihitimisha hotuba yake akisema: Sisi ndugu zenu katika Hizb ut-Tahrir tumechagua kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu Mtukufu, na tumsaidie Mungu, na tumuamini, na tutimize bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ basi njooni pamoja nasi kwani Mwenyezi Mungu ni msaidizi wetu bila shaka. Amesema Mwenyezi Mungu: {Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu, naye atakunusuruni na atafanya imara nyayo zenu}.


Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan

Chanzo: Habari za Abu Wadaha

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

الرادار شعار

13-11-2025

Rada: Babnusa Inaelekea Kufuata Mkondo wa Al-Fashir

Imeandikwa na Mhandisi/Hasbu Allah Al-Nur

Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.

Al-Fashir ilianguka kwa njia ya kusikitisha, na ilikuwa janga lililotikisa taifa la Sudan na kuumiza mioyo ya watu wake, ambapo damu safi ilimwagika, watoto walifiwa na baba, wanawake wakawa wajane, na mama zao waliomboleza.


Pamoja na majanga hayo yote, mazungumzo yanayoendelea Washington hayakuathirika hata kidogo, bali kinyume chake, mshauri wa Rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati, Musaad Bulus, aliliambia kituo cha Al Jazeera Mubasher tarehe 27/10/2025 kwamba kuanguka kwa Al-Fashir kunaimarisha mgawanyiko wa Sudan na kusaidia maendeleo ya mazungumzo!


Katika wakati huo muhimu, Wasudan wengi walitambua kwamba kinachotokea ni sura mpya tu ya mpango wa zamani ambao wazalendo wamekuwa wakionya dhidi yake, mpango wa kuitenga Darfur, ambao unataka kulazimishwa kwa njia ya vita, njaa na uharibifu.


Mzunguko wa kukataa kile kinachoitwa usitishaji wa mapigano wa miezi mitatu umeongezeka, na sauti za kupinga zimeongezeka, hasa baada ya habari kuvuja kuhusu uwezekano wa kuongezwa kwa miezi mingine tisa, ambayo kimsingi inamaanisha kuisomalia Sudan na kufanya mgawanyiko kuwa ukweli usioweza kuepukika kama ilivyo nchini Libya.


Na pale watengeneza vita waliposhindwa kunyamazisha sauti hizi kwa ushawishi, waliamua kuzinyamazisha kwa vitisho. Hivyo, dira ya mashambulizi ilielekezwa Babnusa, kuwa eneo la kurudia tukio la Al-Fashir; mzingiro mkali uliodumu kwa miaka miwili, na kuangusha ndege ya mizigo ili kuhalalisha kusimamishwa kwa usambazaji wa anga, na kulipua miji ya Sudan kwa wakati mmoja; Omdurman, Atbara, Damazin, Al-Abyad, Um Barmbita, Abu Jubaiha na Al-Abbasiya, kama ilivyotokea wakati wa shambulio la Al-Fashir.


Shambulio la Babnusa lilianza siku ya Jumapili, na liliongezeka tena asubuhi ya Jumanne, huku vikosi vya msaada wa haraka vikitumia mbinu na njia zilezile ambazo zilitumia huko Al-Fashir. Hadi wakati wa kuandika mistari hii, hakuna hatua yoyote halisi ya jeshi iliyorekodiwa kuwasaidia watu wa Babnusa, katika marudio ya kusikitisha ambayo karibu yanafanana na eneo la Al-Fashir kabla ya kuanguka kwake.


Ikiwa Babnusa itaanguka - Mungu apishie mbali - na sauti zinazopinga usitishaji wa mapigano hazitapungua, janga hilo litajirudia katika jiji lingine... Na kadhalika, hadi watu wa Sudan walazimishwe kukubali usitishaji wa mapigano wakiwa wanyonge.


Huo ndio mpango wa Amerika kwa Sudan kama unavyoonekana wazi; Kwa hivyo jihadharini, enyi watu wa Sudan, na fikirieni kile mnachofanya, kabla ya sura mpya yenye kichwa cha habari Mgawanyiko na Upotevu kuandikwa kwenye ramani ya nchi yenu.


Watu wa Babnusa wamehamishwa kabisa, ambao wanahesabu watu 177,000, kama ilivyoripotiwa katika kituo cha Al-Hadath tarehe 10/11/2025, na wanazurura bila mwelekeo.


Kupiga kelele, kulia, kupiga mashavu na kurarua mifuko ni tabia za wanawake, lakini hali hiyo inahitaji uanaume na ujasiri wa kukataa uovu, na kuchukua hatua dhidi ya mnyanyasaji, na kuinua neno la haki linalotaka kuachiliwa kwa minyororo ya majeshi ili kuchukua hatua ya kuokoa Babnusa, bali kurejesha Darfur yote.


Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: «Hakika watu wanapomuona dhalimu na hawamzuilii mkono wake, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu kutoka kwake.» Na akasema ﷺ: «Hakika watu wanapoona uovu na hawaubadilishi, Mwenyezi Mungu yuko karibu kuwafunika kwa adhabu.»


Na ni aina mbaya zaidi ya dhuluma, na miongoni mwa maovu makubwa, kuwakatisha tamaa watu wetu huko Babnusa kama watu wa Al-Fashir walivyokatishwa tamaa hapo awali.


Marekani ambayo inataka leo kuigawanya Sudan, ni ile ile iliyoigawanya kusini hapo awali, na inataka kuigawanya Iraq, Yemen, Syria na Libya, na kama watu wa Sham wanavyosema "na kamba iko kwenye mtungi", mpaka machafuko yataenea katika taifa lote la Kiislamu, na Mungu anatuita kwenye umoja.


Amesema Mwenyezi Mungu: ﴿NA HAKIKA HII DINI YENU NI DINI MOJA, NA MIMI NI MOLA WENU, BASI MCHENI﴾, na akasema ﷺ: «Akiapishwa Khalifa wawili, basi muueni yule mwingine miongoni mwao.» Na akasema: «Hakika yatakuwa majanga na majanga, na anayetaka kuutenganisha mambo ya umma huu na wao wote, mpigeni kwa upanga yeye yeyote anayekuwa.» Na pia alisema: «Anayekujieni na amri yenu nyote mkiwa juu ya mtu mmoja anayetaka kuigawanya fimbo yenu au kuitenganisha jamaa yenu, basi muueni.»


Je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia, je, nimefikisha? Ee Mwenyezi Mungu shuhudia.

Chanzo: Rada