الإرهاب الأمريكي هو الذي حوّل أفغانستان إلى مختبر!
الإرهاب الأمريكي هو الذي حوّل أفغانستان إلى مختبر!

الخبر: قال دونالد ترامب، في مقابلة بثتها قناة فوكس نيوز يوم الاثنين، إن قلقه من سحب القوات الأمريكية من أفغانستان هو أن البلاد ستتحول إلى مختبر للإرهابيين. خلال المقابلة، وصف أفغانستان بأنها "هارفارد للإرهابيين"، مضيفاً أنه "حتى لو أزالت الولايات المتحدة قواتها، فستترك وجوداً استخبارياً قوياً للغاية في أفغانستان". وذكر أيضاً أن المسؤولين العسكريين الأمريكيين أخبروه بأنه سيكون من الأفضل محاربة الإرهابيين في أفغانستان بدلا من موطنهم.

0:00 0:00
Speed:
July 09, 2019

الإرهاب الأمريكي هو الذي حوّل أفغانستان إلى مختبر!

الإرهاب الأمريكي هو الذي حوّل أفغانستان إلى مختبر!
(مترجم)


الخبر:


قال دونالد ترامب، في مقابلة بثتها قناة فوكس نيوز يوم الاثنين، إن قلقه من سحب القوات الأمريكية من أفغانستان هو أن البلاد ستتحول إلى مختبر للإرهابيين. خلال المقابلة، وصف أفغانستان بأنها "هارفارد للإرهابيين"، مضيفاً أنه "حتى لو أزالت الولايات المتحدة قواتها، فستترك وجوداً استخبارياً قوياً للغاية في أفغانستان". وذكر أيضاً أن المسؤولين العسكريين الأمريكيين أخبروه بأنه سيكون من الأفضل محاربة الإرهابيين في أفغانستان بدلا من موطنهم.

التعليق:


في الوقت الحاضر، يجب أن يكون قد ثبت للعالم بشكل قاطع أن "الإرهاب والإرهاب المخطط" ينبع بشكل غريزي داخل الحمض النووي لأمريكا. أولئك الذين ما زالوا لا يصدقون هذه الحقيقة الواضحة، أدعوهم إلى التحقيق مرة أخرى في تاريخ أمريكا، ومن ثم سيدركون بوضوح كيف قام الأمريكيون بإبادة أكثر من 100 مليون من الهنود الأمريكيين الأصليين، وكيف حولوا هيروشيما وناغازاكي إلى رماد في الحرب العالمية الثانية باستخدام القنابل الذرية، التي تسببت، بالإضافة إلى قتل أكثر من 220 ألف شخص، في معاناة مئات الآلاف من أمراض حادة.


خلال الحرب العالمية الثانية، شنت القاذفات الثقيلة التابعة للقوات الجوية الأمريكية 3900 طن من القنابل على مدينة دريسدن في ألمانيا، وأسقطت قنابل النابالم خلال أربع هجمات قوية أدت إلى تدمير كامل لمساحة 34 كم2 من دريسدن في أقل من 15 ساعة. كتب إرهارد موندرا، عضو لجنة بوتزان (رابطة السجناء السياسيين السابقين في جمهورية ألمانيا الديمقراطية) أنه وفقاً لما قاله المقدم د. ماتيس، الضابط السابق في الأركان العامة في الجيش الألماني في مقاطعة دريسدن، "كان هناك 35 ألف ضحية تم تحديدها بشكل كامل، و50 ألف شخص آخر جزئياً، في حين لم يتم التعرف على 168 ألف ضحية أخرى على الإطلاق".


لا يمكن للمرء أن ينسى تورط أمريكا في مذبحة 3 ملايين فيتنامي خلال الفترة 1955- 1975 التي كانت تسقط 500 ألف قنبلة سنوياً على فييتكونغ وحرق الغابات والأراضي الزراعية والبشر من خلال استخدام الأسلحة الكيميائية والنابالم. في الخمسينات من القرن المنصرم، قتلت أمريكا مئات المدنيين الكوريين. وخلال العقدين الماضيين، قتلت أكثر من مليوني مسلم في البلاد الإسلامية. هل تعلم أن أمريكا تتلاعب بالأزمات وتتآمر على الإرهاب حتى الآن في أمريكا اللاتينية حتى تمهد الطريق لتدخلها السياسي في تلك البلدان؟


إن التدابير الإرهابية التي اتخذتها أمريكا وحلف الناتو هي التي حوّلت أفغانستان إلى مسرح للإرهاب للعالم بأسره. لا بد أن يكون ترامب قد نسي بشكل لا لبس فيه استخدام عبارة "أفغانستان، هارفارد الإرهابيين الأمريكيين" خلال خطابه لأن الحرب الأفغانية ساعدت بشكل كبير على توسيع قدرة الجنرالات الأمريكيين إلى حد ما حيث إن بعضهم قد حصل على مناصب عليا في البنتاجون، ووكالة المخابرات المركزية، وغيرها من المكاتب الحكومية رفيعة المستوى في أعقاب تجاربهم في شن الحرب وإراقة دماء المسلمين الأفغان.


كما يحاول الدجال باستمرار تشويه الحقيقة؛ فإن ترامب، أحد أبرز دجالي العصر، يفعل ذلك أيضاً. إن الخطاب غير المسؤول الذي ألقاه مؤخراً والذي يشير إلى أن أفغانستان ستتحول إلى "مختبر للإرهابيين" بعد انسحاب القوات الأمريكية يعد خداعا وتشويها بالكامل. لأن أفغانستان قد تحولت بالفعل إلى مختبر لاستراتيجيات أمريكا العسكرية والسياسية الفاشلة وكذلك للاستخدام المميت للأسلحة، وبالتحديد أم القنابل من الإرهابيين الأمريكيين والغربيين؛ كما حدث خلال الـ18 عاماً الماضية، حيث تلاعبت القوات الأمريكية بمثل هذه الفظائع في أفغانستان والتي أدت إلى مقتل وجرح أكثر من نصف مليون شخص، وتسببت في موت مئات الآلاف من الأفغان الذين فروا من البلاد وغرقوا في البحار من أجل طلب اللجوء في المخيمات الأوروبية. خلال وجودها في أفغانستان، جربت أمريكا أنواعاً مختلفة من الأسلحة الخفيفة والثقيلة والتكتيكات العسكرية على شعب أفغانستان الذي لا حول له ولا قوة.


خطاب ترامب الأخير في خضم محادثات السلام الجارية بين أمريكا وحركة طالبان ينقل رسالة واضحة، لكنها وهمية تماماً، وهي أن أمريكا، بعد عقدين من ذبح الشعب وتدمير مدن وقرى أفغانستان، تسعى مرة أخرى لتأمين أدوارها الواضحة والنفوذ من أجل تعزيز شبكات الاستخبارات والمرتزقة في المستقبل السياسي لأفغانستان.


لكن على المجرمين الأمريكيين والغربيين، بمن فيهم ترامب، كبير الإرهابيين، أن يفتحوا أعينهم وأن يدركوا أن الأمة الإسلامية تقترب من فجر متألق. إن قضية أفغانستان، مثلها مثل أي قضية أخرى في بلاد المسلمين المحتلة، لا يتم حلها من خلال المصالحة والحوار مع المحتلين، ولكن حلها سيكون فقط إذا توحدت جميع البلاد الإسلامية مرة أخرى في ظل الخلافة الراشدة القائمة قريبا بإذن الله. ﴿إِنَّ مَوْعِدَهُمُ الصُّبْحُ أَلَيْسَ الصُّبْحُ بِقَرِيبٍ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
سيف الله مستنير
رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon